mkemiamkuu
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 355
- 284
Maria na Rehema nimesoma nao Mbeya dayKulikuwa na watoto fulani wa Ilolo walikuwa mapacha wanasoma Mbeya Day miaka 1996 to 1999 hakika walikuwa wakali
Maria na Rehema nimesoma nao Mbeya dayKulikuwa na watoto fulani wa Ilolo walikuwa mapacha wanasoma Mbeya Day miaka 1996 to 1999 hakika walikuwa wakali
We jamaa lazima tumesoma wote Sinde ya JD na MpondaMwalimu kanjoka na msangalufu, na mwalimu mponda siwezi kuwasahau hao waalimu enzi hizo.. Sijui wapo sahizi nakumbuka enzi hizo shule ya msingi sinde ukichelewa asubuhi usiombee umkute mwal. Kanjoka kafika utachezea Bakora duuh!! Mbeya yangu Taam kweli
Hivi hiyo habari ilikuwa ya kweli?Pindu alichukuliwa na wachina kwenda China sijui km alirudi bongo
Hivi aliishia wapi mtu huyu mkarimu ? Hakika wema hawadumuKulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
Ulisha wahi ku attend kula bamia la Mswanga?Hivi aliishia wapi mtu huyu mkarimu ? Hakika wema hawadumu
Tunaongelea Mbeya mjiniNyie mnaongelea Mbeya gani?
Nzovwe ndio ilikua makao makuu ya ubabe, ukiwakuta kina semeni,jairo,chande utakoma.
Disco linapigwa jeshini mziki unaanzishwa huko mnakimbizwa kama mko vitani.
Ukiwakuta kina El-kibo ilikua noma.
Mtaani kulikua na chizi zikimpanda akashika panga vumbi linatimka kijiji kizima.
PinduuuuuPindu alichukuliwa na wachina kwenda China sijui km alirudi bongo
Hah haa haaa Mbeya Kuna makabila mengi sana. Kuna Wabungu, Wakimbu, Wasangu, Wamalila, Wandali, Wasafwa, Wamanyafu, Wanyakyusa etcMkuu Bujibuji, ubhwombile!
Ali na Ali yupo juzi nimemuona Soweto anatembelea Nissan patrolhuyu mshua alikuwa ana benzi kama 10 hivi kazipaki uwanjani kwake kule block T,nyuma ya ile shule ya watoto watukutu mtaa wa kina kiggy
Yaani nyie lazima ma class mate wangu kabisa.We jamaa lazima tumesoma wote Sinde ya JD na Mponda
jina lake halisi alikua akiitwa dany amekula sana ugali home forestEnzi hizo onko jamaa huyu alikuwa anajichoma pua alikuwa anakaa maeneo ya opposite na kwa ndiyo unakumbuka?
mkuu mwaka gani ulisoma pale sinde?Yaani nyie lazima ma class mate wangu kabisa.
1998.....mkuu mwaka gani ulisoma pale sinde?
hivi ndugai anachapa sana bakora etii hahahahaUmenikumbusha mwalimu mkuu wangu wa Azimio shule ya msingi alikuwa anaitwa mwangomile, aisee alikuwa anachapa bakora yaani ndugai haoni ndani kabisa
Usiahau pale taven , ulanzi, Kimpumu, Mchujo na komoniUkanda wa kina Botha Mwansile, wa Flamingo Bar.
Mitaa hiyo kwa miwa na vitindi ilikuwa noma sana.
Jioni ni bagia za mikono na vibama, asubuhi ni matairi a.k.a mabumunda ya Wakinga