Mbeya: Mume amuua mkewe kwa kumchinja na kutenganisha kichwa na kiwiliwili

Watu hua wanadharau wasomi na Elimu, lakini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya matukio ya ajabu ajabu na Elimu ndogo. Ni nadra sana, narudia tena ni nadra sana kwa wasomi wa Elimu angalau ya Chuo kusikia wanafanya matukio ya namna hii. Lakini pia kuna uhusiano mkubwa sana kati ya hali duni ya kimaisha na matukio ya ajabu ajabu. Sijawahi kusikia mtu mwenye ukwasi anaanguka majini, kupandisha mashetani ama anaenda kushinda kwa Mwamposa ili aombewe apate rizki bila kufanya kazi. Umaskini, ufukara, hali duni za kimaisha, kipato duni na kukosa elimu hivi vitu vinaleta msongo wa mawazo (stress) na kupelekea watu kufanya matukio ya ajabu ajabu kama haya. Katika hali ya kawaida huwezi kua unafikiria kuua ua ama kuuana uana tu kama ndo solution ya matatizo yako na mwenzako
Mkuu; Umenena vyema lakini pia ujue kuna wakati hata kuwa na Elimu hakuna tija sana juu ya mahusiano esp. kwa walio ndani ya ndoa. Ingia kwenye ndoa uone ndoano zilizopo. Ni majanga.
Inatokea kero kwa mwenza wako na akishauriwa, akionywa, akikatazwa na hata "akipapaswa/akifinywa" kidogo haelewi amekaza fuvu. Inafika mahali mwanaume anasema ni afadhali ya jana -ya leo ni kali mno.
Sasa kama mwanaume hana akili ya kujiongeza au akifikiria kuja kugawana pasu kwa pasu ilhali kasota kupata mali na huyo mke , lakini mke ndo huyo tena amekengeuka analeta za kuleta .....ukijazia na kaulevi kidogo ndo yanapojitokeza majanga kama hayo. Usishangae nyuma ya tukio hilo akawepo mwanamke.(wanawake wanasalitiana sana)
Ni ukweli usiopingika kwamba huyo njemba (mume) amejipalia mkaa kwani huenda hukumu kali ikampasa na hakuna anayeunga mkono kitendo chake.
 
Hasira hasara!

Kwanini umuue?

Mwache aende au ondoka wewe!
kaka kuna kiwango cha hasira kikifika,"unakuwa kichaa kabisa usimlaumu",,,,,m2 anakuwa kichaa pale anapokuwa na hasira kali ama furaha kubwa ilopitiliza.....ndo manake unaonaga kuna watu wanakufa pale timu zao zinaposhinda,,au wanazimia,wengine wanavua mpaka nguo na kubaki uchi wa mnyama,,
 
Hasira hasara!

Kwanini umuue?

Mwache aende au ondoka wewe!
Uchangiaji huu ndio uchangiaji wa wengi,lkn watu wanachoshindwa kuelewa ni kuwa ukiwa na mwenzi wako na hamuelewani,swala la kuua sio kitu cha kupanga,ni tukio la ghafla ambapo mtu anapandisha jazba,na hasira ndio inayomsukuma aue,ndio maana baada ya yale mauaji mtu huanza kujuta na hata kujilaumu,hii pia imesababisha hata hukumu za hizi kesi kuchuchukua muda mrefu na hata adhabu hua zinatofautiana....
 
Uchangiaji huu ndio uchangiaji wa wengi,lkn watu wanachoshindwa kuelewa ni kuwa ukiwa na mwenzi wako na hamuelewani,swala la kuua sio kitu cha kupanga,ni tukio la ghafla ambapo mtu anapandisha jazba,na hasira ndio inayomsukuma aue,ndio maana baada ya yale mauaji mtu huanza kujuta na hata kujilaumu,hii pia imesababisha hata hukumu za hizi kesi kuchuchukua muda mrefu na hata adhabu hua zinatofautiana....
Ni kujiendekeza tu!

Yaani

uchukue panga,

utafute shingo ilipo,

ukague koromeo, then

Unyanyue panga ulengeshe kwenye koromeo

Unakata mshipa wa kwanza, damu inaruka

Mwenzako anapiga kelele na pia labda majirani nao wanapiga ukunga

Halafu bado unaendelea tu, huku ukijua kabisa hata mnyama ama kuku hachinjwi kikatili hivyo, bali kistaarabu.

Hapana! Sikubaliani na wewe.

Nimewahi kuwa na mwanamke mauza uza, lakini sikuwaza kumfanyia ufedhuli wa aina yeyote, na wala sikuwahi kumtukana, nilimuacha na alilia sana, ila nikamwambia basi imetosha sitaki.
 
Watu hua wanadharau wasomi na Elimu, lakini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya matukio ya ajabu ajabu na Elimu ndogo. Ni nadra sana, narudia tena ni nadra sana kwa wasomi wa Elimu angalau ya Chuo kusikia wanafanya matukio ya namna hii. Lakini pia kuna uhusiano mkubwa sana kati ya hali duni ya kimaisha na matukio ya ajabu ajabu. Sijawahi kusikia mtu mwenye ukwasi anaanguka majini, kupandisha mashetani ama anaenda kushinda kwa Mwamposa ili aombewe apate rizki bila kufanya kazi. Umaskini, ufukara, hali duni za kimaisha, kipato duni na kukosa elimu hivi vitu vinaleta msongo wa mawazo (stress) na kupelekea watu kufanya matukio ya ajabu ajabu kama haya. Katika hali ya kawaida huwezi kua unafikiria kuua ua ama kuuana uana tu kama ndo solution ya matatizo yako na mwenzako
Mkuu umehitimisha sana kwenye hili lkn kiuhalisia mambo yako tofauti sana na unavyohitismisha mkubwa
 
kaka kuna kiwango cha hasira kikifika,"unakuwa kichaa kabisa usimlaumu",,,,,m2 anakuwa kichaa pale anapokuwa na hasira kali ama furaha kubwa ilopitiliza.....ndo manake unaonaga kuna watu wanakufa pale timu zao zinaposhinda,,au wanazimia,wengine wanavua mpaka nguo na kubaki uchi wa mnyama,,
Kujiendekeza tu kwani mapenzi yameanza leo?
 
Watu hua wanadharau wasomi na Elimu, lakini kuna uhusiano mkubwa sana kati ya matukio ya ajabu ajabu na Elimu ndogo. Ni nadra sana, narudia tena ni nadra sana kwa wasomi wa Elimu angalau ya Chuo kusikia wanafanya matukio ya namna hii. Lakini pia kuna uhusiano mkubwa sana kati ya hali duni ya kimaisha na matukio ya ajabu ajabu. Sijawahi kusikia mtu mwenye ukwasi anaanguka majini, kupandisha mashetani ama anaenda kushinda kwa Mwamposa ili aombewe apate rizki bila kufanya kazi. Umaskini, ufukara, hali duni za kimaisha, kipato duni na kukosa elimu hivi vitu vinaleta msongo wa mawazo (stress) na kupelekea watu kufanya matukio ya ajabu ajabu kama haya. Katika hali ya kawaida huwezi kua unafikiria kuua ua ama kuuana uana tu kama ndo solution ya matatizo yako na mwenzako
Umenena vyema, Mtumishi!
 
Simanzi na vilio vimetawala kwa wakazi wa kitongoji cha Masista kijiji cha Lusese Kata ya Igurusi baada ya Omben Kilawa mkazi wa kijiji hicho wilaya ya Mbarali mkoani Mbeya kumuua mke wake Happness Mwinuka kwa kumchinja na kutenganisha kichwa na Kiwiliwili.

Tukio hilo limetokea majira ya saa 7.00 usiku wa kuamkia leo Machi 13, 2024 ambapo jirani amesema alisikia kelele kama watu wanagombana lakini baada ya nusu saa kukawa kimya na kuamua kupiga yowe ndipo watu walipojitokeza na polisi kufika wamelibomoa mlango wa chumbani kwao na baada ya kuingia Kilawa alikuwa ameshatekeleza mauaji kwa kumchinja mke wake na kwa kutenganisha kichwa na kiwiliwili.

Mweza akizingua mwache aende kwa amani...

Haya matukio yanaongezeka mnoo.

Inaleta machozi
 
Back
Top Bottom