Mwanasiasa mtata
JF-Expert Member
- Oct 25, 2022
- 1,520
- 3,770
Swali gumu sana kwa maccm. Wanaogopa kusema mkataba kwasababu una mapungufu mengi. Na wanaogopa kusema ni makubaliano kwa sababu makubaliano hayawezi kijadiliwa na bunge, sasa kazi kwao na inakuwa ile slogan ya ukimung'unya mchale na ukitema mchale🤣🤣Nadhani, kwa maoni yangu issue ya kwanza ni JE IGA NI MKATABA AU NI MAKUBALIANO?