Ryaro wa Ryaro
JF-Expert Member
- Oct 4, 2010
- 2,659
- 1,430
Siasa Hazina Rafiki au Adui wa Kudumu; Ndg yangu kwenye Siasa ni Mahesabu, Ukiona Jibu ni Sahihi basi Kinachobaki ni Kuchangamkia fursa.
Kinachotusumbua Watanzania Sio Mtu bali ni Mfumo Mbovu Ndani ya CCM na Serikali yake, So Kama Ikatokea Kuusambaratisha Mfumo
Huo Kwa Njia yoyote ile Wapinzani Hawaewezi Fanya ajizi.
Kinachotusumbua Watanzania Sio Mtu bali ni Mfumo Mbovu Ndani ya CCM na Serikali yake, So Kama Ikatokea Kuusambaratisha Mfumo
Huo Kwa Njia yoyote ile Wapinzani Hawaewezi Fanya ajizi.