Mbona mapato ya kila mwezi hatusomewi?

Mbona mapato ya kila mwezi hatusomewi?

Kama walivyoanzisha bila kushauriana na yeyote na ndivyo wamesitisha bila kushirikiana na yeyote,huo utaratibu haupo kisheria kwa hiyo hatuna haki ya kuhoji
...Haupo kisheria lakini ndiyo utaratibu tuliojiwekea
 
Hesabu zao zilikuwa hazitoshi Mkuu, hivyo wakaanzisha utaratibu wa kutoa miezi mitano au sita kama sikosei ili kuziba ukweli wa makusanyo yao kwa mwezi yalikuwa kiduchu mno hajayai hata kiganjani.

Utaratibu wenu wa kutangaza mapato niliupenda sana, lakini ghafla mkaacha. Nini kiliwakuta ghafla mkasitisha? Wanamchi tuna hamu na hako ka utaratibu..! Rudisheni basi, au mtupe sababu ni nini?
 
Mm naona bora wasitangaze maana watu tayari mmekuja na makusanyo yenu tayari hivo hata wakitoa mtaendelea bisha.kuna kipindi walitoa mkadai ya kupika sasa mnayataka ya nini kama mlishajisemea ya kupika?watu hamna jema wakitoa mnasema vibaya wasipotangaza mnawasema vibaya.
 
kuna vitu vingine havihitaji mbwembwe na sifa za kijinga, mapato yameshuka sana so wanaona aibu kutangaza kiduchu kilichopatikana, kwishney
 
Mm naona bora wasitangaze maana watu tayari mmekuja na makusanyo yenu tayari hivo hata wakitoa mtaendelea bisha.kuna kipindi walitoa mkadai ya kupika sasa mnayataka ya nini kama mlishajisemea ya kupika?watu hamna jema wakitoa mnasema vibaya wasipotangaza mnawasema vibaya
Nani kabisha?
 
Hivi kama kanda maalum ya kodi Kariakoo hali yetu mbaya, hamna biashara unategemea hayo mapato watayatoa Chato? Bora waendelee kupiga tu kimya.
 
Back
Top Bottom