mafinyofinyo
JF-Expert Member
- Nov 29, 2012
- 4,404
- 3,276
Na wanavyopenda masifa sasa
Mkuuwote tunajua polisi hata vituoni tu hawatoshi.kuna vituo unakuta polisi mmoja tu kituo kizima wengine wote ni polisi jamii.na kama nilivyosema awal wakati wa uchanguz kuna pilipilika nyingi polisi na kipindi polisi wanakuwa hawatoshi kabisa
Mbongo mbona hamna ugaidi, au tumeumiss tunauita
hivi siku hizi kuwa sekondari ni kosa kisheria? poa nisamehe bwana
wiseboy
Kama utabakia kuwa PRIMITIVE katika KARNE HII wakati una bahati ya kuona TV; Internet etc...
Unakashifu MBONGO; Haujui nchi nyingi tu duniani huwa wanafanya DRILLS za SECURITY in PUBLIC
** SOMA Kidogo MBONGO... Ukiwa hivyo Wakenya; Waganda; Wanyarwanda na Warundi watabeba kazi zetu nchini...
kama jwtz wanakagua ugaidi na ujambazi bac polisi waende wakalinde mipaka ya nchi
Jeshini hakuna Siasa ndio maana wananchi hawabishi.Asubuhi nimetoka Tunduma kufika Songwe kuna magari zaid ya hamsini yamesimamishwa MP mmoja wa Jeshi akatuamuru tushuke huku mikono juu, tukapangwa mstari na kusachiwa unaambiwa kama unahela simu au pochi shika mikononi (wakati ikiwa juu)
Wanawake wanasachiwa na askari wa kike na wanaume kwa wanaume, huku unaulizwa maswali ya kizushi uraia wako kabila lako kitambulisho nak.
Tumetoka Songwe kufika Mbeya mjini mchezo ni uleule magari yote hasa ya abiria, abiria tumeshushwa kijeshi mikono juu na kusachiwa huku unaambiwa kimbia kwenda mbele kama mita miatano ndio unaenda kupanda gari lako.
Haijalishi wamama wazee au wenye watoto wote mchakamchaka, ukisema unaumwa wanakwambia wanaoumwa wako Hospitalini, ukileta utani unaambiwa ruka kichura kabla ya kuambiwa simama na kukimbia sana.
Licha ya nia ya mazoezi yao, ila kiasi kuna kuwajenga wananchi hofu isiyo ya lazima.
Nimegundua wananchi wanawaogopa sana Wanajeshi, kama wengekuwa polisi sidhani kama wananchi wangetii namna walivyowatii wao.
Na inasemekana zoezi ni la siku tatu usiku na mchana.
Kwani Mbeya Cku Hz Sio Tena Mkoa Mpakani? Na Hapo Nanenane Sio Jirani Na Junction Ya Kwenda Malawi?
In the moment of crisis, the wise build bridges and the foolish build dams. ~ Nigerian proverb
Jeshini hakuna Siasa ndio maana wananchi hawabishi.
Waje wafanye hivi na Dar...
Kabisaa wale jamaa hakuna mjadala,
Ukifanya ujuwaji unaweza pata buti la tumboni hivihivi au kuogeshwa vumbi au tope.
We tii sheria na maelekezo tao utabaki salama.
Usihofu ni mazoezi tu ya kukabiliana na Ugaidi mazoezi kama hayo yalishafanywa hata huko SONGEA Raia wengi endeleeni na kazi kama kawaida vijana wenu wako kazini.
Mkuu temea chin. Hawababaishwi hawa nimahodari wa majigambo tambo navitisho, usipoeleweka ukishushiwa adhabu hutosaham mpaka kwa God.