Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Siku zote nayakubali maamuzi na busara za mzee Slaa..
Kauli mbiu ya chama nivita dhidi ya ufisadi..
 
Mchukuweni tu edo, sijona jipya la kubadilisha sisiem
 
Kama Chadema itaamua Dkt Slaa ampishe Lowasa itakuwa na athari mbaya katika Falsafa yao ya Muda mrefu ya kupambana na Ufisadi, pia inaweza kumpa Kick na Platform murua Zitto Kabwe na ACT yake. Pia itakuwa ndo Mwisho wa kisiasa wa Slaa kama Upinzan utashindwa kwa kuwa 2025 hatutegemei Slaa atakuwa na nguvu za kufanya siasa. Chadema hawapaswi kubadili itikadi yao ya Chama ya miaka 23 kwa kuwa tu Kamati kuu ya Ccm ilugeuzwa Muhuri wa Kamati ya Maadili.

tunaihitaji mabadiliko yakimfumo.... lowasa ana nyota Kali sana, mbali ya nyota hakuna alie kuja na ushahidi unaomuhusisha Lowasa moja kwa moja na ufisadi...angalau angeburuzwa court ningeamini...
 
Watanzania wako very desperate, kwa hakika hawajui ni nini hasa wakitakacho and they can fall for anything. Kwa haya ni bora tu "kitengo" wawachagulie rais!!!!!

Wa Tanzania wanapenda Juisi za Asili(Locally produced) ila wanachukia sana miti ya Matunda na Matunda yake.
 
Kweli CDM mume bugi step kabisa kwa hili. Kamwe hamtaaminika tena kwa wananchi

Daaa nakusikitikia sana ndege iko angani wewe unasema nini?angalia ya UKAWA hata ratibanyake ya kuondoka haijulikani hadi imetekwa na wahamiaji haramu teh teh teh
 
Mandokwa I will support Dr.Slaa.Sitakubaliana na upuuzi kama huo.Na CDM inajitafutia kifo cha ghafla.Mawili either ifutike kwa kumkaribisha Lowassa au Ibaki kwa kumkataa Lowassa.

Na hapo maccm lazima washeherekee kifo rasmi cha CDM.

Nitamshangaa Dr.Slaa akiendelea kukaa CDM,siyo tu ni kumdhalilisha bali watakuwa wametudhalilish watanzania tuliokuwa tunaiona CDM kama mkombozi wa Taifa.Hatuwezi kusema tunapiga vita vya rushwa na.ufisadi halafu tunamkatibisha fisadi.

Nitamshangaa Tundu Lissu aliyepiga vita vya rushwa leo akae meza moja na aliyewadhulumu watanzania maskini haki zao za msingi kwa kujilimbikizia mali yeye na familia yake.

Nitamshangaa Mbowe kwa kudhani watanzania ni wapumbavu.

Waamue CDM ifutike wabaki na Lowassa au wabaki na watanzania wa kawaida pamoja na Chama.
 
Kama Chadema itaamua Dkt Slaa ampishe Lowasa itakuwa na athari mbaya katika Falsafa yao ya Muda mrefu ya kupambana na Ufisadi, pia inaweza kumpa Kick na Platform murua Zitto Kabwe na ACT yake. Pia itakuwa ndo Mwisho wa kisiasa wa Slaa kama Upinzan utashindwa kwa kuwa 2025 hatutegemei Slaa atakuwa na nguvu za kufanya siasa. Chadema hawapaswi kubadili itikadi yao ya Chama ya miaka 23 kwa kuwa tu Kamati kuu ya Ccm ilugeuzwa Muhuri wa Kamati ya Maadili.

CDM inaweza kugeuka chama cha mafisadi ghafla!

Huu ujinga sasa!

Akikatwa!Na kupachikwa fisadi lowasa,ntarudisha kadi ya chadema asubuhi saa 1.na ntaacha kufuatilia siasa za bongo!

Akiondoka nami nitamfuata aendapo

tetesi wapi ameambiwa na mtei kama hataki aondoke ,
wewe unaweza kubisha kwenye saccoss ya mtu na mkwe wake ,masikini SLAA amekaa kimia ,unacheza na njaa ni mbaya?



Ndugu wanajamii,
Nimesoma kwa tahadhali sana maandiko juu ya kumkaribisha Lowasa Chadema ambayo yamemnukuu Mr.Mbowe na wabunge kadhaa ndani ya chama. Binafsi nimestushwa kwani sifikirii kama chama kitatueleza nini wafuasi wa dr.slaa juu ya posibility kwamba atakuwa replaced na lowasa....

Natahadhalisha kwamba maamuzi yakifikia huko then tufanye referendum ndani ya chama kujua upepo unaendaje. Haiwezekani mtu akatwe ccm asababishe kukatwa kwa mlezi tegemeo wa chama. pia natahadhalisha isije ikawa ni gabachovu wa ccm kaja kama mtengwa kumbe ni longterm plan yao kutuvuruga.

Msiseme sijasema.

Thread nyingi wote nyie huwa mnachangia kama wana CCM lakini cha ajabu eti thread hii mnajifanya wana CHADEMA acheni unafiki nyie CHADEMA itabaki kuwa imara kama ilivyo Lowasa aingie au ata asipoingia.
 
GT.Ahsante ndugu.Rejea kauli makada mbali mbali wa CCM kuwa wataifuta CDM kwenye siasa za Tanzania. Haiwezekani Mafisadi kuwa wapole ghafla, CDM tahadhari muhimu,jamaa watakula vichwa bila huruma.
 
Slaa ndio mgombea wa ukawa jamani ila nafurahi watu wanavyoumiza kichwa juu ya ukawa inafurahisha sana ile dhana ya tunamjua haipo tena
 
Siku zote nayakubali maamuzi na busara za mzee Slaa..
Kauli mbiu ya chama nivita dhidi ya ufisadi..


busara zipi kwa unafiki wa namna hii ,anautofauti gani na kingunge,ndo maana mungu alimpiga kiboko, na mshahara wa unafiki ni jehanamu,
 
Lowassa kutambulishwa baada Ukawa kuikabidhi Chadema kusimamisha mgombea;

habari zinasema kuwa tayari Maalim Seif amebariki mchakato huo na tarehe 25 jully CUF watakubaliana CHADEMA kusimamisha mgombea.
 
naona mnajitahidi kujustfy lowasa kwenda chadema. kutoka fisadi kwenye midomo yenu hadi shujaa kwenye midomo hiyo hiyo.
Ama kweli dunia haiishiwi vituko.


Hakuna zambi isiyosameheka tumuache lowasa aje chadema

Uko sahihi mkuu....akija itamlazimu kunana na beat tu hata km hataki.

Kwanza jamaa ni mtendaji mzuri...Kuliko wanaofumbia Escrow

Mkuu upo dah kitambo sana

Lowasa atasaidia sn kuitoa ccm madalakani
 
Back
Top Bottom