Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mkuu kuna kitu kinaitwa mgawanyo wa kazi/majukum (division of labor)

Polisi wanamajukum yao

Magereza wanamajukum yao

TPDF wanamajukm yao

Hawa wote husaidiana pale tu inapotokea mmoja kukwama katika majukum yake.

Hapa nivitisho na kuwafanya raia kuhofia usalama wao hususan kufanya maamuzi sahihi kuelekea uchaguzi mkuu october.

Jamaa una kichwa kigumu sana kuewa😕
 
Huu ni uzushi, mimi niko jijini Meya muda huu, hakuna kitu kama hicho. Nahofu kuingizwa kwenye mtego wa mambo ya uzushi kama ule wa mapambano kati ya TPDF na El Shababu kule mapango ya Amboni. Ebu leta ushahidi wa picha yenye tarehe kama una ukweli !!!
Hovyoooo.
 
Hii ni intimidation ya serikali na chama kwa raia.

Inabidi watu wafuate mipaka ya kazi zao, jeshi hawatakiwi kupekua wananchi, hakuna vita

Kama jeshi wanajiona wanapenda mgombea wao wanayempenda aingie kwenye jumba kuu hawahitaji kutisha raia kiasi hicho. Ilikiwa Songea tukawa kimya sasa mbeya hatujui kesho na keshokutwa itakuwa wapi.
 
Tulia kanyonyeshe ww dada, unaleta ushabiki wenu wa kwenye uzinzi wa MMU, hapa tunajadiri mambo ya nchi. Sasa ww uko itaka mbozi ya mbeya mjini utayajuaje au uko Chipaka kwa wanyamwanga utayajuaje ya mjini.
EIdiot!!

Naona leo umeamuka na viroba kichwani au umevurugwa huko ulikoamkia. Badala ya kutoa kufafanua masuala niliyouliza wewe unaporomosha matusi yote hayo. Mimi natumia hekima za kiutu uzima nimekusamehe roho yangu nyeupe.
 
Hawa wanawatisha na ni kwa sababu na ninyi ni waoga na mnaogopa,hofu huondoa ujasiri na hapo ndipo mwili nao unakosa nguvu kinachosalia ni kukimbia tu.Tuombe Mungu atuepushie mbali na machafuko lakini yakitokea ninyi mnaowaogopa kwa sasa mtakuwa mkiwatafuta walipo .
 
Mama Mdogo

Habari za jijini Meya
Kwa Bahati Mbaya tukio liko Jijini Mbeya na sio Meya

Asante kwa ustaraabu wako kwa kunisaidia kunisahihisha kwa hekima. Hata hivyo kuna watu hapa JF hawana ustarabu wanatukana ovyo, hata hivyo nimewasamehe kwani leo ni siku ya ibada na toba!
 
Naona leo umeamuka na viroba kichwani au umevurugwa huko ulikoamkia. Badala ya kutoa kufafanua masuala niliyouliza wewe unaporomosha matusi yote hayo. Mimi natumia hekima za kiutu uzima nimekusamehe roho yangu nyeupe.

Tofautisha ufafanuzi, attack na ubishi, ww ni mbishi unreasonably na ubishi wenye elements za attack. Ukitaka tunakupa tukuogope ww nani? Wakubwa wako huko wanakuna vitambi vya mabwana zao ww uko hapa huna mpango wala ukibwa wowote.
#Dawa ya Moto ni Moto#
 
Hao wameanza vitisho-ccm na uchaguzi, nimewaona wakiendesha magari yao hovyohovyo.

Wanaenda speed kali bila kujali

Hawazingatii alama zozote

wanaenda oposite barabara za one direction

wanafanya near miss nyingi

mji wa mbeya upo katika hatihati, kiusalama bora kutulia au kama unagari yako bora kupaki kuwapisha hawa jamaa.

Wanafanya Tu Mazoezi Ya " Kimatumaini ".
 

  • Naona leo humu JF watu mumeamuka na viroba kichwani au umevurugwa huko mulikoamkia. Pole sana, hujui utendalo. Mimi nimekusamehe endelea kuenjoy jumapili njema.




Mumeamuka - mmeamka
Mulikoamukia- mlikoamkia

Kuenjoy- Ku-enjoy(elewa namna ya kutumia combined words au tukufundishe Morphology)
 
Tofautisha ufafanuzi, attack na ubishi, ww ni mbishi unreasonably na ubishi wenye elements za attack. Ukitaka tunakupa tukuogope ww nani? Wakubwa wako huko wanakuna vitambi vya mabwana zao ww uko hapa huna mpango wala ukibwa wowote.
#Dawa ya Moto ni Moto#

In the moment of crisis, the wise build bridges and the foolish build dams. ~ Nigerian proverb
 
Back
Top Bottom