Niccolo Machiavelli
JF-Expert Member
- Feb 7, 2017
- 1,881
- 3,653
We muhenga kweli....
Mbeya ni kijiji Kikubwa
Afike mbali wapi?Ustadh bitebo, kuna kipindi alifikia hatua ya kuchezesha mechi za TFF ligi ya mkoa. Bila shaka atakua amefika mbali sasa hivi.
Hyo nyumba lazima itakua kwa dr HeraMzee umenikumbusha mang'ang'a, siku moja watoto wa uswazi mabatini tukapiga mguu mpaka Uzunguni. Tukaruka ukuta nyumba moja Hivi, tukapanda mti wa mang'ang'a, tukaanza uvunaji.
Lahaula, mwenye nyumba kutuona akafungulia mbwa..... Dah, tulikimbia mbio, ruka ukuta.... Kumbe mbwa kaishia getini, sisi kituo cha kwanza Azimio.
Mji wate wa mby ulikuwa na chata zangu ha ha haaHili chata niliwahi kuliona kule Mbalizi pia!
Boss chipsi 300?watu tumeanza chips 100 ukinunua za 150 unakula wawili mpaka watatu na zinabakiMbeya home yani daa napamic sn.
Ukienda uyole enzi hizo chips 300,
Za 500 unaulizwa mpo wangapi?
Daa block T mpaka pande za Iyela.
Itakuwa Unamuongelea Rais Wa Congo..KabilaPale Sangu Sekondari ...kwenye miti kulikuwa na kichaka kinaitwa kaburi la Bob Marley watu wamekula sana ganja pale....lkn leo hii baadhi yao ni watu wakubwa sana hapa chini ya jua......
Bitebo refarii maarufu sijui yuko wapi, aisee! Mkuu ule uwanja umebaki historia. Kuna mdau maarufu wa Saitama Mecky nadhani unamkumbuka pia.Enzi za Kiwanja ngoma nimepiga sana soka pale,jogobasha baadaye Blacktown ya Baragumu. Derby ya snowhite na Saitama ilikuwa inajaza balaa,kuna refa alikuwa anaitwa Bitebo maarufu kwa kupigwal,pembeni kulikuwa na baa ya Memba.
Hahahaa..mwasimba..Kulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
Sahihi kabisa ....lkn pia kuna vichwa vingine kadhaaItakuwa Unamuongelea Rais Wa Congo..Kabila
Alienda kuanzisha kanisa linaitwa ...brotherhood pale jirani na kwa Dawson.Soko-Matola kuna kanisa kubwa sana la Moravian kulikuwa na mchungaji anaitwa Mwamlima. Jamaa alikuwa mtemi kichizi alikuja kuondolewa na Mrema chini ya kikosi Maalum cha FFU
Aliwapiga sana wasauz alijiita profesa Ali na Ali...kulikua na Tapeli wa southafrica anaitwa Ali na Ali alikua na magari makali sana
Kuna wakati nikiwa Lute camp Tukuyu Bob G alifurumshwa na pajero la uhamiaji akiwa na cruiser yake ile ya kizamani,akakatiza,ushirika akaingia shule lutengano akapaki nyuma ya vyoo kule kipwela. Jamaa wakatutuma njiani kuwapotosha polisi, walipoondoka wakafungua nyuma..wakatupa mfuko umejaa power No1 na kiroba cha calsberg na caton ya sukari. Duh..sitaki kukumbuka kilichotokea. Baba Minga (headmaster) aliongea mpaka meno yake ya bandia yakadondoka..Duh..mbeya ile..Kuna jamaa alikuwa anaitwa Bob G alikuwa mzee wa magendo kutoka nchi mbalimbali hasa malawi. Alikuwa na cruiser wakati kipindi hicho polisi wana hyundai. Aisee Hatari mno. Nasikia jamaa alikuwa anafukuzwa na polisi akamwagaga rambo ya shilingi mia mia pale uyole watu wakaingia barabarani polisi wakashindwa kupita.
Kuna jamaa walikua wanaiba ng'ombe hata 30 na wanawaswaga barabani wakiwa na gobole na polisi wanagwaya. I miss that Mbeya
Alikuwa mtemi kinoma mama MonicaMakunguru zilikuwepo daladala za mama Monica aliziandika"nashangaa gari" rout ni standkuu to uyole
Hiyo ni Barbara ya kwenda Chunya, Kuna mkeka wa nguvu hadi ChunyaHapo ni Kitonga au??