Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA


Kwa melezo yako naona unauhakika na m2 uliemtaja kua mhusika mkuu wa sakata la Richmond nikuombe unipe ushahidi ili jamaa aweze kuchkukuliwa hatua zakisheria..
Ahsante
 
Dr. Slaa anatosha kabisa

Kama Lowassa akija poa, akaribishwe.. na aje kuteuliwa ubunge apewe uwaziri apige kazi


unafiki ni dhambi wanaweza kumficha ili waje wampe uwaziri mkuu, kama kurudisha gharama ambazo atawasaidia kufanyia kampaini mwaka huu,
maaana mnafiki ni mnafiki tu hata usiku ni mnafiki,
 

Kwani huo mwaka 2011 kulikuwa na UCHAGUZI gani ? Uongo mwingine bhanaa muwe mnatunga kwa ufundi mkubwaa....
 
Dr. Slaa anatosha kabisa

Kama Lowassa akija poa, akaribishwe.. na aje kuteuliwa ubunge apewe uwaziri apige kazi

Ili aendelee kuliibia Taifa?Tuangalie mbele na siyo hapa puoni.Unadhani huyo Dr.Slaa ataweza kufNya kazi na mhalifu?Hivi uhalifu wake huyo Lowassa unaishia akitoka CCM?Duh.mawazo mengine hayalisaiidii taifa bali linalidumaza Taifa.
 
Mkuu umeongea sn ombi langu ucje kuwa unamkataa Lowasa acpokelewe Cdm kwa manufaa ya Ccm!
 

Mnachosahau ni ukweli kwamba Dr. Slaa si mroho wa madaraka, na wala hana interest na Urais.
 
Kama huna vitu vya kupost uwe unakaa kimya mwehu wewe sio unaleta taarifa za kipumbavu kipindi hiki watu wanaelekea kuchukua dola. Hii mijitu ya ccm kama imelogwa vile inaboa kinyama
 
chadema mbio zote leo ndio mmefikia hapa? Watanzania mtawaambia nini?
Sioni ubaya wowote kwa EL kujoin CDM.

Hata hivyo bado sioni kama itakuwa good move na busara kwa Chadema kumkarabisha mzee wa mamvi kwenye chama chao kwa kumpa nafasi ya kupeperusha bendera kwenye chama hicho kwenye nafasi ya Urais, iwapo itakuwa ndiyo condition aliyotoa ya kujiunga na Chadema.

Akarabishwe kama mwanachama wa kawaida, halafu awe kwenye 'probation period' angalau kwa kipindi cha mwaka mmoja, ili ithibitike pasipo shaka yoyote kuwa ni kweli ametubu 'makosa' yake aliyoyafanya akiwa magambani na kuwa ya kale atakuwa ameyaacha CCM na kwa hakika atakuwa amezaliwa upya na hajathubutu kugeuka nyuma kama ambavyo alifanya Lutu enzi za Nuhu.

Akishafuzu hilo basi awe 'confirmed' na kuvishwa gwanda rasmi.
 
Viongozi CHADEMA msipuuze sauti za watu.... watu wanatoa ushauri wanatukanwa...

CHADEMA fanyeni utafiti kdg

Ni sawa Lowsa aingie CDM asaidie ushindi lakini sio kugombea... kama Rais

Dk. Slaa ndo anafaa

haisaidi tena maana wanajipanga kuficha ukweli kuwa hawako pamoja nae lakini ukweli ndo huo,ama misaada ya pesa au yeye moja kwamoja,
 
Tuliairisha kumtangaza kwa kua tuliambiwa kuna watu wanataka kujumuika na ukawa maana wamechoka
 
Tatizo ni kuwa waanzilishi wa propaganda hii ni ccm na pia CDM wanatumia propaganda hii kuendelea kuvuna wanachama kutoka ccm,ila nina hakika 100% lowasa hawezi kujiunga CDM na hata ccm wanalijua hili,CDM wanajua kabisa kumruhusu lowasa kujiunga nao nikukibomoa chama kwa haraka na hakika,wale wanachama wafia chama wengi wataondoka CDM na wengine wataachana na siasa...madhara yakumpokea lowasa CDM ni mabaya na makubwa sana,maana watapoteza watu muhimu sana ambao wana imani kubwa sana na CDM na pia itakuwa ni tusi kubwa ambalo CDM watakuwa wamelifanya dhidi ya watanzania wapenda mabadiliko yenye nia ya dhati yakubadili mfumo huu wakinyonyaji na wenye gap kubwa la kiuchumi
 
Sioni tatizo kama Lowassa atagombea kupitia CHADEMA. Tunatafuta MTU Mtendaji na mchapa kazi bila kujali ametoka wapi? Hata Zitto mnayemsifia alimkaribisha Lowassa ACT.
 

Hao wagombea wa Udiwani na Ubunge watakaojitoa wataenda kuishi wapi? siku hizi ukifanya ujinga kama huo wananchi wanatia nyumba moto na ikiwezekana na kukuchoma moto na wewe uliyefanya ujinga huo kwani hawana mzaha siku hizi.
 
Magufuli alianza na mungu na atamaliza na mungu ,miamba yote ya wanafiki na shetani itasagana yenyewe,na mwisho alichokipanga mungu mwanadamu hawezi kukipangua kwa namna yoyote hile,
 
kutoka kupinga ufisadi mpaka ku-promote.
bila shaka hizi zitakuwa akili za bangi.

Acha umbea ww... umetoka kupigwa miti sasa hv nn... maana una harufu ya kondomu

Huyu katoka kupigwa pumbv sasa hv

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…