Mbeya long time kitambo

Mbeya long time kitambo

Umenikumbusha mwalimu mkuu wangu wa Azimio shule ya msingi alikuwa anaitwa mwangomile, aisee alikuwa anachapa bakora yaani ndugai haoni ndani kabisa
Nimesoma enzi hizo miaka ya mwishoni mwa sabini. Siku ya kwanza nilitinga shule na makatambuga, dah bakora zake mpaka leo sisahau. Enzi hizo Mkuu wa Mkoa alikuwa Kingunge ngombare Mwiru na mwanawe mmoja tulisoma naye pale Azimio!

Bujibuji kanikumbusha mambo ya Mang'ang'a na mafyulizi. Wakati huo nikiwa nimetokea Dar nawasimulia watu kwamba nilifukuzwa na "bonge la Ng'ang'a" wenyewe hawaelewi kwani kwao Mang'ang'a ni tunda wakati kwa Dar ilikuwa ni Mbwa.
 
Nimesoma enzi hizo miaka ya mwishoni mwa sabini. Siku ya kwanza nilitinga shule na makatambuga, dah bakora zake mpaka leo sisahau. Enzi hizo Mkuu wa Mkoa alikuwa Kingunge ngombare Mwiru na mwanawe mmoja tulisoma naye pale Azimio!

Bujibuji kanikumbusha mambo ya Mang'ang'a na mafyulizi. Wakati huo nikiwa nimetokea Dar nawasimulia watu kwamba nilifukuzwa na "bonge la Ng'ang'a" wenyewe hawaelewi kwani kwao Mang'ang'a ni tunda wakati kwa Dar ilikuwa ni Mbwa.
 
Japokuwa sio mzawa wa Mbeya ila nilienjoy sana wakati huo nasoma Southern Highland. Kuna wahuni Sido waliniibia pesa yangu wakati nimeenda kudaka nguo asubuhi. Mbeya taam sana Mamajoni, Hali ya hewa(airport ya zamani), Isengo, Pambogo, Block T, Soweto, Ilomba, Maendeleo hizo zote zilikuwa pande zetu
Umeona ehh
 
Nimesoma enzi hizo miaka ya mwishoni mwa sabini. Siku ya kwanza nilitinga shule na makatambuga, dah bakora zake mpaka leo sisahau. Enzi hizo Mkuu wa Mkoa alikuwa Kingunge ngombare Mwiru na mwanawe mmoja tulisoma naye pale Azimio!

Bujibuji kanikumbusha mambo ya Mang'ang'a na mafyulizi. Wakati huo nikiwa nimetokea Dar nawasimulia watu kwamba nilifukuzwa na "bonge la Ng'ang'a" wenyewe hawaelewi kwani kwao Mang'ang'a ni tunda wakati kwa Dar ilikuwa ni Mbwa.
Watoto na wajomba wa kingunge ngombale mwiru walikuwa kinjekitile, Ruta na kazi
 
Nilikaa miaka zaidi ya ishirini na tano. Niliporudi Mbeya nilikwenda hadi Jacaranda tulipokuwa tunaishi. Kwa kweli ilikuwa kumbukumbu nzuri sana.
Hata mimi nilikuwa naishi jakaranda kwenye zile kota za Serikali bàadaye waliuziwa watu binafsi
 
Hata mimi nilikuwa naishi jakaranda kwenye zile kota za Serikali bàadaye waliuziwa watu binafsi
Aisee. Kuna nyumba ya kina Kajigili pale karibu na Moravian jirani yao. Nakumbuka kuna jamaa yangu alikuwa anaitwa Amini na kina Mwaikakile. Kwenye zile kota kulikuwa kuna mtu anaitwa Mfula Mohamed.
 
Asante sana watoto wa forest
Nakumbuka Forest wakati ule ikiwa bado na miti ilikuwa inatumika kwa kumwagia maji machafu yanayonyonywa toka kwenye nyumba za watu. Mbeya ndiyo kwa mara ya kwanza nilikula Katapela kwa ndizi (mbalaga) Kavuu. Hiyo ilikuwa mabatini eneo fulani lilikuwa na kiwanda cha kutengenezea pipi.
 
Mwalimu kanjoka na msangalufu, na mwalimu mponda siwezi kuwasahau hao waalimu enzi hizo.. Sijui wapo sahizi nakumbuka enzi hizo shule ya msingi sinde ukichelewa asubuhi usiombee umkute mwal. Kanjoka kafika utachezea Bakora duuh!! Mbeya yangu Taam kweli
 
Wale wa Muungano Primary kulikuwa na mwalimu Mwailima,Mecky,John David,Mamkwe etc bila kumsahau Ester David
 
Back
Top Bottom