Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Mbowe asalimu amri kwa Lowassa

Eduadi lowasa ananikela jambo moja tu ukumbi mzm wamevaa uniform za cdm na kofia yeye havai hata kitambaa cha cdm mkononi.. Yeye anaingia kama alivyo na anatoka kama alivyo.... Hilo kiukweli linanikela sana..
Mkuu hilo nimelifananisha na Abramovich huwa havai sare ya Chelsea..ndivyo ilivyo kwa Lowassa.
 
Eduadi lowasa ananikela jambo moja tu ukumbi mzm wamevaa uniform za cdm na kofia yeye havai hata kitambaa cha cdm mkononi.. Yeye anaingia kama alivyo na anatoka kama alivyo.... Hilo kiukweli linanikela sana..
Shida yake ni urais tu
 
kila mwenye akili timamu anajua kuwa katibu mkuu wa sasa wa chadema ni kijana wa Lowasa wa mda mrefu sana.
 
kila mwenye akili timamu anajua kuwa katibu mkuu wa sasa wa chadema ni kijana wa Lowasa wa mda mrefu sana.
Lakin vp MKUU kwa kuwa ni kijana wa mh.lowassa hastahili kuwa KATIBU.?
 
Dr Dau katoswa kutoka nssf sasa tutajua ni kwa kazi zipi lekadutigite ilililpwa mamilioni na yalienda wapi
Nipe mtazamo wako kuhusu katibu mpya.....naona amemuacha kwa mbaaali kielimu sultan Mbowe
 
Kasled kana harufu ya choo!
Ivi ulijifungia wapi pindi unakaandika!?
Mmfuuuuu

Awamu hii Lumumba mmekatwa ngebe. Angechaguliwa wa kaskazini mngeanza mipasho yenu ya chagga empire!
Kaletwa mvuvi na mla sato mara oooh mtu wa Lowassa huyooo!!

Wakudadavua you simply talking sh!t
Dr Mashinji chapa kazi mjomba!
 
Kasled kana harufu ya choo!
Ivi ulijifungia wapi pindi unakaandika!?
Mmfuuuuu

Awamu hii Lumumba mmekatwa ngebe. Angechaguliwa wa kaskazini mngeanza mipasho yenu ya chagga empire!
Kaletwa mvuvi na mla sato mara oooh mtu wa Lowassa huyooo!!

Wakudadavua you simply talking sh!t
Dr Mashinji chapa kazi mjomba!
Muda ndio jibu sahihi dogo....mwaka 2011 mlipoambiwa EL/Mbowe wanamakubaliano ya siri na baadaye mwaka jana July Lizabon alidadavua kuuzwa kwa chadema mlikuja na kauli fupi fupi hivihivi...sikio la kufa......!
 
Back
Top Bottom