Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

Mbowe amkaribisha rasmi Lowassa CHADEMA

mwenyekiti wa chadema taifa mh. Freemam mbowe amemkaribisha lowassa kujiunga na chadema hakibagui mtu ili mradi tu afuate kanuni na taratibu za chama.

Source: Tanzania daima, mwananchi

watakura sana matapishi yao mwaka huu,dhambi ya unafiki inawarudia,
 
Hakuna MTU yeyote anayeona kuna sababu ya kutafuta haki sehemu anayoona inaafaa alafu aache. Hata mwenye dhambi ipi akitubu na kunia kutenda mema atasamehewa tu . tulizeni akili zenu na mioyo yenu mutaona kuna mila sababu ya kumkaribisha ndugu yetu Lowasa. Hakuna asiyesamehewa mbele ya Mungu .
 
Mbowe anataka kutukana akili za wote waliojiunga CHADEMA kwa kuchukia UFISADI!!!
Ila Mbowe ni mmiliki wa night club na Casino, kucheza karata/Upatu/kamari kupo damuni.
Ameona watanzania wengi walivyokuwa mashabiki wa Lowassa.
Lowassa ni "a gamble worth taking" kwa Mbowe.
Mbowe hajawahi kuwa mtetezi wa wanyonge; zile ni ngonjera za kuombea kura na bakuli lake la kusaidia CHAMA.
Namhurumia Dr. Slaa kuendelea kuwa CHADEMA.
Kuna waliomdharau Zitto alipotaka kuleta mageuzi, wao wakaita mapinduzi, ndani ya CHADEMA ila walipofushwa wakakataa kuchunguza tuhuma zilizokuwa kwenye ule waraka kujiridhisha kama zilikuwa za kweli au za uongo!
Bahati mbaya Mbowe hawezi fukuzwa CHADEMA kwa hiyo busara ni kwa sisi wenye akili ya kuchambua kujitenga na kusudio hili la Mbowe na genge lake la kunajisi vita dhidi ya ufisadi
 
mungu ajawai kukosea ndomaana karuhusu kukosa na kutubu Kuwai na kucherewa .nawashangaa hawa wasio jua haya.magamba mnakura maharage yawapi?mziki ukiwa mgumu kaleni limau za kiangazi. mmechoka nanyakati nawakati na majira vinawapiga chenga.tuachieni inchi tufanyekazi.amina
 
Wangu nilimwomba na majibu akawa kama nilivyoomba jina la fisadi likakatwa, mabadiliko hayawezi kuletwa na fisadi lowassa na team yake ya akina Rostam, mengi, karamagi, chenge, Tibaijuka. Mabadiliko ya kweli yataletwa na kizazi cha viongozi wasiokula rushwa na wasio na tamaa ya madaraka. Naomba uendelee kuomba mabadaliko ili tupate viongozi wasio na uchu wa madaraka kama lowassa.


MUNGU ACHA AITWE MUNGU NA HAKUNA MWANADAMU WA KUBADILISHA ALICHOKIPANGA MUNGU,
WALIOKUWA WANAJIITA WASEMA KWELI NA WAZAREDO LEO NIMESOMA MAGAZETI WAMEANZA KULA MATAPISHI YAO YA MWEMBEYANGA,TUNAENDELEA KUOMBA BILA KUCHOKA ADI MOSHI MWEUPE UONEKANE,

 
hakuna mtu yeyote anayeona kuna sababu ya kutafuta haki sehemu anayoona inaafaa alafu aache. Hata mwenye dhambi ipi akitubu na kunia kutenda mema atasamehewa tu . Tulizeni akili zenu na mioyo yenu mutaona kuna mila sababu ya kumkaribisha ndugu yetu lowasa. Hakuna asiyesamehewa mbele ya mungu .

wa kwanz akutubu ni mnafiki slaa aliye muweka lowasa kwenye list of shame mwembeyanga,then ndo wote watubu kwa kila mahali walipoa,mwaka huu hadi raha,unafiki unawanyonga watu,
 
sio kila kitu kinachosemwa jukwaani kina ukweli vingine ni kwa ajili ya kupumbaza watu ss km uyo lowasa km ni kweli fisadi mbona ajapelekwa mahakamani km kinamramba

Unaweza kunijibu hili?Kwanini alikuwa analipa watu pssa kwa ajili ya kumchagua?Rafiki huyo tuliyenaye alipita njia hizo hizo alizokua anapita rafikiye!Ila tatizo ni kuwa rafikiye amempenda mwingine achukue mikoba yake!

Lakini njia alizopita ndizo alizopita ndizo hizo hizo za.kulipa na kutoa rushwa ili apate uongozi.Tofauti hawana.ila mimi na wewe tujiulize atarejeshaje pesa alizokopa kwa ajili ya kusaka urais?

Uzuri ananua njia aliyotumia kutaka kuteuliwa ziyo sahihi.Asi getoa pesa nina uhakika asingekuwa na sababu ya kuukosa.

Leo tunalia mikopo imezidi imefika mahali hayujui kama italipika.Cha maana bakuna bali safari za kila siku,mikopo hii haijalipa mikopo iliyochukuliwa wakati wa kusaka uongozi?

Sina ubaya a Lowassa wala kwa yeye kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa,lakini sitakuwa na amani kwa chama chochote cha siasa kikimsimamisha kugombea urais.

Sina uhakika hata ubunge kama itawapa chama hicho.Kwangu TAIFA langu ni bora kuliko chama.Chama chweza kufa lakini si TAIFA langu.

Huu ndiyo msimamo wangu.
 
mungu ajawai kukosea ndomaana karuhusu kukosa na kutubu kuwai na kucherewa .nawashangaa hawa wasio jua haya.magamba mnakura maharage yawapi?mziki ukiwa mgumu kaleni limau za kiangazi. Mmechoka nanyakati nawakati na majira vinawapiga chenga.tuachieni inchi tufanyekazi.amina


ama kweli unafiki ni dhambi ,tunaomba wote wa kashifa za ufisadi watubu na tunawasamee kwa kila chama walipo,tunaanza zama mpya,kama leo chadema mnamkalibisha lowasa mliemtia shombo mwembeyanga kweli ,ningekuwa lowasa nisingekubali.
 
Yoyote ambaye anaweza kuondoa hili neno ccm ndio chama tawala basi tunamkaribisha ukawa. Hata kama ni jini.
 
unaweza kunijibu hili?kwanini alikuwa analipa watu pssa kwa ajili ya kumchagua?rafiki huyo tuliyenaye alipita njia hizo hizo alizokua anapita rafikiye!ila tatizo ni kuwa rafikiye amempenda mwingine achukue mikoba yake!

Lakini njia alizopita ndizo alizopita ndizo hizo hizo za.kulipa na kutoa rushwa ili apate uongozi.tofauti hawana.ila mimi na wewe tujiulize atarejeshaje pesa alizokopa kwa ajili ya kusaka urais?

Uzuri ananua njia aliyotumia kutaka kuteuliwa ziyo sahihi.asi getoa pesa nina uhakika asingekuwa na sababu ya kuukosa.

Leo tunalia mikopo imezidi imefika mahali hayujui kama italipika.cha maana bakuna bali safari za kila siku,mikopo hii haijalipa mikopo iliyochukuliwa wakati wa kusaka uongozi?

Sina ubaya a lowassa wala kwa yeye kuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa,lakini sitakuwa na amani kwa chama chochote cha siasa kikimsimamisha kugombea urais.

Sina uhakika hata ubunge kama itawapa chama hicho.kwangu taifa langu ni bora kuliko chama.chama chweza kufa lakini si taifa langu.

Huu ndiyo msimamo wangu.


mkuu na nukuu,"kwangu taifa ni bora kuriko chama ,maana chama cha weza kufa lakini si taifa langu.' mwishp wa kununu, mungu akuzidishie hekima na wewe ni mtanznaia wa kweli,na watu wote waige kutoka kwako,hii docrine yako ni zaidi ya kuwa na phd ya shule,

kwanini nasema hivyo ni kati ya mln 48 za watz wenye mtizamo wa utaifa kama wako ni kama mln 5, wengine vyama kwanza saccoss za babu ,njomba, kabila letu na shangazi kwanza zaidi ya utaifa,


 
Kaogopa kwenda ACT kwa ajili ya kipengere cha maadili. ACT ni chama makini sana.
 
Naomba niweke kumbukumbu sahihi waandishi na watumiaji na wanachama wa Jf, ukweli ndio huweka Taifa imara na lenye maadili,huwezi kuandika kitu hivihivi tu
tuweni Tomasso ili tumsikie Mbowe mwenyewe mengine haya maigizo tu

Au kama Tumaini Makene angetamka mwenyewe,tungeamini
 
anakula matapishi!!? Tusiwaamini wanasiasa.

kama ni kuchanganyikiwa basi tingatinga limewachanganya adi basi,mungu anapotaka kurikomboa taifa lake wote wanafiki upigwa upofu wa muda ndo kinachowakuta sasahivi,walizani watanznaia ni wajinga lakini mshahara wa zambi ni mauti walimzalilisha lowasa na dunia ikafaamu leo hii wanayarudia matapishi,namsubili silaa kwa hamu sana ,atanieleza mwebeyanga alikuwa amechanganyikiwa au,rahana ya uhasi ndo ilikuwa kichwani mwake,

 
naomba niweke kumbukumbu sahihi waandishi na watumiaji na wanachama wa jf, ukweli ndio huweka taifa imara na lenye maadili,huwezi kuandika kitu hivihivi tu
tuweni tomasso ili tumsikie mbowe mwenyewe mengine haya maigizo tu

au kama tumaini makene angetamka mwenyewe,tungeamini


hauwezi kutuambia kitu,mlimzalilisha lowasa kweupe na dunia ikafahamu,nafikiri hata yeye kama sio tamaa za urais hasingekuja kwenu,lakini jua mshahara wa dhambi ni mauti sasa mauti yamewafikia,utavuna unafiki wenu mwaka huu,
 
Yoyote ambaye anaweza kuondoa hili neno ccm ndio chama tawala basi tunamkaribisha ukawa. Hata kama ni jini.

KWELI MWAKA WENU WA KUPOKEA MAJINI MAANA UNAFIKI WENU UMEFIKA MWISHO,TUNAMSUBILI slaa atueleze kwanini alimzalilisha LOWASA.
 
Kuna habari zinasambazwa kupitia whatsapp kuwa Mh. Edward Lowasa kahamia CHADEMA leo, mwenye habari za ukweli anifungue macho tafadhali.
 
Back
Top Bottom