Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Huu ni uzushi, mimi niko jijini Meya muda huu, hakuna kitu kama hicho. Nahofu kuingizwa kwenye mtego wa mambo ya uzushi kama ule wa mapambano kati ya TPDF na El Shababu kule mapango ya Amboni. Ebu leta ushahidi wa picha yenye tarehe kama una ukweli !!!

Acha ujinga wewe nilikuwa namgen wangu nanenane stand nusura niingize gari mtaron kwa upumbavu wa jamaa zako.

Usiwe mjinga kukanusha usichokifaham.

Mbeya siyo mtaani kwenu tu. Hili nijiji fanya utafiti kabla hujapotosha
 
yan nmeamin baadhi ya watu humu vichwa vya panzi..awakosi cha kusema kama wanawake malaya.we kama ujui kitu nyamaza tho ili uonekane umechangia
 
coz wakikaa kimya mnasema wanakula ela za bure wakifanya mazoezi et ooo wanatutisha mara mbwembwe.
 
Kunamadhara makubwa sana

-Jeshi mitaan kwanini, polisi wako wapi

-Jeshi mitaan ndo mipaka ya nchi?

Hawa wanajenga hofu na critical pschological toucher kwa raia.

mkuu ulitaka kuandika psychological 'torture' au ni hiyo hiyo 'tacha' yako
 
Mkuu hao hawafanyi doria yyt, wapo mafunzoni, Watanzania tunaogopa wanajeshi wetu wanaolinda amani badala ya kuogopa vita! Hao kazi yao ni kulinda amani, uwepo wao iwe faraja kwako kuwa kumbe hapo ulipo unalindwa🙄

Mkuu kuna kitu kinaitwa mgawanyo wa kazi/majukum (division of labor)

Polisi wanamajukum yao

Magereza wanamajukum yao

TPDF wanamajukm yao

Hawa wote husaidiana pale tu inapotokea mmoja kukwama katika majukum yake.

Hapa nivitisho na kuwafanya raia kuhofia usalama wao hususan kufanya maamuzi sahihi kuelekea uchaguzi mkuu october.
 
wapelekeni Congo bhana, watu wametolewa ubinadamu bado mnawafuga?

Peleka Congo wakamalizie hasira huko
 
Uchaguzi Mkuu utavurugwa na hali ya nchi itakuwa tete...

JWTZ wataingilia uchaguzi na kuingia mtaani..

Ile pesa ya ESCROW (billioni 200) itatumika kuparalyze system na NEC hawatakuwa na meno..

Shillingi itaporomoka maradufu kuanzia 2500 - 2800 kwa dola moja ya US $.

Mfumuko wa bei utakuwa mkubwa

Pesa za ESCROW zitahonga watu sana....(zile pesa walizobeba kwa rumbesa, salfate, magunia, rambo
 
ayo ni mazoezi kwaajili ya kujiweka tayari na ni silibas ya kimataifa huwa yanafanyika katika maeneo mbalimbali kulingana na topic yenyew.yapo ya porin mf..jungle patrol base.n mjini ndo kama hayo FiBUA,RAID cloud d sparz.etc
 
Nyie mnaodai picha inaelekea shughuli yahawa jamaa hamuitambui.

Unaweza oga tope asubuhi hii na uchura wakutosha. kisa nabaridi kali kiasi hiki?

Anayetaka akapige hizo picha, lakin wasikuone utajuta.
 
Acha ujinga wewe nilikuwa namgen wangu nanenane stand nusura niingize GARI mtaron kwa upumbavu wa jamaa zako.

Usiwe mjinga kukanusha usichokifaham.

Mbeya siyo mtaani kwenu tu. Hili nijiji fanya utafiti kabla hujapotosha

dooooh umezunguka saaaaana mwishowe kitu ulichotaka kutuambia all along nimeshakiona,,, nani mwingine kaona?
 
dunia ya saiv imebadilika amna vita ya porin kama enz zile za uganda nwadyz maadui wanaweka ngome kwenye miji na sehemu za watu coz nia yao s kuua askari bali n raia.wakuu wa serekali.majengo muhimu etc
 
Juz nikiwa mitaa ya airport alachuga niliwaona makamanda wakichanja mbuga,ni mazoezi tu ya kawaida tu
 
Huu ni uzushi, mimi niko jijini Meya muda huu, hakuna kitu kama hicho. Nahofu kuingizwa kwenye mtego wa mambo ya uzushi kama ule wa mapambano kati ya TPDF na El Shababu kule mapango ya Amboni. Ebu leta ushahidi wa picha yenye tarehe kama una ukweli !!!

Tulia kanyonyeshe ww dada, unaleta ushabiki wenu wa kwenye uzinzi wa MMU, hapa tunajadiri mambo ya nchi. Sasa ww uko itaka mbozi ya mbeya mjini utayajuaje au uko Chipaka kwa wanyamwanga utayajuaje ya mjini.
EIdiot!!
 
Acha ujinga wewe nilikuwa namgen wangu nanenane stand nusura niingize gari mtaron kwa upumbavu wa jamaa zako.

Usiwe mjinga kukanusha usichokifaham.

Mbeya siyo mtaani kwenu tu. Hili nijiji fanya utafiti kabla hujapotosha

Mkuu ni hatari sana kwa aina ya kizazi cha kukanusha bila tafiti, any way tusimlaumu huyu ni mdau wa MMU wamezoea kubishana ya vitandani si mambo ya nchi
 
Hapa mto Songwe wapo kama 30 hivi. Nikajua kapigwa mwenzao wanataka kufunga vijiji na kuanzisha zile oparation kamata vijana kama za Kigamboni zama zile.
 
Huu ni uzushi, mimi niko jijini Meya muda huu, hakuna kitu kama hicho. Nahofu kuingizwa kwenye mtego wa mambo ya uzushi kama ule wa mapambano kati ya TPDF na El Shababu kule mapango ya Amboni. Ebu leta ushahidi wa picha yenye tarehe kama una ukweli !!!
Mama Mdogo

Habari za jijini Meya
Kwa Bahati Mbaya tukio liko Jijini Mbeya na sio Meya
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom