Mtemi Mojo
Member
- Dec 17, 2017
- 39
- 44
Kwamba bajeti iliyopo haifuatwi.
Niambie, mishahara hailipwi? Au haikua kwenye bajeti?
Niambie, kuna mwanafunzi kacheleweshewa boom? Au pia haikua kwenye budget.
Ujenzi wa reli haukua kwenye bajeti?
Halmashauri gani haijapata gawio lake?
Elimu bure imekwama?
Au umewasikia wakina Lema Nawewe ukaamua kupita na maneno yao.?
Niambie, mishahara hailipwi? Au haikua kwenye bajeti?
Niambie, kuna mwanafunzi kacheleweshewa boom? Au pia haikua kwenye budget.
Ujenzi wa reli haukua kwenye bajeti?
Halmashauri gani haijapata gawio lake?
Elimu bure imekwama?
Au umewasikia wakina Lema Nawewe ukaamua kupita na maneno yao.?