Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 25,169
- 48,451
Waendelee. Halafu unaposema watu waende kwenye hizo "websites" huwa unajali na wale walioko vijijini ambao hizo "websites" wala hawajui zinafananaje?Walijua .... kwa hiyo?
Waendelee. Halafu unaposema watu waende kwenye hizo "websites" huwa unajali na wale walioko vijijini ambao hizo "websites" wala hawajui zinafananaje?Walijua .... kwa hiyo?
U gave the f.. ndio maana u bothered explaining ur self!Data zipo, sema uelewa wako ni mdogo subiri magazeti labda yatakuelewesha. Sharia/sharia who gives a fk?
Keyboard yangu ina auto-correct kwa hiyo ukiandika neon sheria ina-detect na kubadilisha kuwa sharia kwa sababu ni neno maarufu. Wengi huelewa hili, sema naona teknolojia imekupitia kando. No wonder huzioni hizo data.
Ngoja niendelee kusubiri anijibuAkikujibu ni pm
Walijua .... kwa hiyo?
Ugomvi tena? Au hujaona swali lenyewe lilivyo?Kaka mbona unakuwa ugomvi tena? Kulikoni
Kwishaaaaaaa habariiiiiiiitutaanza kutangaza tarehe 1 July watu wote wakiripia majumba, machinga wakipewa vitambulisho Heboo!!
His zimenasaHili jibu la jazba inaonekana mambo yamepandiana.
Mbwembwe kwishaaaaaaaKisima kimekauka
Magazeti, redio, TV na simu mitandao huwa wanaangalia nini?Waendelee. Halafu unaposema watu waende kwenye hizo "websites" huwa unajali na wale walioko vijijini ambao hizo "websites" wala hawajui zinafananaje?
Watuambie hivyo hivyo, mbona hakuna tatizo.Wanaona aibu maana yale makusanyo na malimbikizi yote hayapo tena
Na ubaya biashara zinabuma
Unadhani aliyeulizia ni mwandishi wa habari?Magazeti, redio, TV na simu mitandao huwa wanaangalia nini?
Hapana.Unadhani aliyeulizia ni mwandishi wa habari?
....Mmh wenye nchi walusema hawapangiwi, watasikiliza kweli?Wengine mlisema bora wakae kimya hizo taarifa haziwasaidii chochote na wengine wakadai ni za kupika. Labda wamewasikiliza!!!!