Afadhali iwatungue wao kwanzaKwa hiyo mtu akifa ghafla kwa heart attack anataka isemwe amesumbuliwa na maradhi ya moyo kwa muda mrefu ili iweje?
Hawa watu wa hii serikali mbona hawajiamini, wanaficha kitu gani?
Corona ndiyo maana inawashambulia wao wenye vitambi vya kulazimisha"Watakaobainika kukiuka hilo walale SELO mara moja"
😆😆😆MARUFUKU KUSEMA MTU KAFA KIFO CHA GHAFLA MBEYA | RC MBEYA: SITAKI KUSIKIA INASEMWA AU KURIPOTIWA KUWA MTU KAFA GHAFLA MBEYA Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kumekuwa na tabia... | By Rahatamtam blog | Facebook
RC MBEYA: SITAKI KUSIKIA INASEMWA AU KURIPOTIWA KUWA MTU KAFA GHAFLA MBEYA Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kumekuwa na tabia...fb.watch
RC Chalamila amesema hili neno “kifo cha ghafla” linaleta taharuki katika jamii. Mbona mtu akitongoza ghafla magazeti hayaandiki.
Aliongelea kwenye kilabu cha Ulanzi au ofisini kwake?!MARUFUKU KUSEMA MTU KAFA KIFO CHA GHAFLA MBEYA | RC MBEYA: SITAKI KUSIKIA INASEMWA AU KURIPOTIWA KUWA MTU KAFA GHAFLA MBEYA Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kumekuwa na tabia... | By Rahatamtam blog | Facebook
RC MBEYA: SITAKI KUSIKIA INASEMWA AU KURIPOTIWA KUWA MTU KAFA GHAFLA MBEYA Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Albert Chalamila amesema kumekuwa na tabia...fb.watch
RC Chalamila amesema hili neno “kifo cha ghafla” linaleta taharuki katika jamii. Mbona mtu akitongoza ghafla magazeti hayaandiki.
alafu hajawahi kuhojiwa mtu anaropokaje kuua tumuache.Yule andunje ana matatizo sanaHuyo Chalamila ni mwendawazimu tu. Kuna siku aliwahi kujisifia kuwa aliua. Nadhani hizo damu za aluowaua ndizo zimemharibu akili.
Chalamila vs Babu Tale!Huyo Chalamila ni mwendawazimu tu. Kuna siku aliwahi kujisifia kuwa aliua. Nadhani hizo damu za aluowaua ndizo zimemharibu akili.