Mbeya: Mpaluka Nyagali Mdude akamatwa na Heroine, apandishwa kizimbani akikabiliwa na mashtaka ya Uhujumu Uchumi

Chidi Benz akamatwa na dawa za kulevya airport
Yasini NgituOctober 24, 2014 - 7:54 pm
145



Chidi Benz amekamatwa na dawa za kulevya katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam akiwa anaelekea jijini Mbeya kwenye show ya Instagram Party inayotarajiwa kufanyika kesho.
Chid Beenz_full
Akizungumza Bongo5 leo msanii Shetta ambaye alikuwa naye pamoja katika safari hiyo ya kuelekea Mbaya, amethibitisha kukamatwa na kwa Chidi akiwa na vitu vinavyohisiwa ni madawa ya kulevya.

“Kweli tulipata matatizo na Chidi pale airport ila mimi nikaruhusiwa yeye nikamuacha, amekamatwa na mambo mambo fulani sema ongea na wahusika watakwambia zaidi,” alisema Shetta.

Akizungumza na Millard Ayo, kamishna msaidizi wa Polisi (ACP) Hamisi Selemani kamanda wa polisi katika uwanja wa ndege Dar es Salaam amesema Chidi Benz amekiri kuwa dawa hizo ni zake.

Amedai kuwa Chidi alikutwa na kete 14 za dawa za kulevya pamoja na misokoto miwili ya bangi iliyokuwa mifukoni mwake.

Chidi atapandishwa mahakamani hivi karibuni kwa kosa la kukutwa na dawa hizo.
 
1589385670881.png
 
Kabisa Bestie mie naamini Ben Saanane kama angekuwa hatumii jina lake la kweli humu basi angekuwa hai hadi leo hii.
Kabisa yaani. Watu wana roho mbaya sana haawasiti kuondoa uhai wa mtu wanaeona anatishia reputation yao.

Magu huwa anaumia sana akiona anasemwa mitandaoni.Bashite sasa anamwambia mzee tulia. Kinachofuata sasa uhai wa mtu unatolewa.
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Wameona wambambikie kesi sasa! Aisee hao wanaoomba kuombewa, wanafaa waombewe wafe hata leo. Hivi jiwe ni binadamu au shetani?
 
Mtu kama Mdude masaa 24 anainanga serikali kweli awe na unga ...Ila kuna kitu serikali inaogopa maana ingekuwa zamani wangemuuwa
 
MPILIKUKA nyagali alikua anatweet sana..katika hii Dunia haya huja na huisha.
 
Sikutegemea kuiona Nchi yetu ikifikia hapa tulipo. Nilidhani mambo ya UDHALIMU wa kiwango cha kutisha Watanzania tungeendelea kuyasikia katika nchi za wenzetu lakini sasa yametufika.

Kabisa yaani. Watu wana roho mbaya sana haawasiti kuondoa uhai wa mtu wanaeona anatishia reputation yao.
Magu huwa anaumia sana akiona anasemwa mitandaoni.Bashite sasa anamwambia mzee tulia. Kinachofuata sasa uhai wa mtu unatolewa.
 
Tatizo Tanzania ukikamata unakufa lwako,hakuna mtu anatoka live mguu kwa mguu kukupigania. Wote tunaishia kuandika tu. Lissu mwenyewe anawaogopa wenye jeshi lao ndo maana mpaka leo yupo Belgique.
Niliishi na dada mmoja nilikuwa ninamtegea sana kutoa uchafu nje. Kwakua alikua msafi sana na alikua mpole alitoa bin karibu kila Jumamosi.

Kuna siku tulikuwa tunakula, aliniambia iko siku utamkumbuka yule mjinga aliyekuwa anatoa bin kila siku. Hakuna kinachodumu milele wakati huo utakua unaishi mwenyewe utamtegea nani.

Yale maneno mpaka leo huwa ninayatafakari sana. Kumbuka hakuna hali inayo dumu milele.
 
Back
Top Bottom