Naona maccm kwa kuogopa nguvu ya chadema mnaanza kupiga ramli.
tunaihitaji mabadiliko yakimfumo.... lowasa ana nyota Kali sana, mbali ya nyota hakuna alie kuja na ushahidi unaomuhusisha Lowasa moja kwa moja na ufisadi...angalau angeburuzwa court ningeamini...
Mandokwa I will support Dr.Slaa.Sitakubaliana na upuuzi kama huo.Na CDM inajitafutia kifo cha ghafla.Mawili either ifutike kwa kumkaribisha Lowassa au Ibaki kwa kumkataa Lowassa.
Na hapo maccm lazima washeherekee kifo rasmi cha CDM.
Nitamshangaa Dr.Slaa akiendelea kukaa CDM,siyo tu ni kumdhalilisha bali watakuwa wametudhalilish watanzania tuliokuwa tunaiona CDM kama mkombozi wa Taifa.Hatuwezi kusema tunapiga vita vya rushwa na.ufisadi halafu tunamkatibisha fisadi.
Nitamshangaa Tundu Lissu aliyepiga vita vya rushwa leo akae meza moja na aliyewadhulumu watanzania maskini haki zao za msingi kwa kujilimbikizia mali yeye na familia yake.
Nitamshangaa Mbowe kwa kudhani watanzania ni wapumbavu.
Waamue CDM ifutike wabaki na Lowassa au wabaki na watanzania wa kawaida pamoja na Chama.
Acha umbea ww... umetoka kupigwa miti sasa hv nn... maana una harufu ya kondomu
Huyu katoka kupigwa pumbv sasa hv
Slaa ndio mgombea wa ukawa jamani ila nafurahi watu wanavyoumiza kichwa juu ya ukawa inafurahisha sana ile dhana ya tunamjua haipo tena
tetesi wapi ameambiwa na mtei kama hataki aondoke ,
wewe unaweza kubisha kwenye saccoss ya mtu na mkwe wake ,masikini SLAA amekaa kimia ,unacheza na njaa ni mbaya?
Nimenasa mpango mzito wa siri wa kuhakikisha CCM inashinda uchaguzi mwaka huu kiulainii bila kutumia nguvu kuanzia ngazi ya udiwani, ubunge na Urais. Mpango wenyewe umeanza kutekelezwa kuanzia mwaka 2011 kwa mamluki wengi kupandikizwa chadema kuanzia ngazi ya mtaa mpaka taifa; Nawahakikishia kuwa CCM itashinda kata nyingi na majimbo mengi bila kupingwa baada ya mamluki kujitoa pindi watakapokuwa wamepitishwa na NEC; Katika nafac ya urais ndugu Magufuli anatarajia kushinda kiulaini baada ya mgombea wa chadema ambae anatarajiwa kuwa Lowasa kujitoa katika mbio hizo baada ya kuwa nae ameshapitishwa na Tume ya uchaguzi. Lowasa ni sehemu ya mpango huo wa kuhakikisha ccm inashinda kiulaini huwezi mtenganisha lowasa na ccm na Kikwete
Ndugu wanajamii,
Nimesoma kwa tahadhali sana maandiko juu ya kumkaribisha Lowasa Chadema ambayo yamemnukuu Mr.Mbowe na wabunge kadhaa ndani ya chama. Binafsi nimestushwa kwani sifikirii kama chama kitatueleza nini wafuasi wa dr.slaa juu ya posibility kwamba atakuwa replaced na lowasa....
Natahadhalisha kwamba maamuzi yakifikia huko then tufanye referendum ndani ya chama kujua upepo unaendaje. Haiwezekani mtu akatwe ccm asababishe kukatwa kwa mlezi tegemeo wa chama. pia natahadhalisha isije ikawa ni gabachovu wa ccm kaja kama mtengwa kumbe ni longterm plan yao kutuvuruga.
Msiseme sijasema.
Mr. Emmy.... Hongera.............. Wanaopinga waje waseme... Je Lowassa akitoa, watafanyaje?
Check red hiyo acha kuweweseka Dozi ya pili sasa hivi inakuingia tuliza masaburi aisee we vipi?
Thread nyingi wote nyie huwa mnachangia kama wana CCM lakini cha ajabu eti thread hii mnajifanya wana CHADEMA acheni unafiki nyie CHADEMA itabaki kuwa imara kama ilivyo Lowasa aingie au ata asipoingia.