Mbona mapato ya kila mwezi hatusomewi?

Mbona mapato ya kila mwezi hatusomewi?

Nchi ya wanyonge, kuna mnyonge analipa kodi? ngoja matajiri waondoke abaki na wanyonge wake.
Ndio matatizo ya kumpa nchi mtu ambae alizoea kukariri chemical reactions na mayai ya samaki baharini...hajui hata strategy za kukuza uchumi...

ona sasa TRA hoi ....hamna hata wanachokusanya...

heri kikwete alifika 900b....
 
tatizo press conference waandishi mnazitaka ili mpate pesa za kutoa habari,
kama unataka kujua mapato kawaulize makao makuu yao.?
 
Kabla ya kufanyia kazi hili la kutangaza mapato kila mwezi wangeanza na hili la mitandao yao kuzidiwa na wingi wa miamala ya walipa kodi hivyo kuleta usumbufu usio wa lazima, wakati wa ulipaji unambiwa system iko down.
[HASHTAG]#Eid[/HASHTAG] Mubarak.


Na washawasha!
 
Ndio matatizo ya kumpa nchi mtu ambae alizoea kukariri chemical reactions na mayai ya samaki baharini...hajui hata strategy za kukuza uchumi...

ona sasa TRA hoi ....hamna hata wanachokusanya...

heri kikwete alifika 900b....
JK alikuwa mchumi na mfanya biashara, huyu ni matamko bila research yoyote.
 
Utaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?
kwani lazima?
 
Utaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?
Mzee wa chatle kastuka, kagundua mnapiga hesabu za annual income collected then mnatoa na matumizi ya miradi iliyofanyika. Mwisho wa siku mtajua jinsi anavoiba.
 
Utaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?
Kama walivyoanzisha bila kushauriana na yeyote na ndivyo wamesitisha bila kushirikiana na yeyote,huo utaratibu haupo kisheria kwa hiyo hatuna haki ya kuhoji
 
Back
Top Bottom