Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,741
- 218,330
Taarifa ikufikie popote ulipo kwamba ile kesi ya kupinga Mkataba wa aibu baina ya Bandari za Tanganyika na wawekezaji wa kiarabu wa Dubai inaendelea leo 25/7/2023 kwenye Mahakama kuu kanda ya Mbeya.
Tayari Mawakili wa Wazalendo na Wazalendo wenyewe wamekwishafika Mahakamani hapo.
Walalamikaji
2. Emmanuel Chengula
3. Raphael Ngonde
4. Frank Nyalusi
MAWAKILI WA WALALAMIKAJI
1. Adv. Mpale Mpoki
2. Adv. Boniface Mwabukusi (Mayweather)
3. Adv. Philip Mwakilima
4. Adv. Livino Ngalimitumba.
Usiondoke JF
Updates
=========
Kesi imeanza saa 8 kamili kwa saa za Tanzania .
Hii ni kwa sababu kulikuwa na nyaraka kadhaa zinawekwa sawa na Mahakama kabla ya kipute kuanza .
Hata yatajidiliwa kwanza Mapingamizi (P,O) yaliyowekwa na Mawakili wa serikali
Tuendelee kuvumilia , Taarifa zote zitaletwa hapahapa