Wewe hutaki kujishuhulisha tu. Nenda kwenye website ya benki kuu. Kuna taarifa ya kila mwezi. Unapata kila kitu ndugu yangu. Makadirio, mapato na matumizi ikiwemo vyanzo vyote vikubwa vya kodi. Utaangalia pia na wale waliosema kodi itapunguza watalii-unaweza kuwapigia simu kuwauliza kuna nini tena; mbona imekuwa hivyo. Wanakuwekea mpaka ya Zanzibar. Hii inaitwa efficiency; tunaondoa process ambazo hazibadilishi matokeo. Haikuwa na haja ya TRA kukaa,kuprocess na kutangaza na wakati huo huo benki kuu wanakaa, wanaprocess na wao wanatangaza.
Basi waambie wale wotewenye uwezo kama were wa kuweza kuingia JF waingie website ya BOT