oke ndo kumekucha sasa, watajibeba mwaka huu,msimamo wa ligi
oke ndo kumekucha sasa, watajibeba mwaka huu,msimamo wa ligi
watangaze mara ngapi wewe, nasikia hata lile kundi lote limeamia kimia kimia cdm,unafiki mbaya jamani,
Wapinzani/wanamabadiliko wawe wakweli kwa nafsi zao,tokeni nje ya box.CCM ni mfumo,hiyo ndo tatizo letu.Tunataka kubadili mfumo huu wa ukoloni mweusi.Shida siyo watu. Dr J.Pombe,Mh Lowasa,Mh Samia Suluhu si tatizo,shida ni CCM.Nje ya CCM hao ni watu safi.
Kama Lowasa anaweza kuleta ushindi akigombea kupitia upinzani kwa kuwa anao wapenzi/wapiga kura wengi,CDM Hanna budi kumkaribisha ili tuweze kubadili CCM.Lowasa haji kwa taratibu na kanuni toka nyumbani kwake,ATANADI SERA za Chama husika.Acheni uhafidhina wa kivyama,tusikaririshwe matukio.Siasa na mfumo unaoishi,hubadilika kutegemeana na mahali & wakati. Tujadili katika ukweli,tuache kutegemea miujiza.
Tunapinga mfumo wa ccm
Tunamhitaji sana, kura za wafuasi wake, kura za chadema, Cuf, Nccr, zitatuvusha...kwa sasa lengo kubwa ni kuitoa CCM madarakani....hayo mengine baadae....
mAWAZO mGANDO. kWANI MAENDELEO YALIYOKO KWENYE MAKABILA MAKUBWA YAMELETWA NA MARAIS KUTOKA SEHEMU HIZO. Kama nyie ni wavivu ni wavivu tu hata mkipendelewa hamuwezi kuonekana na mabadiliko ya kiuchumi. Kama unafikiri maendeleo yanakuja kwa upendeleo umechelewa ndugu.Siku ile waliposema wakinaRIZ1 nchi hii hatatawala wa kaskazini sikujua maana yake,hebu ona kwa NYERERE ona kwa MWINYI ona kwa MKAPA,hawakupendelea kwao kabisa yalikuwa makabila madogo.tuepuke makabila makubwa.tujenge Nchi yetu.
mkuu Mimi kuamin hili mpaka nisome hayo magazeti....ngumu kumeza kijitaarifa hiki
Tetty
Hiyo list of shame ilisomwa lini na leo ni lini, karibu miaka kumi mtu habadiliki?
Kama unamuona Lowassa ni fisadi kwa kuangalia list ile basi Kikwete atakuwa mwalimu wake kwa vile Kikwete ni wa kwanza kwenye list.
Kila siku mnaambiwa aliye na ushahidi wa ufisadi wake atuletee au aende mahakamani.
hakuna mtu yeyote anayeona kuna sababu ya kutafuta haki sehemu anayoona inaafaa alafu aache. Hata mwenye dhambi ipi akitubu na kunia kutenda mema atasamehewa tu . Tulizeni akili zenu na mioyo yenu mutaona kuna mila sababu ya kumkaribisha ndugu yetu lowasa. Hakuna asiyesamehewa mbele ya mungu .