Waziri kivuli
JF-Expert Member
- Nov 30, 2016
- 2,987
- 3,451
Wakija kutangaza utashangilia!!!!tatizo press conference waandishi mnazitaka ili mpate pesa za kutoa habari,
kama unataka kujua mapato kawaulize makao makuu yao.?
Wakija kutangaza utashangilia!!!!tatizo press conference waandishi mnazitaka ili mpate pesa za kutoa habari,
kama unataka kujua mapato kawaulize makao makuu yao.?
Walipa kodi tuna haki ya kujua mapato yetu!kwani lazima?
Ukiongopa sana mwisho wa siku ni aibu.Utaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?
Ile tabia ya kutangaza kila mwezi ilikuwa ni kutafuta sifa? au hela sa kuita waandishi wa habari zimeisha?Benki kuu na TRA wanatangaza mapato kwenye website yao. Nendeni mkasome acheni uvivu.
Huwa ni kazi sana kutetea ujinga!Wapi transparency??????????Hahahahaaaaa,JPM kwa kiki!!!Subiri siku yapande,utamuona atakavyotoka frontkasome sheria ya serikali za mitaa
Jibu swali kwanini sasa hivi TRA hawaitishi press kutangazia wananchi mapato ya mwezi ?. Usizunguke zunguke kama mtu ambaye haelewi swali kwenye mtihani.Zilikuwepo, sasa kwanini media zisitangaze mpaka waitiwe press conference? Kwanini wasidakue data na kuandika magazetini?
Kwanini msilaumu media, mlaumu serikali?
Ile tabia ya kutangaza kila mwezi ilikuwa ni kutafuta sifa? au hela sa kuita waandishi wa habari zimeisha?
Tunauliza kulikoni?
Kuna tofauti gani? Data si zipo mkasome? Mimi naona kama mnalalamika na kuja na sababu zisizo na msingi wowote ule. Nendeni mkazisome halafu tujulishane badala ya kuja na sababu zisizo na mbele wala nyuma.Wewe umeona hapo tumelaumu au tunauliza?
Kwa sababu siyo sharia.Jibu swali kwanini sasa hivi TRA hawaitishi press kutangazia wananchi mapato ya mwezi ?. Usizunguke zunguke kama mtu ambaye haelewi swali kwenye mtihani.
Ziko wapi hizo data?Hakuna Data zozoteKuna tofauti gani? Data si zipo mkasome? Mimi naona kama mnalalamika na kuja na sababu zisizo na msingi wowote ule. Nendeni mkazisome halafu tujulishane badala ya kuja na sababu zisizo na mbele wala nyuma.
Sharia ndio mdudu gani?Kwa sababu siyo sharia.
Kuna tofauti gani? Data si zipo mkasome? Mimi naona kama mnalalamika na kuja na sababu zisizo na msingi wowote ule. Nendeni mkazisome halafu tujulishane badala ya kuja na sababu zisizo na mbele wala nyuma[/QUOTE Sasa Mimi Niko kijijini ntazisomea wapi? Mbona unakuja na majibu rahisi utafikiri hukuwahi kugusa umande
Hatupangiwi! Hivi hamuelewi ee?Mimj nadhani unaweza kuyaomba lakini siyo tra bali hazina kwa maana nijuavyo mm ni kwamba tra iko chini ya hazina.
Ziko wapi hizo data?Hakuna Data zozote
Data zipo, sema uelewa wako ni mdogo subiri magazeti labda yatakuelewesha. Sharia/sharia who gives a fk?Sharia ndio mdudu gani?
Watawalazimisha wenye mamlaka?Zilikuwepo, sasa kwanini media zisitangaze mpaka waitiwe press conference? Kwanini wasidakue data na kuandika magazetini?
Kwanini msilaumu media, mlaumu serikali?
Akikujibu ni pmTunauliza kulikoni?
Kwani Walipokuwa wanatutangazia hawakujua kama kuna hizo "Websites"?Benki kuu na TRA wanatangaza mapato kwenye website yao. Nendeni mkasome acheni uvivu.
Walijua .... kwa hiyo?Kwani Walipokuwa wanatutangazia hawakujua kama kuna hizo "Websites"?
Kaka mbona unakuwa ugomvi tena? KulikoniWalijua .... kwa hiyo?
Walijua .... kwa hiyo. 😀😀😀
Benki kuu na TRA wanatangaza mapato kwenye website yao. Nendeni mkasome acheni uvivu.