Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 122,521
- 96,267
Mwanzo walikuwa wanakusanya madeni ndio maana walikuwa wanatoka kwenye media kila uchaoUtaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?