Updates za Kesi ya Bandari

Mdude_Nyagali

Member
Dec 11, 2022
60
1,237
Updates kesi ya bandari.

Majaji wanaingia muda huu saa 14:45
Kalani anataja namba ya kesi.

KESI YA KIKATIBA NA.5/2023

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI; kwa kifupi SA.

1. Adv. Muluambo

2. Edson

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin

MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI:

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba

WAKILI MULUAMBO SA;

Waheshimiwa Majaji, tulipokutana tarehe 20/7/2023 tulikubaliana mambo yafuatayo;

1. Kwamba Shauri hili lingekuja leo kwaajili ya Kusikilizwa

2. Kwamba usikilizwaji wa shauri hili ungefanyika kwa kuanza na mapingamizi ya awali na mfululizo kuendelea na shauri mama mpaka tutakapomaliza.

Waheshimiwa Majaji, leo hii tumepata fursa tena ya kuangalia hoja na majibu ya pande zote mbili na kwa kuzingatia kwamba hili ni shauri la Kikatiba na kwa kuzingatia kwamba ni vema Umma wa Watanzania ukapata majibu kuhusiana na shauri hili ambalo liko Mahakamani.

Hivyo, tumefikia uamuzi baada ya kukubaliana na Waleta maombi kwamba ili shauri hili lisikilizwe kwa uharaka, sisi upande wa Serikali tuondoe Mapingamizi yote ya Awali ambayo tulileta mahakamani.

Lengo la uamuzi huu ni kupisha Usikilizwaji wa Shauri mama.

Na pia tulikubaliana na pande zote kwamba hakuna upande utakaoomba gharama.

WAKILI WA SERIKALI anaendelea...

Waheshimiwa Majaji, kati ya mambo yanayobishaniwa (issues) sita; kuna yale ambayo tunakubaliana na yale ambayo hatukubaliani pande zote mbili. Mambo haya tutakuja kuyataja mbeleni.

Hivyo kwakuwa kuna maombi ya kuondoa Mapingamizi yetu, ikiwa wenzetu hawatakuwa na maombi yetu basi tungeomba Mahakama itoe Amri kwamba Mapingamizi yote yameondolewa na kisha Mahakama itoe amri itakayoona inafaa ili kuendelea na hatua nyingine.

Naomba Kuwasilisha!
MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika.

WASAIDIZI WA MAJAJI pia watatu;

1. Verus (Hakimu)

2. Mtafya (Hakimu)

3. Mapunda (Karani)

Nao wanaandika mambo yao.

WAKILI WA SERIKALI MULUAMBO anaendelea;

Order XIV Rule 3 ya CPC kwamba kabla ya Kusikilizwa kwa mashauri ya aina hii, yale mambo ambayo tunataka Mahakama iyatolee uamuzi yanapaswa kuandaliwa. Yaani 'issues need to be framed.' Na hilo hufanywa na pande zote pamoja na Mahakama.

Kwa kutii maelekezo ya Sheria, pande zote mbili zimefanya hivyo.

Yapo mambo ambayo tumekubaliana pande zote na yapo ambayo yana ubishi hatujakubaliana tutaacha Mahakama itoe maelekezo.


Wakili wa serikali anaendelea;

Waheshimiwa Majaji, yapo mambo matano ambayo pande zote tumekubaliana ila lipo jambo moja ambalo hatujakubaliana na tumeliwasilisha mbele ya Mahakama.

Kwa ruhusa yenu, tunaomba sasa tuwasilishe mambo hayo mbele ya Mahakama ili yaweze kurekodiwa na kuwa sehemu ya mwenendo wa shauri hili, iwapo wenzetu upande wa pili watakuwa tayari kwa hilo.

Naomba kuwasilisha.

Sasa anasimama wakili wa walalamikaji senior ADV. MPALE MPOKI:

Adv. Mpoki; Waheshimiwa Majaji, naomba sasa niwasomee issues;

1. Whether the signing/tabling nad ratification of the IGA was in contravention of Section 11(1)(2) of the Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignty) Act No.5 of 2017, read together with Section 5(1),6(2)(a),(b),(d) &(i) of the Natural Wealth (Review and Renegotiation of Unconscionable Terms) Act No.6 of 2017.

2. Whether the public was duly notified and afforded reasonable time to participate and give their opinion according to the laws during the ratification process of the IGA between Tanzania and the Emirate of Dubai.

3. Whether Article 2, 4(2),5(1),6(2),7(2),8(1)(a),(b),(c),3(2),10(1),20(2)(a),(e), (i),(ii), 18, 21,23 (1,3,4) 26,27 of the IGA contravene Article 1,8,28(1),3 of the Constitution of the United Republic of Tanzania

4. Whether Article 2, 23 of the IGA contravene Section 25 of the Law of Contract Act of Tanzania

5. Whether the IGA between Tanzania and Emirate of Dubai followed the legal procedures on selection methods of procurement process prescribed under Section 64 of the Public Procurement Act of Tanzania

Anaendelea senior Adv. Mpare.

WAKILI MPALE anaendelea...

5. Whether the Parties to the IGA had capacity to contract on the same.

Waheshimiwa Majaji, hii ni issue ambayo haijakubaliwa na pande zote. Upande mmoja umeweka, na wengine hawajakubaliana.

Hivyo, katika hii moja tunaomba kuacha mbele ya Mahakama ili itupe mwongozo.

WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali; Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.

Huo ndio msingi wa kwanini tunabishania. Anamaliza wakili wa serikali.


Anasimama wakili MPALE MPOKI kujibu

Adv. Mpoki; Sisi katika Affidavit yetu ambapo Paragraph 9 tumelisema hilo wazi.

Majibu yao ya tarehe 13/7/223 Paragraph 8 na 9 wamejibu kukataa allegations zetu za Paragraph 9. Hiki ni kiapo cha Afisa wa serikali aitwaye MOHAMED SALUM.

Hili siyo kama shauri la madai ya kawaida ambapo maelezo unayapata kwenye Plaint.

Sisi hii ni Originating Summons pamoja na Affidavit. Na wao wamejibu Malalamiko yetu.

Ni hayo Waheshimiwa.

Anasimama tena WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali: Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.


Kwanza ni msimamo wetu kwamba hoja inayobishaniwa majibu yanatolewa kwenye kiapo.
.

Kiapo ni ushahidi. Hoja zinazobishaniwa hutolewa kwenye Nyaraka za madai na sio kiapo.
******
Mahakama inafanya mahojiano ya maridhia (consensus) na pande zote nje ya mwenendo (offrecord) juu ya kuandaa Issues.

MAHAKAMA imerejea kwenye mwenendo wake baada ya mabishano ya Issue kati ya pande mbili.

JAJI KAGOMBA anatoa maelekezo;

Mahakama inakubali kwamba viini vitakavyohitaji kuamuliwa na Mahakama ni vile vinne ambavyo pande zote zilikubaliana. Na sisi tumeongeza viini viwili na kuwa jumla 6.

Issue ya mwisho whether the IGA is a contract itakuwa sasa ni namba 4.

Anasimama wakili wa wananchi MPALE MPOKI.

Adv: Mpoki; Waheshimiwa Majaji, kabla hatujaendelea natazama muda naona sasa ni saa 10 Jioni. Tukianza sasa hatutaweza kuendelea sawia. Na pia Issue moja iliyokua framed upya ili tuitendee haki, itakuwa vyema tupate adjournment ili kesho tuje tukiwa na fresh Mind and Spirit.

I humbly submit

WAKILI wa serikali aitwaye EDSON anajibu;

Wakili wa serikali; Iwapendeze Waheshimiwa Majaji, Sisi tuna mtazamo tofauti kidogo na wenzetu.

Kesi hii imekuwa ya wananchi na ndio maana ukumbi umejaa. Kila kilichoendelea asubuhi (wananchi) walitaarifiwa kwamba shauri litaendelea saa 8 mchana. Kwahiyo kuwepo kwao hapa kuna maanisha kwamba kesi yao itaendelea.

Kama muda ulivyoendelea kwao na kwetu pia hivyo umeenda. Kwahiyo maombi yetu ni kwamba, licha ya kuwa issue moja imeongezeka (Na.4) na Waleta Maombi ndio wanaijua kesi yao hatutegemei kwamba itakuwa wanahitaji kwenda kujiandaa upya.

Ni maombi yetu kwamba tunaweza kuanda na issue zinazotangulia na tutakapoishia muda wowote tutasimama kwaajili ya kuendelea kesho.

Sisi upande wa Wadaiwa tupo tayari kuendelea.

********

Mahakama inatoa amri kwamba kesi hii itaendelea kesho 26th Julai 2023 saa tatu kamili Asubuhi.
 
Nawaunga mkono mawakili wasomi kwenye kesi ya kupinga uhaini na ufisadi kwenye bandari zetu, lakini kuna mambo muhimu mawakili walitakiwa kuyazingatia. Hasahasa hoja ya 3 na 4 ya Wakili Mpoki. Kamwe huwezi kutumia sheria za ndani kama Katiba (The Constitution) kupinga mkataba wa kimataifa. Utatumia sheria za ndani kwenye kuakisi kama utaratibu ulifuatwa au lah..
 
Updates kesi ya bandari.

Majaji wanaingia muda huu saa 14:45
Kalani anataja namba ya kesi.

KESI YA KIKATIBA NA.5/2023

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI; kwa kifupi SA.

1. Adv. Muluambo

2. Edson

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin

MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI:

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba

WAKILI MULUAMBO SA;

Waheshimiwa Majaji, tulipokutana tarehe 20/7/2023 tulikubaliana mambo yafuatayo;

1. Kwamba Shauri hili lingekuja leo kwaajili ya Kusikilizwa

2. Kwamba usikilizwaji wa shauri hili ungefanyika kwa kuanza na mapingamizi ya awali na mfululizo kuendelea na shauri mama mpaka tutakapomaliza.

Waheshimiwa Majaji, leo hii tumepata fursa tena ya kuangalia hoja na majibu ya pande zote mbili na kwa kuzingatia kwamba hili ni shauri la Kikatiba na kwa kuzingatia kwamba ni vema Umma wa Watanzania ukapata majibu kuhusiana na shauri hili ambalo liko Mahakamani.

Hivyo, tumefikia uamuzi baada ya kukubaliana na Waleta maombi kwamba ili shauri hili lisikilizwe kwa uharaka, sisi upande wa Serikali tuondoe Mapingamizi yote ya Awali ambayo tulileta mahakamani.

Lengo la uamuzi huu ni kupisha Usikilizwaji wa Shauri mama.

Na pia tulikubaliana na pande zote kwamba hakuna upande utakaoomba gharama.

WAKILI WA SERIKALI anaendelea...

Waheshimiwa Majaji, kati ya mambo yanayobishaniwa (issues) sita; kuna yale ambayo tunakubaliana na yale ambayo hatukubaliani pande zote mbili. Mambo haya tutakuja kuyataja mbeleni.

Hivyo kwakuwa kuna maombi ya kuondoa Mapingamizi yetu, ikiwa wenzetu hawatakuwa na maombi yetu basi tungeomba Mahakama itoe Amri kwamba Mapingamizi yote yameondolewa na kisha Mahakama itoe amri itakayoona inafaa ili kuendelea na hatua nyingine.

Naomba Kuwasilisha!
MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika.

WASAIDIZI WA MAJAJI pia watatu;

1. Verus (Hakimu)

2. Mtafya (Hakimu)

3. Mapunda (Karani)

Nao wanaandika mambo yao.

WAKILI WA SERIKALI MULUAMBO anaendelea;

Order XIV Rule 3 ya CPC kwamba kabla ya Kusikilizwa kwa mashauri ya aina hii, yale mambo ambayo tunataka Mahakama iyatolee uamuzi yanapaswa kuandaliwa. Yaani 'issues need to be framed.' Na hilo hufanywa na pande zote pamoja na Mahakama.

Kwa kutii maelekezo ya Sheria, pande zote mbili zimefanya hivyo.

Yapo mambo ambayo tumekubaliana pande zote na yapo ambayo yana ubishi hatujakubaliana tutaacha Mahakama itoe maelekezo.


Wakili wa serikali anaendelea;

Waheshimiwa Majaji, yapo mambo matano ambayo pande zote tumekubaliana ila lipo jambo moja ambalo hatujakubaliana na tumeliwasilisha mbele ya Mahakama.

Kwa ruhusa yenu, tunaomba sasa tuwasilishe mambo hayo mbele ya Mahakama ili yaweze kurekodiwa na kuwa sehemu ya mwenendo wa shauri hili, iwapo wenzetu upande wa pili watakuwa tayari kwa hilo.

Naomba kuwasilisha.

Sasa anasimama wakili wa walalamikaji senior ADV. MPALE MPOKI:

Adv. Mpoki; Waheshimiwa Majaji, naomba sasa niwasomee issues;

1. Whether the signing/tabling nad ratification of the IGA was in contravention of Section 11(1)(2) of the Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignty) Act No.5 of 2017, read together with Section 5(1),6(2)(a),(b),(d) &(i) of the Natural Wealth (Review and Renegotiation of Unconscionable Terms) Act No.6 of 2017.

2. Whether the public was duly notified and afforded reasonable time to participate and give their opinion according to the laws during the ratification process of the IGA between Tanzania and the Emirate of Dubai.

3. Whether Article 2, 4(2),5(1),6(2),7(2),8(1)(a),(b),(c),3(2),10(1),20(2)(a),(e), (i),(ii), 18, 21,23 (1,3,4) 26,27 of the IGA contravene Article 1,8,28(1),3 of the Constitution of the United Republic of Tanzania

4. Whether Article 2, 23 of the IGA contravene Section 25 of the Law of Contract Act of Tanzania

5. Whether the IGA between Tanzania and Emirate of Dubai followed the legal procedures on selection methods of procurement process prescribed under Section 64 of the Public Procurement Act of Tanzania

Anaendelea senior Adv. Mpare.

WAKILI MPALE anaendelea...

5. Whether the Parties to the IGA had capacity to contract on the same.

Waheshimiwa Majaji, hii ni issue ambayo haijakubaliwa na pande zote. Upande mmoja umeweka, na wengine hawajakubaliana.

Hivyo, katika hii moja tunaomba kuacha mbele ya Mahakama ili itupe mwongozo.

WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali; Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.

Huo ndio msingi wa kwanini tunabishania. Anamaliza wakili wa serikali.


Anasimama wakili MPALE MPOKI kujibu

Adv. Mpoki; Sisi katika Affidavit yetu ambapo Paragraph 9 tumelisema hilo wazi.

Majibu yao ya tarehe 13/7/223 Paragraph 8 na 9 wamejibu kukataa allegations zetu za Paragraph 9. Hiki ni kiapo cha Afisa wa serikali aitwaye MOHAMED SALUM.

Hili siyo kama shauri la madai ya kawaida ambapo maelezo unayapata kwenye Plaint.

Sisi hii ni Originating Summons pamoja na Affidavit. Na wao wamejibu Malalamiko yetu.

Ni hayo Waheshimiwa.

Anasimama tena WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali: Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.


Kwanza ni msimamo wetu kwamba hoja inayobishaniwa majibu yanatolewa kwenye kiapo.
.

Kiapo ni ushahidi. Hoja zinazobishaniwa hutolewa kwenye Nyaraka za madai na sio kiapo.
******
Mahakama inafanya mahojiano ya maridhia (consensus) na pande zote nje ya mwenendo (offrecord) juu ya kuandaa Issues.

MAHAKAMA imerejea kwenye mwenendo wake baada ya mabishano ya Issue kati ya pande mbili.

JAJI KAGOMBA anatoa maelekezo;

Mahakama inakubali kwamba viini vitakavyohitaji kuamuliwa na Mahakama ni vile vinne ambavyo pande zote zilikubaliana. Na sisi tumeongeza viini viwili na kuwa jumla 6.

Issue ya mwisho whether the IGA is a contract itakuwa sasa ni namba 4.

Anasimama wakili wa wananchi MPALE MPOKI.

Adv: Mpoki; Waheshimiwa Majaji, kabla hatujaendelea natazama muda naona sasa ni saa 10 Jioni. Tukianza sasa hatutaweza kuendelea sawia. Na pia Issue moja iliyokua framed upya ili tuitendee haki, itakuwa vyema tupate adjournment ili kesho tuje tukiwa na fresh Mind and Spirit.

I humbly submit

WAKILI wa serikali aitwaye EDSON anajibu;

Wakili wa serikali; Iwapendeze Waheshimiwa Majaji, Sisi tuna mtazamo tofauti kidogo na wenzetu.

Kesi hii imekuwa ya wananchi na ndio maana ukumbi umejaa. Kila kilichoendelea asubuhi (wananchi) walitaarifiwa kwamba shauri litaendelea saa 8 mchana. Kwahiyo kuwepo kwao hapa kuna maanisha kwamba kesi yao itaendelea.

Kama muda ulivyoendelea kwao na kwetu pia hivyo umeenda. Kwahiyo maombi yetu ni kwamba, licha ya kuwa issue moja imeongezeka (Na.4) na Waleta Maombi ndio wanaijua kesi yao hatutegemei kwamba itakuwa wanahitaji kwenda kujiandaa upya.

Ni maombi yetu kwamba tunaweza kuanda na issue zinazotangulia na tutakapoishia muda wowote tutasimama kwaajili ya kuendelea kesho.

Sisi upande wa Wadaiwa tupo tayari kuendelea.

********

Mahakama inatoa amri kwamba kesi hii itaendelea kesho 26th Julai 2023 saa tatu kamili Asubuhi.
Siyo kesi ya bandari ni kesi dhidi ya maendeleo ya nchi.
 
upande wa Serikali tuondoe Mapingamizi yote ya Awali ambayo tulileta mahakamani.

Senior State Attorney - serikali imeamua kuondoa mapingamizi iliyoyaweka awali tarehe 20/07/2023

Ni hatua nzuri serikali kutochelewesha kusikilizwa kesi hii muhimu ya kikatiba iliyofunguliwa na wananchi
 
HWA
Updates kesi ya bandari.

Majaji wanaingia muda huu saa 14:45
Kalani anataja namba ya kesi.

KESI YA KIKATIBA NA.5/2023

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI; kwa kifupi SA.

1. Adv. Muluambo

2. Edson

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin

MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI:

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba

WAKILI MULUAMBO SA;

Waheshimiwa Majaji, tulipokutana tarehe 20/7/2023 tulikubaliana mambo yafuatayo;

1. Kwamba Shauri hili lingekuja leo kwaajili ya Kusikilizwa

2. Kwamba usikilizwaji wa shauri hili ungefanyika kwa kuanza na mapingamizi ya awali na mfululizo kuendelea na shauri mama mpaka tutakapomaliza.

Waheshimiwa Majaji, leo hii tumepata fursa tena ya kuangalia hoja na majibu ya pande zote mbili na kwa kuzingatia kwamba hili ni shauri la Kikatiba na kwa kuzingatia kwamba ni vema Umma wa Watanzania ukapata majibu kuhusiana na shauri hili ambalo liko Mahakamani.

Hivyo, tumefikia uamuzi baada ya kukubaliana na Waleta maombi kwamba ili shauri hili lisikilizwe kwa uharaka, sisi upande wa Serikali tuondoe Mapingamizi yote ya Awali ambayo tulileta mahakamani.

Lengo la uamuzi huu ni kupisha Usikilizwaji wa Shauri mama.

Na pia tulikubaliana na pande zote kwamba hakuna upande utakaoomba gharama.

WAKILI WA SERIKALI anaendelea...

Waheshimiwa Majaji, kati ya mambo yanayobishaniwa (issues) sita; kuna yale ambayo tunakubaliana na yale ambayo hatukubaliani pande zote mbili. Mambo haya tutakuja kuyataja mbeleni.

Hivyo kwakuwa kuna maombi ya kuondoa Mapingamizi yetu, ikiwa wenzetu hawatakuwa na maombi yetu basi tungeomba Mahakama itoe Amri kwamba Mapingamizi yote yameondolewa na kisha Mahakama itoe amri itakayoona inafaa ili kuendelea na hatua nyingine.

Naomba Kuwasilisha!
MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika.

WASAIDIZI WA MAJAJI pia watatu;

1. Verus (Hakimu)

2. Mtafya (Hakimu)

3. Mapunda (Karani)

Nao wanaandika mambo yao.

WAKILI WA SERIKALI MULUAMBO anaendelea;

Order XIV Rule 3 ya CPC kwamba kabla ya Kusikilizwa kwa mashauri ya aina hii, yale mambo ambayo tunataka Mahakama iyatolee uamuzi yanapaswa kuandaliwa. Yaani 'issues need to be framed.' Na hilo hufanywa na pande zote pamoja na Mahakama.

Kwa kutii maelekezo ya Sheria, pande zote mbili zimefanya hivyo.

Yapo mambo ambayo tumekubaliana pande zote na yapo ambayo yana ubishi hatujakubaliana tutaacha Mahakama itoe maelekezo.


Wakili wa serikali anaendelea;

Waheshimiwa Majaji, yapo mambo matano ambayo pande zote tumekubaliana ila lipo jambo moja ambalo hatujakubaliana na tumeliwasilisha mbele ya Mahakama.

Kwa ruhusa yenu, tunaomba sasa tuwasilishe mambo hayo mbele ya Mahakama ili yaweze kurekodiwa na kuwa sehemu ya mwenendo wa shauri hili, iwapo wenzetu upande wa pili watakuwa tayari kwa hilo.

Naomba kuwasilisha.

Sasa anasimama wakili wa walalamikaji senior ADV. MPALE MPOKI:

Adv. Mpoki; Waheshimiwa Majaji, naomba sasa niwasomee issues;

1. Whether the signing/tabling nad ratification of the IGA was in contravention of Section 11(1)(2) of the Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignty) Act No.5 of 2017, read together with Section 5(1),6(2)(a),(b),(d) &(i) of the Natural Wealth (Review and Renegotiation of Unconscionable Terms) Act No.6 of 2017.

2. Whether the public was duly notified and afforded reasonable time to participate and give their opinion according to the laws during the ratification process of the IGA between Tanzania and the Emirate of Dubai.

3. Whether Article 2, 4(2),5(1),6(2),7(2),8(1)(a),(b),(c),3(2),10(1),20(2)(a),(e), (i),(ii), 18, 21,23 (1,3,4) 26,27 of the IGA contravene Article 1,8,28(1),3 of the Constitution of the United Republic of Tanzania

4. Whether Article 2, 23 of the IGA contravene Section 25 of the Law of Contract Act of Tanzania

5. Whether the IGA between Tanzania and Emirate of Dubai followed the legal procedures on selection methods of procurement process prescribed under Section 64 of the Public Procurement Act of Tanzania

Anaendelea senior Adv. Mpare.

WAKILI MPALE anaendelea...

5. Whether the Parties to the IGA had capacity to contract on the same.

Waheshimiwa Majaji, hii ni issue ambayo haijakubaliwa na pande zote. Upande mmoja umeweka, na wengine hawajakubaliana.

Hivyo, katika hii moja tunaomba kuacha mbele ya Mahakama ili itupe mwongozo.

WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali; Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.

Huo ndio msingi wa kwanini tunabishania. Anamaliza wakili wa serikali.


Anasimama wakili MPALE MPOKI kujibu

Adv. Mpoki; Sisi katika Affidavit yetu ambapo Paragraph 9 tumelisema hilo wazi.

Majibu yao ya tarehe 13/7/223 Paragraph 8 na 9 wamejibu kukataa allegations zetu za Paragraph 9. Hiki ni kiapo cha Afisa wa serikali aitwaye MOHAMED SALUM.

Hili siyo kama shauri la madai ya kawaida ambapo maelezo unayapata kwenye Plaint.

Sisi hii ni Originating Summons pamoja na Affidavit. Na wao wamejibu Malalamiko yetu.

Ni hayo Waheshimiwa.

Anasimama tena WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali: Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.


Kwanza ni msimamo wetu kwamba hoja inayobishaniwa majibu yanatolewa kwenye kiapo.
.

Kiapo ni ushahidi. Hoja zinazobishaniwa hutolewa kwenye Nyaraka za madai na sio kiapo.
******
Mahakama inafanya mahojiano ya maridhia (consensus) na pande zote nje ya mwenendo (offrecord) juu ya kuandaa Issues.

MAHAKAMA imerejea kwenye mwenendo wake baada ya mabishano ya Issue kati ya pande mbili.

JAJI KAGOMBA anatoa maelekezo;

Mahakama inakubali kwamba viini vitakavyohitaji kuamuliwa na Mahakama ni vile vinne ambavyo pande zote zilikubaliana. Na sisi tumeongeza viini viwili na kuwa jumla 6.

Issue ya mwisho whether the IGA is a contract itakuwa sasa ni namba 4.

Anasimama wakili wa wananchi MPALE MPOKI.

Adv: Mpoki; Waheshimiwa Majaji, kabla hatujaendelea natazama muda naona sasa ni saa 10 Jioni. Tukianza sasa hatutaweza kuendelea sawia. Na pia Issue moja iliyokua framed upya ili tuitendee haki, itakuwa vyema tupate adjournment ili kesho tuje tukiwa na fresh Mind and Spirit.

I humbly submit

WAKILI wa serikali aitwaye EDSON anajibu;

Wakili wa serikali; Iwapendeze Waheshimiwa Majaji, Sisi tuna mtazamo tofauti kidogo na wenzetu.

Kesi hii imekuwa ya wananchi na ndio maana ukumbi umejaa. Kila kilichoendelea asubuhi (wananchi) walitaarifiwa kwamba shauri litaendelea saa 8 mchana. Kwahiyo kuwepo kwao hapa kuna maanisha kwamba kesi yao itaendelea.

Kama muda ulivyoendelea kwao na kwetu pia hivyo umeenda. Kwahiyo maombi yetu ni kwamba, licha ya kuwa issue moja imeongezeka (Na.4) na Waleta Maombi ndio wanaijua kesi yao hatutegemei kwamba itakuwa wanahitaji kwenda kujiandaa upya.

Ni maombi yetu kwamba tunaweza kuanda na issue zinazotangulia na tutakapoishia muda wowote tutasimama kwaajili ya kuendelea kesho.

Sisi upande wa Wadaiwa tupo tayari kuendelea.

********

Mahakama inatoa amri kwamba kesi hii itaendelea kesho 26th Julai 2023 saa tatu kamili Asubuh
Hawa majaji watakuwa hawajafikiwa na mgao wa mwarabu kweli?
 
Majibu yao ya tarehe 13/7/223 Paragraph 8 na 9 wamejibu kukataa allegations zetu za Paragraph 9. Hiki ni kiapo cha Afisa wa serikali aitwaye MOHAMED SALUM.

Mwanasheria wa wizara ya Uchukuzi Bw. Mohamed Salum.

Katika mahojiano na kituo cha televisheni cha Azam TV alitoa ufafanuzi kwa umma kuhusu sakata hili ili kutoa elimu kwa wananchi mnamo tarehe 30 Juni 2023 :

Kutoka maktaba :
UFAFANUZI WA MWANASHERIA WA WIZARA YA UJENZI BW. MOHAMED SALUM


Bw. Mohamed Salum mwanasheria wa wizara anafafanua na kujibu masuala yafuatayo katika exclusive interview na kituo cha televisheni cha Azam cha jijini Dsm Tanzania
  • Shukrani kwa wadau waliotoa maoni
  • Mkataba mama ulioridhiwa na Azimio la Bunge tarehe 10 June 2023 mjini Dodoma
  • Ni mkataba wa kupangisha bandari ya Dar es Salaam ibara ya 23.1
  • Mkataba wa biashara bado haijatiwa
  • Kwenye mkataba lazima kutatokea kutoelewana au kugombana ndiyo maana migogoro itarudi chini ya ibara 20 kwa kuwa serikali huko nyuma ilikuwa na spidi ya kuvunja mikataba lakini ibara ya 20 inazuia jazba ya serikali
  • migogoro itatatuliwa kupitia Diplomatic channels, IGA consultation Committee na abritation
  • Subsequent amendments yaani marekebisho siku za usoni
  • Je process / mchakato ya marekebisho lazima irudishwe bungeni ili liridhie
  • Je kuna uwezekano wa baada ya mambo yanayojadiliwa na jamii mkataba wa tarehe 10 June 2023 kurudishwa bungeni ?
  • Mwanasheria Mohamed Salum anasema mkataba mama wa tarehe 10 Juni 2023 wa Azimio la Bunge haugusii makubaliano ya kodi
  • Contract ya mkataba huu siyo binding kufuantana na maneno katika mkataba mama wa tarehe 10 Juni 2023 uliopitishwa na Azimio la Bunge
  • Makubaliano ya kimataifa yata supersede sheria za procurements yaani haihitaji ushindani ni sawa uwe single sourced na mkataba huu ni wa nchi mbili Tanzania na Dubai anasisitiza mwanasheria wa wizara ya ujenzi na uchukuzi
  • Ibara 63 (3) (e) ya Katiba ya Tanzania mikataba ya kimataifa ya inatamka hatua gani ifuatwe. Na inatakiwa Mchakato wa ndani ufikishwe baraza la mawaziri halafu inakwenda bungeni na bunge linatakiwa kuomba maoni kutoka kwa wananchi kabla ya kutoa Azimio la Kuunga mkono
  • Je ni mkataba au makubaliano maridhiano au ni mkataba wa kibiashara
  • Consideration / kishika uchumba cha thamani huonesha katika hatua gani ?
  • Fidia kwa maeneo ya wananchi na wawekezaji wazawa itakayochukuliwa na mradi wa DP World ?
  • Kesi ya mahakama kuu Mbeya tunajipanga kwenda kujitetea


More :

Ibara 63 (3) (e) ya Katiba ya Tanzania mikataba ya kimataifa ya inatamka hatua gani ifuatwe. Na inatakiwa Mchakato wa ndani ufikishwe baraza la mawaziri halafu inakwenda bungeni na bunge linatakiwa kuomba maoni kutoka kwa wananchi kabla ya kutoa Azimio la Kuunga mkono


TOKA MAKTABA Mwaliko

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
BUNGE LA TANZANIA
Simu: +255 026 23222761-5
Fax No. +255 026 2322624
E-mail: cna@bunge.go.tz
TAARIFA KWA UMMA
Ofisi ya Bunge,
S.L.P. 941,
DODOMA.

Kamati ya Pamoja (Joint Committee) ya Bunge ya Miundombinu na ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) inawaalika wadau kutoa maoni kuhusu Azimio la Bunge kuhusu Mapendekezo ya Kuridhia Makubaliano kati ya Serikali
ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai
kuhusu Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii kwa ajili ya Uendelezaji na Uboreshaji wa Utendaji Kazi wa Bandari Tanzania la Mwaka 2023(Intergovernmental Agreement – IGA , between the United Republic of Tanzania and the Emirate of Dubai concerning Economic and Social Partnership for the Development and Improving Performance of Ports in Tanzania).

Mkutano wa kupokea na kusikiliza maoni ya wadau (Public Hearing) utafanyika siku ya Jumanne tarehe 06, Juni saa 7:30 mchana katika Ukumbi wa Msekwa ‘D’, Ofisi ya Bunge, Jijini Dodoma.

Kamati inawaalika watu wote wenye maoni kuhusu Azimio hilo kufika na kuwasilisha maoni yao kabla haujapelekwa katika hatua nyingine.

Vilevile Kamati itapokea maoni kwa njia ya Posta au Barua pepe kwa anuani ifuatayo:-

Katibu wa Bunge, Ofisi ya Bunge,
10 Barabara ya Morogoro
S.L.P. 941,
40490 Tambukareli
DODOMA.
Baruapepe: cna@bunge.go.tz na kamati@bunge.go.tz

Azimio hilo linaweza pia kupakuliwa katika tovuti ya Bunge,
www.bunge.go.tz. Aidha, unashauriwa kuwasilisha jina lako kupitia barua pepe tajwa endapo utapenda kuwasilisha maoni yako kwa kuzungumza kwa ajili ya
hatua za kiutawala.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano na Uhusiano wa Kimataifa,
Ofisi ya Bunge,
S.L.P 941,
DODOMA.


JE KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI CABINET MEETING WAJUMBE WAKE NI NANI ?

KUTOKA MAKTABA: 3 Feb 2011
Ili kuongeza ufahamu kuhusu kikao cha baraza la mawaziri kina nani na nani hujumuika humo kuunda kikao cha cabinet

Mheshimiwa Rais Kikwete aongoza Kikao cha Baraza La Mawaziri Leo

View attachment 2674033
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete chairs a cabinet meeting at Dar es Salaam State House this afternoon.Others in the picture are the Vice President Dr.Mohamed Gharib Bilal(second right), The Prime Minister Mizengo Pinda(third left), Chief Secretary,Philemon Luhanjo(third right), and Attorney General Judge Frederick
 
Kesi hii ni rahisi....... iko so wazi kuwa a trained mind in legal technicalities will dispose it in a single or two days
 
Updates kesi ya bandari.

Majaji wanaingia muda huu saa 14:45
Kalani anataja namba ya kesi.

KESI YA KIKATIBA NA.5/2023

Anasimama wakili wa serikali kutambulisha mawakili wa pande zote.

MAWAKILI WA SERIKALI; kwa kifupi SA.

1. Adv. Muluambo

2. Edson

3. Alice Mkulu

4. Stanley Kalokola

5. Edwin

MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI:

1. Mpale Mpoki

2. Boniface MWABUKUSI

3. Philip Mwakilima

4. Livino Ngalimitumba

WAKILI MULUAMBO SA;

Waheshimiwa Majaji, tulipokutana tarehe 20/7/2023 tulikubaliana mambo yafuatayo;

1. Kwamba Shauri hili lingekuja leo kwaajili ya Kusikilizwa

2. Kwamba usikilizwaji wa shauri hili ungefanyika kwa kuanza na mapingamizi ya awali na mfululizo kuendelea na shauri mama mpaka tutakapomaliza.

Waheshimiwa Majaji, leo hii tumepata fursa tena ya kuangalia hoja na majibu ya pande zote mbili na kwa kuzingatia kwamba hili ni shauri la Kikatiba na kwa kuzingatia kwamba ni vema Umma wa Watanzania ukapata majibu kuhusiana na shauri hili ambalo liko Mahakamani.

Hivyo, tumefikia uamuzi baada ya kukubaliana na Waleta maombi kwamba ili shauri hili lisikilizwe kwa uharaka, sisi upande wa Serikali tuondoe Mapingamizi yote ya Awali ambayo tulileta mahakamani.

Lengo la uamuzi huu ni kupisha Usikilizwaji wa Shauri mama.

Na pia tulikubaliana na pande zote kwamba hakuna upande utakaoomba gharama.

WAKILI WA SERIKALI anaendelea...

Waheshimiwa Majaji, kati ya mambo yanayobishaniwa (issues) sita; kuna yale ambayo tunakubaliana na yale ambayo hatukubaliani pande zote mbili. Mambo haya tutakuja kuyataja mbeleni.

Hivyo kwakuwa kuna maombi ya kuondoa Mapingamizi yetu, ikiwa wenzetu hawatakuwa na maombi yetu basi tungeomba Mahakama itoe Amri kwamba Mapingamizi yote yameondolewa na kisha Mahakama itoe amri itakayoona inafaa ili kuendelea na hatua nyingine.

Naomba Kuwasilisha!
MAJAJI watatu;

1. Hon. Ndunguru

2. Hon. Ismail

3. Hon. Kagomba

Wote wameinama wanaandika.

WASAIDIZI WA MAJAJI pia watatu;

1. Verus (Hakimu)

2. Mtafya (Hakimu)

3. Mapunda (Karani)

Nao wanaandika mambo yao.

WAKILI WA SERIKALI MULUAMBO anaendelea;

Order XIV Rule 3 ya CPC kwamba kabla ya Kusikilizwa kwa mashauri ya aina hii, yale mambo ambayo tunataka Mahakama iyatolee uamuzi yanapaswa kuandaliwa. Yaani 'issues need to be framed.' Na hilo hufanywa na pande zote pamoja na Mahakama.

Kwa kutii maelekezo ya Sheria, pande zote mbili zimefanya hivyo.

Yapo mambo ambayo tumekubaliana pande zote na yapo ambayo yana ubishi hatujakubaliana tutaacha Mahakama itoe maelekezo.


Wakili wa serikali anaendelea;

Waheshimiwa Majaji, yapo mambo matano ambayo pande zote tumekubaliana ila lipo jambo moja ambalo hatujakubaliana na tumeliwasilisha mbele ya Mahakama.

Kwa ruhusa yenu, tunaomba sasa tuwasilishe mambo hayo mbele ya Mahakama ili yaweze kurekodiwa na kuwa sehemu ya mwenendo wa shauri hili, iwapo wenzetu upande wa pili watakuwa tayari kwa hilo.

Naomba kuwasilisha.

Sasa anasimama wakili wa walalamikaji senior ADV. MPALE MPOKI:

Adv. Mpoki; Waheshimiwa Majaji, naomba sasa niwasomee issues;

1. Whether the signing/tabling nad ratification of the IGA was in contravention of Section 11(1)(2) of the Natural Wealth and Resources (Permanent Sovereignty) Act No.5 of 2017, read together with Section 5(1),6(2)(a),(b),(d) &(i) of the Natural Wealth (Review and Renegotiation of Unconscionable Terms) Act No.6 of 2017.

2. Whether the public was duly notified and afforded reasonable time to participate and give their opinion according to the laws during the ratification process of the IGA between Tanzania and the Emirate of Dubai.

3. Whether Article 2, 4(2),5(1),6(2),7(2),8(1)(a),(b),(c),3(2),10(1),20(2)(a),(e), (i),(ii), 18, 21,23 (1,3,4) 26,27 of the IGA contravene Article 1,8,28(1),3 of the Constitution of the United Republic of Tanzania

4. Whether Article 2, 23 of the IGA contravene Section 25 of the Law of Contract Act of Tanzania

5. Whether the IGA between Tanzania and Emirate of Dubai followed the legal procedures on selection methods of procurement process prescribed under Section 64 of the Public Procurement Act of Tanzania

Anaendelea senior Adv. Mpare.

WAKILI MPALE anaendelea...

5. Whether the Parties to the IGA had capacity to contract on the same.

Waheshimiwa Majaji, hii ni issue ambayo haijakubaliwa na pande zote. Upande mmoja umeweka, na wengine hawajakubaliana.

Hivyo, katika hii moja tunaomba kuacha mbele ya Mahakama ili itupe mwongozo.

WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali; Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.

Huo ndio msingi wa kwanini tunabishania. Anamaliza wakili wa serikali.


Anasimama wakili MPALE MPOKI kujibu

Adv. Mpoki; Sisi katika Affidavit yetu ambapo Paragraph 9 tumelisema hilo wazi.

Majibu yao ya tarehe 13/7/223 Paragraph 8 na 9 wamejibu kukataa allegations zetu za Paragraph 9. Hiki ni kiapo cha Afisa wa serikali aitwaye MOHAMED SALUM.

Hili siyo kama shauri la madai ya kawaida ambapo maelezo unayapata kwenye Plaint.

Sisi hii ni Originating Summons pamoja na Affidavit. Na wao wamejibu Malalamiko yetu.

Ni hayo Waheshimiwa.

Anasimama tena WAKILI wa serikali aitwaye KALOKOLA :

Wakili wa serikali: Waheshimiwa Majaji, kimsingi Issues zilizokubaliwa tumeangalia Hoja zao za Malalamiko ambayo wameleta mahakamani.

Lakini hoja kuhusu uwezo kwamba iwapo Walioingia kwenye mkataba walikuwa na uwezo kisheria, haikuwa katika sehemu ya Malalamiko yao.

Sisi kwetu tumeona wametushtukiza kujibu hoja ambazo nyaraka za madai hazikuibua na sisi hatukuijibu katika majibu yetu.


Kwanza ni msimamo wetu kwamba hoja inayobishaniwa majibu yanatolewa kwenye kiapo.
.

Kiapo ni ushahidi. Hoja zinazobishaniwa hutolewa kwenye Nyaraka za madai na sio kiapo.
******
Mahakama inafanya mahojiano ya maridhia (consensus) na pande zote nje ya mwenendo (offrecord) juu ya kuandaa Issues.

MAHAKAMA imerejea kwenye mwenendo wake baada ya mabishano ya Issue kati ya pande mbili.

JAJI KAGOMBA anatoa maelekezo;

Mahakama inakubali kwamba viini vitakavyohitaji kuamuliwa na Mahakama ni vile vinne ambavyo pande zote zilikubaliana. Na sisi tumeongeza viini viwili na kuwa jumla 6.

Issue ya mwisho whether the IGA is a contract itakuwa sasa ni namba 4.

Anasimama wakili wa wananchi MPALE MPOKI.

Adv: Mpoki; Waheshimiwa Majaji, kabla hatujaendelea natazama muda naona sasa ni saa 10 Jioni. Tukianza sasa hatutaweza kuendelea sawia. Na pia Issue moja iliyokua framed upya ili tuitendee haki, itakuwa vyema tupate adjournment ili kesho tuje tukiwa na fresh Mind and Spirit.

I humbly submit

WAKILI wa serikali aitwaye EDSON anajibu;

Wakili wa serikali; Iwapendeze Waheshimiwa Majaji, Sisi tuna mtazamo tofauti kidogo na wenzetu.

Kesi hii imekuwa ya wananchi na ndio maana ukumbi umejaa. Kila kilichoendelea asubuhi (wananchi) walitaarifiwa kwamba shauri litaendelea saa 8 mchana. Kwahiyo kuwepo kwao hapa kuna maanisha kwamba kesi yao itaendelea.

Kama muda ulivyoendelea kwao na kwetu pia hivyo umeenda. Kwahiyo maombi yetu ni kwamba, licha ya kuwa issue moja imeongezeka (Na.4) na Waleta Maombi ndio wanaijua kesi yao hatutegemei kwamba itakuwa wanahitaji kwenda kujiandaa upya.

Ni maombi yetu kwamba tunaweza kuanda na issue zinazotangulia na tutakapoishia muda wowote tutasimama kwaajili ya kuendelea kesho.

Sisi upande wa Wadaiwa tupo tayari kuendelea.

********

Mahakama inatoa amri kwamba kesi hii itaendelea kesho 26th Julai 2023 saa tatu kamili Asubuhi.
Shukrani mkuu
 
Daaaaaaaah,Tanzania yangu.

So,SIRI KALI haioni aibu kabisa jamani.

Utafikiri kesi za JINAI Ambapo wakili husimama kwa niaba ya JAMHURI.

AIBU KUBWA KWA CCM MILELE NA MILELE.
 
Mawakili "wasomi" wa upande wa malalamiko washapigwa 3-0 mpaka sasa, kistaarabu kabisa.

Kwi kwi kwi teh teh teh
 
Ingekuwa powa sana , vijana wanapigania. Sovereignity ya nchi , ila tatizo watawala nao wanakwamisha mhhhh hatariii sanaaaa ,,.. ALIFARIKI MMOJA , ILA KUMBE ALIACHA WENGI AINA YAKE....
 
Back
Top Bottom