Kukusomea wewe mapatoL
Lazima nn ?
Kukusomea wewe mapatoL
Lazima nn ?
Mkuu ni ukweli?Haaa watatangaza wakati mapato yameshuka kuwa 350b kwa mwezi
Inasikitisha sana mkuuKama walivyoanzisha bila kushauriana na yeyote na ndivyo wamesitisha bila kushirikiana na yeyote,huo utaratibu haupo kisheria kwa hiyo hatuna haki ya kuhoji
Ni kweli, lakini si wangesema tu ukweli, kwani tatizo liko wapiHuwezi kudanganya siku zote
Mbona kwenye serikali za vijiji viongozi bado wanalazimisha watendaji wasome mapato na matumizi. Ndo transparency yenyewe hiyo. Kwa nini wao wasitusomee?Kukusomea wewe mapato
Ni kweli?Mbwembwe nyingi ..watasomajee wakati now kwa mwezi shiling million 100
Kwani mkuu hatuwezi omba haya mapato, au ni siri tena kama ilivyo mikataba?Mzee wa chatle kastuka, kagundua mnapiga hesabu za annual income collected then mnatoa na matumizi ya miradi iliyofanyika. Mwisho wa siku mtajua jinsi anavoiba
Mkuu ni ukweli?Haaa watatangaza wakati mapato yameshuka kuwa 350b kwa mwezi
Mkuu ni ukweli?Haaa watatangaza wakati mapato yameshuka kuwa 350b kwa mwezi
kasome sheria ya serikali za mitaaMbona kwenye serikali za vijiji viongozi bado wanalazimisha watendaji wasome mapato na matumizi. Ndo transparency yenyewe hiyo. Kwa nini wao wasitusomee?
Hiyo hawatangazi siunajua ni wapenda sifa?Hahahaha watangazi billion 450!!!!!
Jamaa wameshuka kwa speed ya jetNdio matatizo ya kumpa nchi mtu ambae alizoea kukariri chemical reactions na mayai ya samaki baharini...hajui hata strategy za kukuza uchumi...
ona sasa TRA hoi ....hamna hata wanachokusanya...
heri kikwete alifika 900b....
Mbwembwe zote kwishneytatizo press conference waandishi mnazitaka ili mpate pesa za kutoa habari,
kama unataka kujua mapato kawaulize makao makuu yao.?
Washauri wenyewe kama ni kina BashiteJK alikuwa mchumi na mfanya biashara, huyu ni matamko bila research yoyote.
Tutapata amani sasa kutoka kwa vijana wa lumumbaKiki mwishowe zimeisha. Ukweli na uongo haufungamani
Mlivyokuwa mnatangaza kila mwezi hamkujua kuwa siyo lazima?kwani lazima?