Kumbe unamfahamu vilivyoMbowe ni mnafiki sana. Ukiyauza mashangingi ukatoa mikopo ya magari, allawansi za dereva, matengenezo na mafuta gharama si imerudi palepale au ni nafasi kwa Mheshimiwa kubana masurufu? Halafu ukiyauza magari kila baada ya miaka mitano kuyanunua tena kwa mkopo. Mikopo yenyewe haina riba au kodi na siyo lazima hata wayanunue magari yenyewe. Hesabu zimekaaje
Pili ukiondoa posho za vikao unamkomoa nani? Huo ni motisha viongozi wakutane badala ya kusafiri. Kusafiri ni ulaji kukaa ofisini hakuna motisha.