Nyerere alisema upinzani wa kweli utatoka ccm tofauti na lowasa kuisambalatisha ccm aiwezi toka madarakani watanzania kuujenga upinzani siyo kazi ndogo muda ndiyo huu Chadema na baadhi ya vyama kuvuna watu kutoka ccm tena na hao wana ccm waingie vyama tofauti vya upinzani