radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,450
- 32,290
Kuna mabasi mengine kama Majira, Sasa kazi, Mgangaluma yalikuwepo
mwaji video coach na saratoga
Kuna mabasi mengine kama Majira, Sasa kazi, Mgangaluma yalikuwepo
Siyo maneno yangu ni maneno wa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Daniel Ole NjoolayPut it the way u like no physical harm done.
Nyie wa kwa Lena mlipewa baiskeli muifunge Meta umisetabujibuji sisi wa mbalizi mmetutenga
Siyo maneno yangu ni maneno wa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Daniel Ole Njoolay
Hapo jirani na kwenu, kwa kina Makolija walikuwa na Linolino hapo kwa kina Max Nanyaro walikuwa na NishioKuna mabasi mengine kama Majira, Sasa kazi, Mgangaluma yalikuwepo
ha ha haaa Kifwamba Rangers .....ilikuwa timu ya tajiri mmoja mnene enzi hizo.....mara moja moja alikuwa akipewa namba tisa aingie kupiga soka .....ilikuwa vituko....nasikia alikufa huyo mwenye kifwambakulikua na timu inaitwa kifwamba
Dr Minja mkewe mzungu? Bado yupo yule mzeeDr. Janja, na Dr. Minja huwa kumbuki?
na kocha akitaka kumtoa alijua anagoma anadai timu yangu halafu unitoe anamgomea kocha, walikua wakiingia uwanjani na 109 dereva yeye nakumbuka enzi hizo ligi daraja la tatu mkoa kifwamba inaingia na 109 mecco wanaingia na roli la kirusiha ha haaa Kifwamba Rangers .....ilikuwa timu ya tajiri mmoja mnene enzi hizo.....mara moja moja alikuwa akipewa namba tisa aingie kupiga soka .....ilikuwa vituko....nasikia alikufa huyo mwenye kifwamba
Mbeya Kuna lami kila kona sahizi mkuu, mji unapendeza kwa kweli.naskia ile barabara ya kutoka Rift valley kwenda chunya ina lami, na lile soko la Isanga limefutwa,hv uwanja ngoma upo bado?
Watoto wake ni Florah, Tina na TonyDr Minja mkewe mzungu? Bado yupo yule mzee