Mbeya: Yaliyojiri katika Kesi ya kupinga mkataba wa Bandari na DP WORLD - Julai 26, 2023

Huu mjadala wa kesi, mbona hakuna updates za leo, au 'wasomi" wamedondokea pua?

Wale jinsi walivyo walevi, isiijekuwa mahakimu wamewahukumu wawekwe ndani kwa kuingia mahakamani wamelewa?
 
kesi hii mwabukusi na wenzake hakika watashindwa, hata kabla hawajapeleka walijua wanapeleka ila watashindwa. hata hivyo, naamini wao lengo lao hata halikuwa kushinda, ila walilenga kupaza sauti nchi yote na nje ya nchi ijue kuwa watanganyika hii kitu wameikataa, na washinde au washindwe hiyo itabaki alama itakayowahukumu viongozi wa serikali milele, wajukuu wetu watakuja kuwanyooshea vidole kwamba hamkusikiliza kelele za wananchi na hata kesi ilipofunguliwa bado hamkusikia. kwasababu hio, washinde, wasishinde kwao ni ushindi tu kwasababu wamefanikiwa kufikisha ujumbe na kupambana pale mkono unapofika. hadi sasa wameshashinda kwasababu lengo lao limeshatimia ambalo halikuwa kushinda kwenye makaratasi bali kushinda kwa kufikisha kilio cha watanganyika walio wengi. wametumia uwezo wao wote kuzuia dp world, at least they have done something, and we should appreciate what they are doing.
Na majaji wetu watakuwa wa ajabu kusema hizo IGA ziko sahihi.
 
Miaka mitano tu watakuja kupata aibu ya Karne, watashangaa bandari itakavyokuwa yenye ufanisi, watashangaa bandari itavyochangia 50% + ya bajeti ya nchi, hakika watajidharau Kwa jitihada zao mfu za kupinga maendeleo.
Wee Dalali mpaka leo hujaelewa kinachobishaniwa, je huo mkataba utauelewa? Basi tulia wenye kuelewa wapambane kwa niamba yako.
 
Kama una akili timamu, unaweza kunipinga kwamba Mwaka 2020, uke haikua uchaguzi Bali uchafuzi?.


Mimi ni Pro Magufuli, ila uchaguzi wa 2020, haikua uchaguzi.


Mimi Nina Demu wangu Mwalimu wa shule, Kuna Siku naongea naye huku namrekodi bila kujua.

Aliniambia uchaguzi huo, alikua akiingia ndan mtu wa CCM anapewa makaratasi 10 ajaze.

Wale mawakala wanakuaa wanapewa Hela tayari.

Wakala mbishi, anatafutiwa kesi aonekane kaleta fujo anaaondolewa.


Ule haukuwa uchaguzi !.
Hizi ni siasa zimezoeleka hapa Tanzania. Ni malalamiko yasiyo na msingi. CCM wanakuwa karibu na wananchi muda wote. Hawaweki daraja kati yao na wapiga kura.

Wengi wanaolalamika hujuma ni maneno tu, wanakuwa ni wale kazi yao kulalamika mitandaoni na ujuaji mwingi wa kwenye maongezi.

Haiwezekani kila mbunge wa CCM akawa alifanya wizi kuingia bungeni, wapo karibu na wananchi miaka yote, wanafanya vikao na wananchi kujua shida zao, tofauti na wajuaji wanaolalamika na kukosoa mitandaoni mpaka uzee unawakuta.
 
Rekebisheni huu mkataba kwa kuwashirikisha Wanasheria wa ndani na nje ili DP World aanze kazi.
Tanzania ishalipa pesa nyingi sana kwa mikataba mibovu.

Je mnataka tuendelee kulipia mikataba mibovu au kwenda Mbele?

Je hiyo mikataba mibovu iliyopelekeka kulipishwa pesa nyingi sana ilisainiwa na kuridhiwa na nani?

Mimi naomba kwa upole mwingi kuwa Serikali irekebishe huo mkataba na DP World waje kushusha makontena.

HUO MKATABA SIO WA KUSHUSHA MAKONTENA BALI WA KUITAWALA TANGANYIKA.

Huyo Mwarabu si alifukuzwa kwa mtutu Zanzibar.
Je Leo Amekuwa Mtakatifu tena?

Hivi mnataka kweli Nchi ya Tanzania ikauombe ruhusa mji wa Dubai kama itataka kutumia raslimali zake zote za maji.

Yaani hadi pantoni la Kigamboni liruhusiwe na mji wa Dubai kutembea.

Na wa Chama Cha Mwananchi hamjastuka kabisa kabisa kweli...
Ha...ha...ha
Nimemkumbuka Raisi Trump wa Marekani.

Aliongea kitu kwa uchungu mkubwa sana.
Salute tu Donald Trump.
Umeaminishwa upuuzi na wewe ukakubali kuwa wakala wa kuusambaza. Hakuna mahali pameandikwa kwamba Tanzania inauza uhuru wake kwa Dubai.

Mmeingizwa cha kike na nyinyi mazima kabisa mkiwa na akili zenu timamu mkakubali kuingia.
 
Jidanganyeni tu🐸🐸 huku mnazidi kukamuliwa
Hii ndo mjue Fisiem yenu imefilisika na sasa imeamua kuuza mali zetu na kuwaumiza walalahoi na mikodi isiyokuwa na kichwa wala miguu
Pesa mliyohongwa na DPwaarrabu sasa mnaitema kwa kukamua wananchi
DP World atakapoanza kufanya shughuli pale bandarini utakaribishwa kupitisha mizigo yako.
 
Unajidanganya, mwenzio yupo kujinufaisha kisiasa pale.
Sasa mimi hapo najidanganya nini na kwa faida ya nani? Mimi ninachoangalia mwendelezo wa Kesi na ninachoomba wafanikiwe, hayo mengine ya kujinufaisha, sijui kutafuta millage hayo hayanihusu
 
Miaka mitano tu watakuja kupata aibu ya Karne, watashangaa bandari itakavyokuwa yenye ufanisi, watashangaa bandari itavyochangia 50% + ya bajeti ya nchi, hakika watajidharau Kwa jitihada zao mfu za kupinga maendeleo.
hizo ni ndoto za alinacha, sio kwa waarabu. hawajawahi kupata akili hiyo hata siku moja.
 
Mama amekuwa kiburi kwasababu mali inakwenda kwa wajomba na kama yeye hakuna anachopoteza.

CCM inabidi ibadili katiba ya chama ya kuwa rais ndioe m/kiti wa chama, maana kama tutapata rais mjinga nchi itateketea
kwahiyo waarabu wanatuona sisi ndugu zaooo kwasababu ni wajomba mtu? mimi siwatambui kabisa na siwahitaji.
 
Na majaji wetu watakuwa wa ajabu kusema hizo IGA ziko sahihi.
shida ni kwamba mkataba ushaingiwa na bila shaka unaeleza kuwa kukiwa na shida yeyote sheria zinazotakiwa kutumika ni za uingereza. sasa nyie na visheria vya kitanzania mnafanya nini hapa? na kibaya zaidi magufuli alishasaini sheria inayosema wawekezaji wote watatumia sheria za Tanzania, lakini ccm wameingia mkataba kwa kutumia sheria za uingereza wakati ile sheria aliyosaini Magufuli haijafutwa.
 
Back
Top Bottom