Idimi
Platinum Member
- Mar 18, 2007
- 15,506
- 11,439
😀😀😀😀😀Walikuwa na hela na walitugonga sana tu.
Chezea mshiko wewe
😀😀😀😀😀Walikuwa na hela na walitugonga sana tu.
Haha mkuu we ni wa mwakibete ama?Bob G jirani yetu...alishafariki
Kumbe wewe ni wa Mbeya.....ndio maana Kuna ugoloka fulaniKulikuwa na pusher wa bangi huko Nonde. Ukitaka kuvuta bangi kwake utavuta bure hata gunia. Take away ndio unalipia. Jamaa alikuwa anaitwa Mswanga na alikuwa na stock ya kutosha kuvutisha vijana wote wa Mbeya kwa miaka minne bila kutetereka
I met this man 2015 akiwa Balozi wa Tz nchini Nigeria, akanambia aliaza kuitumikia nchi akiwa kijana mdogo sana.Siyo maneno yangu ni maneno wa aliyewahi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Mh. Daniel Ole Njoolay
Kazi ya UKAWA?Mbeya Kuna lami kila kona sahizi mkuu, mji unapendeza kwa kweli.
Barabara za ndani ni kazi ya halmashauri/manispa, barabara kubwa(highways) Kazi ya tanroads under serikali kuu.Kazi ya UKAWA?
BERN au
Mbalizi kuna mzee walikuwa wanamwita Kilangamoto,mwengine Tongono alikuwa na ming"ombee balaamwaji video coach na saratoga
Uhuru Street , kanisa la maweM
Mie nilikuwa naishi nyuma ya nyumba ya Chihota
Mimi Sajo, hao madogo walikuwa bado wanacheza chandimu wakati mimi nacheza Rockers United.Dogo wangu aliitwa Prince Lugax rapa wa mwanzo mwanzo kampani ya kina SuguNilichomoka longtime kitambo miaka kumi na tano sijarudi huko .....by the way utambulisho ndio hilo rass jeff kapita....hiyo timu ya forest nimecheza na akina robyo mwasalemba,hamis chepe chepelino.....maja,zungu,abuu kasanga
etc,etc ...niambie ww unatokea angle ipi ......ama ww ni mtoto wa mzee nani nitakuelewa


...nakumbuka kulikuwa na maziwa flan hv ya mgando yamepakiwa katika pakiti zenye rangi ya kaki na kijani yamekaa umbo la pyramid..kuna matunda flani yanaitwa songwe(sikumbuki vizuri) ila nimekumbuka mbali sana sana...especially marehemu mama angu...dah wakati umeenda wapi?
Negwako Mwasanyula ni dada yako?Mimi Sajo, hao madogo walikuwa bado wanacheza chandimu wakati mimi nacheza Rockers United.Dogo wangu aliitwa Prince Lugax rapa wa mwanzo mwanzo kampani ya kina Sugu
dah hapa mkuu ndo umenkumbusha mzee mwadada anatoa makatapera kalobe na itende anapeleka mpaka sokomatola kwa miguu dah R.I.P mzee mwadadaHapo sasa! Namkumbuka sana!
Shule yetu ilikuwa ikipangwa ki madaraja, ilikuwa namba moja, ndio inafuata Sisimba. Hao akina Itiji, Majengo, Mbata (Shule aliyosoma Mwambusi wa Yanga) zote zilikuwa madaraja ya chini!
Mapumziko, SOMBRERO HOTEL kununua Bagia, au kwa MWADADA kununua ndizi na MAKATAPERA, pale karibu na duka la yule Muhindi KIGHILI!!
Mimi wa ShigalaKumbe wewe ni wa Mbeya.....ndio maana Kuna ugoloka fulani
Mwasimba Alikuwa na local gym. Mna piga vyuma na nyama za machinjioniAliitwa MWASIMBA,KITONSA,BABU AU SHETANI.
Mitaa ya kina dj Ayeya mtoto wa Edward KasambalaDaaaaaah! Karibu na Mashine ya Mwalalika! Uwanja, upande mmoja upo juu, mwingine chini!