Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Kwa nini hili zoezi lifanyike kwenye mwaka wa uchaguzi? Hii isije ikawa ni mbinu ya kutia raia hofu
Unakumbuka kauli ya General Shimbo mwaka 2010 iliyomsababisha akaula kuwa balozi huko China.
 
Unajua watu wamekaa kimya hako kajamaa kanaona kameshinda kisa kanatukana kwa kiingereza cha kujibia maswali ya usaili wa kidato cha kwanza...Ukirudi nyuma kutazama kisa cha kumporomoshea 'hekima hii ya kitoto' hakuna la msingi, mitoto kama hii ni ya kucharaza tu viboko! Moshe Dayan achana na huyo mwanasesere tujadili mustakabali wa taifa letu mkuu!
Gotcha comrade!
 
Last edited by a moderator:
Kwa nini hili zoezi lifanyike kwenye mwaka wa uchaguzi? Hii isije ikawa ni mbinu ya kutia raia hofu

Ni mbinu ya kuwafanya raia wazoee jeshi maana walisema litatumika katika ulinzi siku ya uchaguzi
 
You better fool yourself, everything done through drills are well undertaken.

-properly planned

-All precautions in place

-All threats to humans life and properties well contained

-completely no chanse for primary nor secondary value for risk to life on people and properties.

My question remain busting bombs had the consideration to pause death threat? Was there a necessity to bombs blusting along the streets?

Do we understand in houses people of different nature, health and strength in during the cause of action?

Yaani you r gettin into my nerves!!!


nikuulize we mbumbumbu mbwa, gaidi au adui akija atatoa plan yake??? Na je atatoa precautions?? na je likely places za yeye kupiga ku-create fear na de-moralize wananchi ni zipi!!!!?? Hizo ndo vita za skuizi, urban warfare!

Kama mambo huyajui shut your fucken mouth, moron!!
 
nasubiri nipate sababu ya hiyo opereshen thn na mimi niseme kidogo maana wenye lugha yao wanasema no reaserch no right to speech
 
Gotcha comrade!

Kama atapenda kuelimika mkumbushe asihisi kwamba zoezi hilo limemharass kwa kuwa yeye ni raia, atambue kwamba hata angekuwa mkuu wa nchi msafara wake ungeweza kuwa diversified kwa sababu ya kiusalama ama nyingine zinazofanana na hizo...

Wenzetu wameweza kujiimarisha sana kiulinzi kwa kuwa OP zao zimekuwa ni siri kubwa sana na inawezekana mkawa kwenye OP ya aina moja ila kila mmoja akawa na division ambayo mwenzake haijui...
 
You better fool yourself, everything done through drills are well undertaken.

-properly planned

-All precautions in place

-All threats to humans life and properties well contained

-completely no chanse for primary nor secondary value for risk to life on people and properties.

My question remain busting bombs had the consideration to pause death threat? Was there a necessity to bombs blusting along the streets?

Do we understand in houses people of different nature, health and strength in during the cause of action?

Thats why i say you dont have any knowledge about what you comment. Safety or military drills needs to be done under normal and natural enviroment so as to get at least 95% reality son!
 
poleni sana...binafsi huwa naona majeshi yetu yanatumia nguvu na si akili...na waliokuwa na magari binafsi ilikuwaje?

Kaka Hii kitu imeniudhi sana leo.

Stend ya mabasi nanenane magari yanatoka one way. Nikiwa namgeni nishitukia defender hili hapa linakwenda opposit kidogo niigie mtaron Nikajibanza just before mtaro

Yaan ni bonge la near miss au almanusura nipate ajali.

Mimi yamenikuta na baadaye nipo home mabom yakawa yanapigwa.

-Tunajenga msingigan kwa watoto wetu?

-watu wenye mabp nk si balaaa hilo

Anway yote maisha.
 
Thats why i say you dont have any knowledge about what you comment. Safety or military drills needs to be done under normal and natural enviroment so as to get at least 95% reality son!

One dies in house what next?
 
If they tell you that they are going to conduct a drill tomorrow,you will act taking cover. They dont want you to act,they want you to see how you will react in hostile or emergency situation.
Huyo adolay haelewi lolote kuhusu hilo.
 
Last edited by a moderator:
Yaani you r gettin into my nerves!!!


nikuulize we mbumbumbu mbwa, gaidi au adui akija atatoa plan yake??? Na je atatoa precautions?? na je likely places za yeye kupiga ku-create fear na de-moralize wananchi ni zipi!!!!?? Hizo ndo vita za skuizi, urban warfare!

Kama mambo huyajui shut your fucken mouth, moron!!

Consider your wife dies will the exercise make sense you?

Does blusting boms make propper foundation for our children?

What expectation do you have of the comming generation,
 
If they tell you that they are going to conduct a drill tomorrow,you will act taking cover. They dont want you to act,they want you to see how you will react in hostile or emergency situation.
Huyo adolay haelewi lolote kuhusu hilo.

maswali yangu nimafupi cha ajabu hamnipi jibh sahihi

1. Kulikuwa na ulazima wowote kupiga mabom? Je kunamadhara yoyote mabaya ya uhai?

2. Endapo mtu kafa kwa mshituko pamoja na azma yoote nzuri mnayoisema je uhai wa mtu unaweza kurejeshwa kama hapana kwanini mabomu?

3. Kwanin zoezi lifanyike kwa vitisho na mabom haiwezi kufanywa bila ulipuzi wa mabomu?
 
Last edited by a moderator:
And if terrorists invade and detonate some bombs,will that person die or not!?

Sasa hapa kaka umejib tofaiti

Utajaribia kama panga linamakali shingoni kwako kisa ujambazi umezid unapoish eti maandalizi?

We do not play or test death with our life. Kupiga mabom nikucheza na uhai wa watu kaka. Na hili nilakulaaniwa vikali.
 
Tulia kanyonyeshe ww dada, unaleta ushabiki wenu wa kwenye uzinzi wa MMU, hapa tunajadiri mambo ya nchi. Sasa ww uko itaka mbozi ya mbeya mjini utayajuaje au uko Chipaka kwa wanyamwanga utayajuaje ya mjini.
EIdiot!!

Hahaaaaa mkuu umenikumbusha itaka Dah uko kuna watu wanajua bado raisi wa nchi ni Nyerere
 
The Security apparatus can spin it all they want;deep down, some of us know this so called operation is meant to scare old and young voters. They know there is a good chance that CCM will be outvoted this time-that is why BVR registration has been tactical-attracting more registration in rural than urban areas. In fact, this time CCM is only going to be rescued by the forces, not the voters. And, sadly, there is more 'show of force' to come. Next time, it will be the bigwigs at Ngome.
 
Wameanza mikwara ya kunyanyasa na kutisha Watanzania kuelekea October 25, 2015.

Kwa nini hili zoezi lifanyike kwenye mwaka wa uchaguzi? Hii isije ikawa ni mbinu ya kutia raia hofu
 
Wameanza mikwara ya kunyanyasa na kutisha Watanzania kuelekea October 25, 2015.

Nyimbo yenu ya "nchi haitatawalika" umeisahau?

"mikwara"? hebu fanyeni "kwi" muone cha mtema kuni.

Punguani wahed.
 
Wameanza mikwara ya kunyanyasa na kutisha Watanzania kuelekea October 25, 2015.

Haswaa na sioni lingine la maana la kufanana nalo.
Ugaidi kuuzuia kwa staili hii ya kusimamisha magari ovyo chini ya Bunduki na kuwageuzi abiria mateka?
Watasababisha wenye presha kufupisha maisha yao ghafla.Kama hii picha ni ya Mbeya kweli hali hii si njema.


attachment.php


 
  • Thanks
Reactions: BAK
Back
Top Bottom