Mimimsio.mfuasi.wa chama.wala.mwanasiasa yoyoye, ioa Mbowe tunamtaja kwasababu amekuwa tapeli.
Yaani waingereza wanasema LONG CON.
Alikuwa anajifanya anatetea haki za binadamu, bila tapeli la kisiasa tu, linataka pesa tu.
Hilo lazima tuseme
Ameyakemea wapi?
Hajakemea majukwaani, kakemea wapi, wewe msukule wa Mbowe.
Heche sijui.
Lissue tlyuko jela kwa uonevu.
Hapa sizungumzi kama.mfuasi msukule kama wewe.
Nazungumza kama binadamu fu asiyependa unafiki, utapeli wa kisiasa na mauaji kwa jina la siasa.
Mbowe ni tapeli la kisiasa lenye makengeza