Mbeya: Mdude Nyagali akataa kuandika Maelezo Kituo cha Polisi, asema atayatoa Mahakamani

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,757
218,373
Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Polisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .

Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .

Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Hayati Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza dawa za kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.

Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea dawa za kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia pua Mahakamani ,

Mdude aliishinda serikali Mahakamani, hakuachiwa kwa msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .

Screenshot_2023-08-13-22-36-33-1.jpg
 
Niyaonapo yote haya navuta picha wakati ule Mzee baba JPM kafariki watu walivyokuwa wanashangilia, kuchinja na kusema sasa haueni inakuja sababu kasepa zake.

Nilisimama na naendelea kusimamia kauli ya usishangilie wakati hujavuka mto, haya leo yako wapi na zile shangwe zenu, ooh bora kafa, ooh nchi imepona 😢!.
 
Dah hawa polisi nao, wangembinya kende zake jamani ili atoe maelezo, I wish ningekuwa polis yaani unampa kibano mpaka analia maaaaaaa halafu unamkanyaga shingoni anakosa hewa kidogo. Yaani hawa mahaini wawabane kweli kweli
Hakuna mateso ambayo Mdude hakupitia , halafu karibu wote waliomtesa wamekufa , akiwemo Magufuli , Utukufu wa Mungu ni wa ajabu sana !
 
Niyaonapo yote haya navuta picha wakati ule Mzee baba JPM kafariki watu walivyokuwa wanashangilia ma kuchinja na kusema sasa haueni inakuja sababu kasepa zake.

Nilisimama na naendelea kusimamia kauli ya usishangilie wakati hujavuka mto, haya leo yako wapi na zile shangwe zenu, ooh bora kafa, ooh nchi imepona !.
Wote wanaoiga matendo yake watakufa kwa mkono wa Mungu
 
Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Oolisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .

Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .

Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Dikteta Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza Madawa ya kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.

Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea Madawa ya kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia Pua Mahakamani ,

Mdude aliishinda serikali ya ccm Mahakamani , hakuachiwa kwa Msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .

View attachment 2716656
Kwa hiyo huyo Mwabukusi ni muoga sio?
 
Kijana Mzalendo na Mtetezi wa rasilimali za Taifa , shujaa Mdude Nyagali amegoma kutoa maelezo yoyote Kituo cha Oolisi baada ya kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za Uhaini .

Mdude amewaambia Watukufu Polisi kwamba maelezo yake yote kuhusu Uhaini wake atayatoa Mahakamani .

Kwa Wale wageni wa JF na labda wale wenyeji wasahaulifu ni kwamba , hii si mara ya kwanza kwa Mdude kubambikwa kesi na Polisi wa Mbeya , wakati wa Dikteta Magufuli aliwahi kukamatwa na kusingiziwa tuhuma za uongo za kusafirisha na kuingiza Madawa ya kulevya kisha kuyasambaza nchini Tanzania , wakati hakuwahi kutoka Nje ya Tanzania wala hakuwahi hata kuwa na Passport.

Hata hivyo Polisi pamoja na kumuwekea Madawa ya kulevya nyumbani kwake ili kunogesha move yao bado waliangukia Pua Mahakamani ,

Mdude aliishinda serikali ya ccm Mahakamani , hakuachiwa kwa Msamaha wa Samia kama wapotoshaji wengi wanavyodai .

View attachment 2716656
Miranda Rights.......You have right to keep silence and do not answer anything during primary interrogations.
 
Back
Top Bottom