Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,268
CDM is increasing at decreasing rate
CDM is increasing at decreasing rate
Atleast you understoodYou sound like Magu..
I mean your English..
Kijana kiporo ni kiporo haijalishi ugali,wali,nyama nk...tunahitaji mchango wako wa hoja sio viroja.Watakuwa wametoka kuamka mkuu, mie hapa napata mpaka kiharufu cha viporo vya uagali wa jana kupitia simu yangu.
Naona umetoka kunywa maji

Mkuu siku hazigandi...chadema na lowassa ni mbingu na ardhi.Kwa asiyeona haya atakuwa kipofu,huyo katibu mkuu nani alimtarajia?haya kama ulivyosema tuweke akiba ya maneno
Kakosa hoja...anabaki kutukana.Naona umetoka kunywa maji![]()
Asante kwa kuja.Dentist sijamsikia siku nyingi, hajahamishia timu mbugani kweli?
wana act mna vituko.CDM is increasing at decreasing rate
Mkuu tunahitaji mchango wa hoja na sio kushambuliana.wana act mna vituko.
Punguzeni basi kula viporo maana mnatujazia harufu hapa jukwaaniKijana kiporo ni kiporo haijalishi ugali,wali,nyama nk...tunahitaji mchango wako wa hoja sio viroja.
Hawa jamaa sijui tuwaite malaya wa siasa?lkn siyo kosa lao maana ndio wanatumikia usalitiwana act mna vituko.
Mkuu niambie ukijuacho!..funguka usifiche maarifa.Mleta mada hajui anachokiongea;
Mkuu unatumia maneno makali,kosoa kistaarabu kwa hoja.Hawa jamaa sijui tuwaite malaya wa siasa?lkn siyo kosa lao maana ndio wanatumikia usaliti
Tunaongea yaliyo dhahiri kama ulivyofuatilia mkutano,vyanzo na mienendo ya waliotemwa...sio uchambuzi mkuu,pili jenga utamaduni wa kuelewa hoja na sio kuangalia mtu ndio maana mnapotea.Tatizo Ni kuwa zama hizi kila mtu Ni political analyst muone mtoa mada anavoingilia fani za akina Bashiru Ally.