siliii bali nawwacheka hao mawakili wanao jiita wasomi halafu mpaka leo hawajui tofauti kati ya "MoU" na "Contract" halafu wanajiita mawakili wasomi!!Usilie basi
hawana hoja za kisheria zaidi ya kuokoteza maneno ya kisiasa.
siliii bali nawwacheka hao mawakili wanao jiita wasomi halafu mpaka leo hawajui tofauti kati ya "MoU" na "Contract" halafu wanajiita mawakili wasomi!!Usilie basi
PUMBAFUNAIOMBA MAHAKAMA ILITUPILIE MBALI SHAURI HILI KWANI HALINA KICHWA WALA MIGUU,NA NILA UPOTOSHAJI KWA UMMA WA WATANZANIA.
TIME IS MONEY,HAPO NI KUPOTEZEANA MUDA TU, "HAPO KUNA WANAOLPWA FEDHA NA VICHWA MAJI WAFUATA MKUMBO,BADALA YA KWENDA KWENYE SHUGHULI ZAO ZA KUTAFUTA CHAKULA CHA FAMILIA,WANAPOTEZA KUTWA ZAO HAPO"PUMBAFU
Tatizo una akili ndogo. Wananchi tuliopeleka kesi mahakama tuazifahamu vizuri kahakama zetu na hatutajari outcome ya hukumu hii. Dhumuni la kesi hii ni kufikisha ujumbe kwa hao tunaowaita viongozi wetu ili huko mbele wasiseme kuwa hatukuwaoya na kesi tulifunguaTIME IS MONEY,HAPO NI KUPOTEZEANA MUDA TU, "HAPO KUNA WANAOLPWA FEDHA NA VICHWA MAJI WAFUATA MKUMBO,BADALA YA KWENDA KWENYE SHUGHULI ZAO ZA KUTAFUTA CHAKULA CHA FAMILIA,WANAPOTEZA KUTWA ZAO HAPO"
Wewe ni agent wa Dp world.NAIOMBA MAHAKAMA ILITUPILIE MBALI SHAURI HILI KWANI HALINA KICHWA WALA MIGUU,NA NILA UPOTOSHAJI KWA UMMA WA WATANZANIA.
Mbuzi wa bwana KheriPUMBAFU
Nawahurumia sana hao wazee wanaojazana mahakamani,kwa ujinga badala ya kufanya kazi ZAO za kimaendeleo na ustawishaji wa familia zao!Wewe ni agent wa Dp world.
Swali gumu sana kwa maccm. Wanaogopa kusema mkataba kwasababu una mapungufu mengi. Na wanaogopa kusema ni makubaliano kwa sababu makubaliano hayawezi kijadiliwa na bunge, sasa kazi kwao na inakuwa ile slogan ya ukimung'unya mchale na ukitema mchale
MAWAKILI WA WALETA MAOMBI/ WALALAMIKAJI;
1. Mpale Mpoki
2. Boniface MWABUKUSI
3. Philip Mwakilima
4. Livino Ngalimitumba