Naona unatafuta mme jfKwa Tafsiri hii, ya kuyakumbatia maovu ambayo walikua wanayapinga......
Kwa kumkaribisha yule waliyekua wanamtuhumu majukwaani.....
Kwa kutudanganya tuamini yale wanayotaka tuamini kumbe sivyo.......
Kama ni kweli mmemkaribisha huyu mtu.........
Nyie sio wa kuaminika, hamfai...hamchelewi kutubadilikia mkiwa ikulu.......
Mnapinga nini na kufanya nini????
Uongozi wa ikulu ni muhimu kuliko uhusiano wenu na wanaowaamini...
MMewasaliti Watanzania kwa uchu wa IKULU......
Mtawatawala vipi wale mliowasaliti......
Ina maana mlikua mnatoa tuhuma za UONGO juu ya huyo mtu....
Kama ni tuhuma za Uongo...tokea muanze kutoa TUHUMA mmetoa ngapi za uongo na ngapi za Ukweli....
Tunashindwa kuamini tena hata mkituambia kua yapo ya ukweli mliyotuambia....
Imani juu yenu imepotea.....
CHADEMA hamuaminiki tena...
Muda huu kikao cha siri kinaendelea makao makuu ya Chadema Mtaa wa Ufipa,mjadala uliobaki sasa ni namna ya kuweza kuwapatia lembeli na Ester Bulaya nafasi za kuwania Ubunge katika majimbo ya Kahama na Bunda mjini.
Katika kikao hiki ambacho Dk Slaa hayupo na tayari ameshakubaliana na uamuzi wa Chama wa kumpokea Edward Lowasa,wajumbe wanaangalia namna ya kuwaruhusu Bulaya na Lembeli kuingia katika kinyang'anyiro ndani ya Chama bila kulitea mgawanyiko na kuonyesha uvunjaji wa kanuni walizojiwekea
Ikumbukwe kuwa kama Chama taratibu za kuchukua na kurudisha fomu tulimaliza julai 19 mwaka huu na muda ambao Bulaya na Lembeli walikuwa bado hawajajiunga nasi.
Tunamshukuru Mungu kila kitu kinaenda sawa na hata kama kutatokea tatizo kwa wale waliotia nia ya kuwania majimbo hayo ya Lembeli na Bulaya tutakuwa na Cha kuwaambia.
Kuhusu Lowasa tumeshamalizana nae ingawa kikwazo kilikuwa kwa upande wa mke wa Katibu mkuu wetu juu ya mumewe kukubaliana na uamuzi huo kwa sasa tunashukuru ametuelewa
Kwa sasa niishie hapa ila jumapili mtegemee mshituko mkubwa wa nchi juu ya kikao hiki
Kwa Tafsiri hii, ya kuyakumbatia maovu ambayo walikua wanayapinga......
Kwa kumkaribisha yule waliyekua wanamtuhumu majukwaani.....
Kwa kutudanganya tuamini yale wanayotaka tuamini kumbe sivyo.......
Kama ni kweli mmemkaribisha huyu mtu.........
Nyie sio wa kuaminika, hamfai...hamchelewi kutubadilikia mkiwa ikulu.......
Mnapinga nini na kufanya nini????
Uongozi wa ikulu ni muhimu kuliko uhusiano wenu na wanaowaamini...
MMewasaliti Watanzania kwa uchu wa IKULU......
Mtawatawala vipi wale mliowasaliti......
Ina maana mlikua mnatoa tuhuma za UONGO juu ya huyo mtu....
Kama ni tuhuma za Uongo...tokea muanze kutoa TUHUMA mmetoa ngapi za uongo na ngapi za Ukweli....
Tunashindwa kuamini tena hata mkituambia kua yapo ya ukweli mliyotuambia....
Imani juu yenu imepotea.....
CHADEMA hamuaminiki tena...
Nakumbuka mtu wa kwanza kuwambia watanzania waziwazi mchana kweupe alikuwa Slaa akimtaja Lowassa kuwa kwenye list of shame,kama fisadi wa kutisha ktk nchi hii.
Lakini leo hii Slaa na Mbowe ndio hao hao wamekaa meza moja na Lowassa wakimpokea kwa shangwe kubwa,
kitendo hiki ni sawa na kuyarudia matapishi yao ya Mwembe Yanga,na kutuonyesha watanzania kuwa Slaa ni mnafiki maana alimtumia uchafu wa Lowassa kujiimalisha kisiasa na kumchafua Lowassa mbele ya umma kumbe mnafiki,
Mimi binafsi najiuliza maswali haya
1, Slaa kwanini alimchafua Lowassa na leo hii anayarudia matapishi yake?
2, Je, leo hii utatwambia nini sisi watanzania na unafiki wako wa wazi kiasi hiki?
3, Unafiki ni dhambi na hii dambi Slaa utaifutaje machoni mwa watanzania?
4, Kumbe mkisemacho mdomoni sio kilichopo moyoni mwenu?
5, Je, tukiwaita wasakatonge tutakuwa tunawakosea?
6, Je, tukiwaita wanafiki tutakuwa tunawakosea?
Na habari za ndani kwa sasa hata kama hamtampitisha kugombea urais kitakuwa ni kiini macho mkiongopa kuulizwa juu ya unafiki wenu lakini ana ahadi ya nafasi ya uwaziri mkuu mkipata na ndio maana atatoa pesa nyingi kuwasaidia hili kushinda kutoka kwa marafiki zake na yeye.
Huu mpango mnaupanga kwa kushirikiana na mengi katika dhana yenu hile sitaitaja mnaijua wenyewe,lakini nachosema unafiki ni dhambi na dhambi hii inawarudia mwaka huu maana nyie ndo mlikuwa wakwaza kumvua nguo lowasa mchana kweupe na kumuita fisadi papa /nyangumi lakini leo hii ndo mpanga diri zenu.
Nasema unafiki wenu tumeishaujua,na matunda yake mtayavuna mwaka huu,msinge mchafua Lowassa na leo hii kuyarudia matapishi hayo ndio plan b yenu, ukweli wenu kwa mkisemacho uko wapi?