Wanaohusisha suala hili la wanajeshi kutapakaa mjini mbeya na uwepo wa alishiababu ni waongo. Hili ni moja ya mazoezi yao tu. Last month limefanyika mkoani Ruvuma mjini Songea
Ningependa hili zoaezi pia walifanye DSM Mwanza na Arusha waovu hutokwa na povu.
Ni zoezi la kawaida tuu afterall ni jeshi na wananchi wa Tanzania kama huna tatizo huna haja ya kuwa na hofu
Walianza songea sasa Mbeya
Malengo ya hili zowezi nini kuanzia songwe mpaka uyole? Yaan jiji lote na mabom kupigwa?
Lengo kuu la zoezi wanajua wao. Lakini yote wanayofanya hayahusiani na kuhatarisha usalama wa raia. Kama huna tatizo na hutawaingilia kwenye zoezi lao na kujifanya kiburi wanapotoa amri hawana tatizo nawe.
Nakumbuka Songea yote yanayofanyika Mbeya yalifanyika pia. Hizo siku za zoezi lao shughuli zote za ulinzi wa ndani walifanya wao. Walilinda hospital, masoko, taasisi zote za serikali, mabank kutia ndani vituo vya polisi walikuwepo wao. Polisi walipewa likizo.
Kwa hiyo hakuna haja ya kuogopa
Unaongeleaje wagonjwa wa pressure na wale wasioweza kuhimili mishituko? Naongelea mabom
Kunausalama?
Usalama upo mkuu, mabomu ni sehemu ya hayo mazoezi na hayawahusu raia
.......kinga ni bora...........Mbongo mbona hamna ugaidi, au tumeumiss tunauita
Usihofu ni mazoezi tu ya kukabiliana na Ugaidi mazoezi kama hayo yalishafanywa hata huko SONGEA Raia wengi endeleeni na kazi kama kawaida vijana wenu wako kazini.
Malengo ya hili zowezi nini kuanzia songwe mpaka uyole? Yaan jiji lote na mabom kupigwa?
Mumeamuka - mmeamka
Mulikoamukia- mlikoamkia
Kuenjoy- Ku-enjoy(elewa namna ya kutumia combined words au tukufundishe Morphology)
Kunafaida yoyote kupiga mabom katikati ya umma usionataarifa? Tueleze kama kunahasara pia tueleze.
mkuu mbona naona kama raia mikoni juu!!Acha ujinga wewe nilikuwa namgen wangu nanenane stand nusura niingize gari mtaron kwa upumbavu wa jamaa zako.
Usiwe mjinga kukanusha usichokifaham.
Mbeya siyo mtaani kwenu tu. Hili nijiji fanya utafiti kabla hujapotosha
You better shut the f..uck up,, mboyoyo nyiiiingi, kawaulize viongozi wako wa wilaya na mkoa wana taarifa zaidi