Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 20,540
- 41,288
Kupata mapato mazuri inatakiwa watu vichwa sana na si kutafuta kiki tuu katika media ukiona wanakula mzigo wa rambi rambi ujue chungu akina kitu...
Mambo mengi ya awamu hii siyo sustainable. Kuna vitu vingi vinafanywa kwa ajili ya popularity tu!!Utaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?
Mbona mapovu sana?Hizi taarifa wewe umetoa wapi au ndio kutudhiirishia matatizo yako ya akili?!
Ni lazima kwa kuwa fedha ni zetu ila wao wanazikusanya kwa niaba yetu. Kwa kuwa kila mtanzania hulipa kodi akiwa peke yake kwa ivo ni LAZIMA wanaozikusanya kutoa hesabu ya jumla ya fedha wanazozikusanya kwa kila mwezi!kwani lazima?
Kwani walikuwa wanasumbua mmawia?Tutapata amani sasa kutoka kwa vijana wa lumumba
sio lazima ila walishatuzoesha zile tambo so tunazi-misskwani lazima?
Are you serious?wanatembelea rimu makusanyo yapo chini mno ndo maana ule mkakati wa kupunguza watumishi unaendelea ili kupunguza mzigo kwà gvt
Exactly. Lazima watusomee, wanaogopa mini?Ni lazima kwa kuwa fedha ni zetu ila wao wanazikusanya kwa niaba yetu. Kwa kuwa kila mtanzania hulipa kodi akiwa peke yake kwa ivo ni LAZIMA wanaozikusanya kutoa hesabu ya jumla ya fedha wanazozikusanya kwa kila mwezi
Mlivyokuwa mnatangaza kila mwezi hamkujua kuwa siyo lazima
Hii ni kweli! Wao waseme tu, hata kama ni kidogo hivyo hivyo. Katika maisha kuna kupanda na kushuka. Sio kila siku upandeMambo mengi ya awamu hii siyo sustainable. Kuna vitu vingi vinafanywa kwa ajili ya popularity tu
Unatafuta kesi ya uchochezi bure .akili ya mtu yule anaijua mwenyewe .maana Mungu mwenyewe anatumia some control kwa binadamu na sio total control ,sasa Sijui binadamu anae jaribu total control kumsimamia binadamu mwenzake anapata wapi ujasiri huo .ni swala la muda tuu itaeleweka .Utaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?
Kwa taarifa yako tangu mh rais aingie madarakani tra hawajawahi kukusanya chini ya 1trioni. Ni kuanzia trioni na kwenda juu.tatizo press conference waandishi mnazitaka ili mpate pesa za kutoa habari,
kama unataka kujua mapato kawaulize makao makuu yao.?
Tatizo lao ni kupenda sifa na kusifiwaHii ni kweli! Wao waseme tu, hata kama ni kidogo hivyo hivyo. Katika maisha kuna kupanda na kushuka. Sio kila siku upande
Duuuuu kumbe ndio ilivyo?Watoke wapi hesabu wakati mtoto wa dada yake pale wizara ya fedha ndio anahodhi kila kitu wanatosha kwa sababu zote zinapelekwa chato
Sasa kama ni hivyo si watangaze! Tatizo liko wapitaarifa yako tangu mh rais aingie madarakani tra hawajawahi kukusanya chini ya 1trioni. Ni kuanzia trioni na kwenda juu