mzee wa njaa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2011
- 1,366
- 223
Kama kawa huo ni mwanzo tu.
Anatafuta uraisi 2015 kwa kila njia! Ameona Zitto kamzidi kete kwa kukataa posho! Anata na yeye aonekane bora
Hitimisho.Tunawataka wabunge wengine waunge mkono hoja hizi kwa masilahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla.
- Tumeamua kumwandikia katibu wa Bunge barua ili aweze kutenganisha fomu kwa ajili ya mahudhurio na kwa ajili ya posho na wabunge wa CHADEMA hawatasaini fomu za posho.
- Kuhusu magari, kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB) Mhe. Freeman Mbowe ameamua kurejesha gari yake aina ya "Shangingi" alilopewa na Bunge ili liwe la kwanza kupigwa mnada.
Imetolewa na ;………………………Mhe. Freeman A. Mbowe (Mb),Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.21 Juni 2011.
Anatafuta uraisi 2015 kwa kila njia! Ameona Zitto kamzidi kete kwa kukataa posho! Anata na yeye aonekane bora
Hana lolote nani na cheap popularity ipi au upo ndotoni? Lakini sishangai magamba wameshindwa kabisa kusoma alama za nyakati kama enzi za mfalme Belshaza wa Babel alipoona kiganja cha mkono kikiandika ukutani na Daniel kumpa tafsiri bado hakuelewa matokeo yake wana historia mnajua..hana lolote anatafuta cheap popularity ili agombee urais 2015
KIGWANGWALA ATALIRUDISHA HILI DUDe KWELI?
Mkuu hapo pekundu navyojua mimi Kagame ni Raisi wa Rwanda sio Burundi.Du...!Bravo!
Nchini Burundi huu ndiyo utaratibu uliotumika!
Ilianza kama mzaha, lakini baadaye kweli kabisa viongozi wote waandamizi serikalini walilazimika kurudisha mashangingi, chini ya usimamizi wa Kamanda Kagame!
****** uko wapi?...wanaume washakuanzishia kutafuna, meza sasa!
Anatafuta uraisi 2015 kwa kila njia! Ameona Zitto kamzidi kete kwa kukataa posho! Anata na yeye aonekane bora
Safii sana,
Kuongoza ni kutoa mfano hata ikibidi kufa na tai shingoni. Ipo siku mawe yatawasikia na watawala watageuka manyani!!
Aluta continua!!
Uongozi ni kuonyesha njia!Safi sana kwa kutembea katika maneno yako!soma tamko lililotolewa muda huu bungeni.Utangulizi.Mnamo tarehe 21/06/2011 Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limepitisha bajeti ya Makadirio na Matumizi ya Serikali kwa mwaka 2011/2012 .Pamoja na Bajeti ya Serikali kukubali na kuzingatia baadhi ya hoja zilizotolewa na wabunge wa Kambi ya Upinzani na hususani CHADEMA kama vile ;a) Kupunguza kodi na tozo mbalimbali kwenye mafuta ya petrol na dizeli.b) Kupunguza kiwango cha faini za makosa ya barabarani kutoka shilingi 300,000/50,000 hadi kufikia ukomo wa shilingi 30,000.c) Kufuta leseni za biashara kwenye Majiji,Halimashauri za Wilaya na Vijiji.d) Kufuta misamaha ya kodi kwenye makampuni yanayotafuta mafuta na gesi Nchini.e) Kuongeza pesa kwenye bodi ya Mikopo ya Elimu ya juu kwa kuhakikisha kuwa kodi ya skills development levy 2/3 inapelekwa kwenye bodi kwa ajili ya Mikopo. Katika kupitisha bajeti hiyo wabunge wa Kambi ya Upinzani na hususani wa CHADEMA tuliamua kupiga kura za HAPANA kwenye mapendekezo hayo ya Serikali kutokana na sababu mbalimbali na haswa hizi zifuatazo;TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI:KUHUSU BAJETI YA SERIKALI YA MWAKA 2011/2012:1. Serikali haikukubaliana na hoja yetu ya kuondoa posho za vikao (sitting allowances) kwenye mfumo wa malipo ndani ya serikali.2. Serikali haikukubaliana na hoja yetu ya kuhakikisha kuwa magari yote aina ya Mashangingi yanayotumiwa na viongozi na watumishi wa umma yauzwe kwa mnada ndani ya miezi sita na viongozi hao wakopeshwe magari kwa ajili ya kufanya majukumu yao mbalimbali.3. Serikali haikukubaliana na hoja yetu ya kufuta/kupunguza misamaha mikubwa ya kodi ambayo Makampuni ya Madini yanapata ili kuhakikisha kuwa serikali inapata mapato kwa ajili ya kugharamia miradi mbalimbali ya maendeleo.4. Serikali imekataa kuingiza pensheni kwa ajili ya wazee wote nchini ya shilingi 20,000 kila mwezi ili kuweza kuwapunguzia ukali wa maisha wazee wetu .5. Serikali imekataa Kufuta/kuondoa misamaha ya kodi kwa kipindi cha miaka 10 kwenye maeneo maalum ya uwekezaji (EPZ). 6. Serikali haikukubaliana na hoja yetu ya kuhakikisha kuwa tunapunguza gharama za safari na haswa kuhakikisha kuwa ni viongozi wakuu na wenzi wao tuu ndio waruhusiwe kusafiri kwa kutumia daraja la kwanza (first class) ambao ni ;· Rais· Makamu wa Rais· Waziri Mkuu· Spika· Jaji MkuuMawaziri wasafiri kwa kutumia daraja la pili (bussines class) na viongozi wengine wote wa umma na watumishi wa umma wakiwemo wabunge wasafiri kwa kutumia daraja la kawaida (economy class) .Pia misafara ya viongozi wakuu ipunguzwe ili kupunguza gharama za kuhudumia misafara hiyo pindi wanaposafiri nje ya Nchi. Hitimisho.Tunawataka wabunge wengine waunge mkono hoja hizi kwa masilahi ya wananchi na Taifa kwa ujumla.
- Tumeamua kumwandikia katibu wa Bunge barua ili aweze kutenganisha fomu kwa ajili ya mahudhurio na kwa ajili ya posho na wabunge wa CHADEMA hawatasaini fomu za posho.
- Kuhusu magari, kiongozi wa Kambi rasmi ya Upinzani Bungeni (KUB) Mhe. Freeman Mbowe ameamua kurejesha gari yake aina ya Shangingi alilopewa na Bunge ili liwe la kwanza kupigwa mnada.
Imetolewa na ;Mhe. Freeman A. Mbowe (Mb),Kiongozi wa Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni.21 Juni 2011.
Kwanza angerudisha fedha alizokopa NSSF zilizomfanya anunulie Vogue (namkumbu brazamen).
Huyu brazamen ni katika wana JF wa zamani na kuna siku aliweka nyuzi humu JF iliyoonesha kuwa jigari analoumia Mbowe ni la wizi huko Uingereza, akataja mpaka walimuuzia. Sojui brazamen yuko wapi siku hizi? Atupe ma data ya uhakika.
hana lolote anatafuta cheap popularity ili agombee urais 2015
hana lolote anatafuta cheap popularity ili agombee urais 2015
kweli wewe Kichaa, mpaka leo unashangaa habari ya kukopa, pumbav*****, unafikiri kwa makali***Kwanza angerudisha fedha alizokopa NSSF zilizomfanya anunulie Vogue (namkumbu brazamen).
Huyu brazamen ni katika wana JF wa zamani na kuna siku aliweka nyuzi humu JF iliyoonesha kuwa jigari analoumia Mbowe ni la wizi huko Uingereza, akataja mpaka walimuuzia. Sojui brazamen yuko wapi siku hizi? Atupe ma data ya uhakika.