Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

MMechelewa kamanda
Nani ataleta fyoko bila ya mzee kujulishwa?ameshasema chadema sio tena chama cha uanaharakati,sasa ni chama cha siasa
Tulieni mpo katika kipindi cha mpito,mtazoea kuwa wanasiasa,si unaona Lema katoswa,anayea ndoo?kuhamasishana kote kule muende mahakamani,wamejitokeza watu kiduchu sana.Dhambi ya kumsaliti na kumtukana Dr.Slaa inawaandama
Wewe gamba ni mnafiki tangu lini ukataka kuona upinzani unaimarika?
 
Kwani zile milioni kumi kwa kila Mbunge wa ccm umejua mwekiti wako kapata ngapi?
Una akili kweli wewe!?Mdomo huo huo unaokuaminisha kuwa wabunge wa CCM wamekula mgao wa milioni 10 ndio huo huo ulikuwambia kwa miaka nane kuwa Lowassa ni fisadi.

Vipi hadi leo unaamini kuwa Lowassa ni fisadi?
Lazima tukubaliane Mwenyekiti ameishiwa Pumzi ni wakati sasa wa kutafuta mbadala wake
 
Siku hizi ukisema ukweli utaitwa kijana Wa Lumumba ccm. Chadema wamekuwa kama mazombi Fulani hivi!! Na bado dhambi ya kumtukana Dr. Slaa itawatafuna na vizazi vyenu vyote. Watu wamefungwa na kupoteza maisha kisa chadema Leo mnakuja na utetezi hovyo hovyo kisa mmeuza chama. Watu wakiongea ukweli eti mnawaita buku 7? Shit!!!
 
Wewe tia tu unafiki lakini nakuambia malipo hapa hapa Duniani
Watu wana ulemavu wa kudumu, watu wanagawana pesa alafu mnatuambia kubadili gear sijui crutch angani
Ile ni laana na hakika kitachofuata ni kilio na kusaga meno
Tuleteeni 50m mlizotuahidi, hatuoni mnachfanya zaidi ya kujipaka usaha wa majipu yenu.
 
Mmegawana kumi kumi dom saa hizi mnaachia mashuzi ya kunde sio??
Siku hizi ukisema ukweli utaitwa kijana Wa Lumumba ccm. Chadema wamekuwa kama mazombi Fulani hivi!! Na bado dhambi ya kumtukana Dr. Slaa itawatafuna na vizazi vyenu vyote. Watu wamefungwa na kupoteza maisha kisa chadema Leo mnakuja na utetezi hovyo hovyo kisa mmeuza chama. Watu wakiongea ukweli eti mnawaita buku 7? Shit!!!
 
Una akili kweli wewe!?Mdomo huo huo unaokuaminisha kuwa wabunge wa CCM wamekula mgao wa milioni 10 ndio huo huo ulikuwambia kwa miaka nane kuwa Lowassa ni fisadi.

Vipi hadi leo unaamini kuwa Lowassa ni fisadi?
Lazima tukubaliane Mwenyekiti ameishiwa Pumzi ni wakati sasa wa kutafuta mbadala wake
Maneno kama haya ya kwako yalitumiwa na Hilary clinton kwenye kampeni dhidi ya Trump.
Mwisho wa siku amekalia kitu chenye ncha butu.
Hajui hata afanyeje, akijitingisha akijitingisha atamsahau mumewe na akipiga kelele anajiaibisha!!!
Ccm hovyo kabisa.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa mh. Freemam Mbowe amemkaribisha Lowassa kujiunga na CHADEMA hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania Daima, Mwananchi
Hapa ndo pa kuanzia, nose dive ya chadema ilianzia hapa, na haitageuka mpaka majinga yaachie chama!
 
Siku hizi ukisema ukweli utaitwa kijana Wa Lumumba ccm. Chadema wamekuwa kama mazombi Fulani hivi!! Na bado dhambi ya kumtukana Dr. Slaa itawatafuna na vizazi vyenu vyote. Watu wamefungwa na kupoteza maisha kisa chadema Leo mnakuja na utetezi hovyo hovyo kisa mmeuza chama. Watu wakiongea ukweli eti mnawaita buku 7? Shit!!!
Dhambi kubwa ni ile ya kujifanya kumlilia Sitta mkimwita mzarendo kinafiki huku mlitaka kumvua uanachama Wa ccm mkidai anakivuruga chama cha mafisadi.

Mnadhani sisi tunasahau Kama madhombi ninyi ya Lumumba.
 
Wenye madaraka mmeshindwa kumshitaki na kumfunga?
Kwa hiyo kama wenye madaraka hawajamfunga basi ndio mwarifu anageuka kuwa msafi? Kwa hiyo kama hiyo ndio hoja then wabunge wa CCM obvious ni wasafi basi!

Kwa kweli si umii kwa mwenyekiti kuuza chama tu bali hata ku corrupt uwezo wenu vijana wa kufikiri, hasara kubwa sana hii kwa taifa
 
Dhambi kubwa ni ile ya kujifanya kumlilia Sitta mkimwita mzarendo kinafiki huku mlitaka kumvua uanachama Wa ccm mkidai anakivuruga chama cha mafisadi.

Mnadhani sisi tunasahau Kama madhombi ninyi ya Lumumba.
kijana mimi sio mwana chama wa ccm na wala sijawahi na sikuthubutu kumlilia Sitta aliyevuruga katiba ya Watanzania. pitia comment zangu zote hutaona hata siku moja niliwahi kuishabikia ccm. Shida chadema ya sasa wamebaki wapiga dili na wanachama wa hovyo hovyo kama wewe bendera fuata upepo au chadema wasaka tonge.
 
Mmegawana kumi kumi dom saa hizi mnaachia mashuzi ya kunde sio??
Sijui hata kama umesoma na kuelewa nilichoandika. mkuu mimi sio ccm, mimi sina muda wa kushabikia siasa za hovyo hovyo. chadema na ccm wote ni walewale tu.
 
Sijui hata kama umesoma na kuelewa nilichoandika. mkuu mimi sio ccm, mimi sina muda wa kushabikia siasa za hovyo hovyo. chadema na ccm wote ni walewale tu.
Ukisema "usiku na mchana havifai" tiba yako ni ngumu kuitamka hadharani, maana ugonjwa umetopea maungoni mwako.
 
Kwasasa hata ukiongea madhaifu ya Chadema utaitwa wa Lumumba tena utaitwa maneno yote ya kashifa buku7 buku2 buku3 zombi, na matusi yote hata usiyoyajua wanahubiri uwazi na hoja ila wao ndio wakwanza kushindwa kutoa hoja wakiulizwa maswali ya msingi. Kama kwako unashindwa kujenga hoja kwa mpinzani wako ambae ni CCM utaweza??? Kiuhalisia tunahitaji upinzani thabiti ndipo tutasonga mbele ikishindikana hapo tutabaki hivi hivi na CCM itabaki kutuburuza hivi hivi siasa za tanzania wote wanaendesha za maji taka. Wote wapo ili washike uongozi tu na interest zao hawawajali wananchi na kama wapo ni wachache sana na wakipewa kidogo wanageuka kuwa vinyonga. Ukitaka ukweli wa hili angalia wote walioikosoa serikali wakipewa nafasi tu kimya kama sio wao na watapitisha mengi. Ama angalia mtu kipindi yupo kama kiongozi CCM misismamo yake na nje ya uongozi ama nje CCM misinano yake. Siasa za maji taka ndizo zilizobaki Tanzania
 
Back
Top Bottom