fredmlay
JF-Expert Member
- Apr 30, 2008
- 1,849
- 388
Kwanini warejeshe mashangingi yao? Hujui la Mbowe lilikuwa mali ya serikali kama kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani? Pia hujui wabunge yale mashangingi ni mali yao? Ukielewa hayo utapata majibu ya maswali yanayokusumbua na pia utaelewa ni mashangingi yapi cdm wanapendekeza yapigwe mnadaImenipendezea. Hii ya kutenganisha fomu ya mahudhurio ni very trick kwa Spika. Kitakachotokea hatatenganisha. Then, what next? Hawatasaini. Then, tuone kama watafukuzwa ubunge. BTW aabunge wengine wa Chadema nao watarejesha mashangingi yao au ni Mbowe tuu?