Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

mkuu mbona naona kama raia mikoni juu!!

Kaka tuhurumien wezenu huku tumefanywa mateka bila hatari yoyote.

Mnashushwa kwenye mabasi mikono juu mbeleeee ap!

Ukisema naumwa utapata chamtemakuni

Hili zowezi laajabu sana maana hakuna alielielewa mkuu
 
Mwenye akili hujenga hoja na elimu ya mpumbavu ni ndiyoooo!!! hawezi kuhoji wala kudadisi.

Umeongea nini sasa au umefunuwa utupu wa akili yako?
Sounds like sissy immature, hivi unahoji operation ya kijeshi kana kwamba ww una akili kuliko mabwana vita wanaopanga hizo ops!! U must be one of a kind!
 
toka asubuhi hawa wanajeshii wako mitaa makanisani??? kuna nini kwani

mbeya huku cjui kwenu vp
 
Kaka tuhurumien wezenu huku tumefanywa mateka bila hatari yoyote.

Mnashushwa kwenye mabasi mikono juu mbeleeee ap!

Ukisema naumwa utapata chamtemakuni

Hili zowezi laajabu sana maana hakuna alielielewa mkuu
Dont mislead the mass, baseless lies
 
Sounds like sissy immature, hivi unahoji operation ya kijeshi kana kwamba ww una akili kuliko mabwana vita wanaopanga hizo ops!! U must be one of a kind!

We kenge unamtisha nan mbwa wewe.

Unawezarudisha uhai wa mama yangu akifa kwa mabom yanayolipuliwa bila sababu zamsingi.

Usijione unaelimu tena hufaham kabisa elimu yangu ----- wewe.

Hapa hatushindanishi umri wala elimu

Kunapopote uhai unanunuliwa mbwa wewe.
 
Kaka tuhurumien wezenu huku tumefanywa mateka bila hatari yoyote.

Mnashushwa kwenye mabasi mikono juu mbeleeee ap!

Ukisema naumwa utapata chamtemakuni

Hili zowezi laajabu sana maana hakuna alielielewa mkuu

poleni sana...binafsi huwa naona majeshi yetu yanatumia nguvu na si akili...na waliokuwa na magari binafsi ilikuwaje?
 
We kenge unamtisha nan mbwa wewe.

Unawezarudisha uhai wa mama yangu akifa kwa mabom yanayolipuliwa bila sababu zamsingi.

Usijione unaelimu tena hufaham kabisa elimu yangu ----- wewe.

Hapa hatushindanishi umri wala elimu

Kunapopote uhai unanunuliwa mbwa wewe.

How old r u??? thought u r a teenager, but then,,,,, u must be below five, i can bet on that
 
How old r u??? thought u r a teenager, but then,,,,, u must be below five, i can bet on that

Asikuharibie mood mkuu,akili yako inatakiwa kusettle ili utoe busara kwenye mambo yanayomatter! Mpuuzi mmoja asikupandishe tempa ukaonekana hufai!
 
Dont mislead the mass, baseless lies

Do you feel and think you're better educated?

Watch out in every sense and respect the Wright to life for everyone.

Have you ever questioned yourself to why TPDF kept distant from citizens? Do we understand the effect of bursting/blusting bombs on areas occupied by civilians?

Suppose one dies are you going tell us was an accident or a killing offense committed purposely? W'll you be responsible or not?
 
Asikuharibie mood mkuu,akili yako inatakiwa kusettle ili utoe busara kwenye mambo yanayomatter! Mpuuzi mmoja asikupandishe tempa ukaonekana hufai!

Clearly understood!! Nlikua sijamuelewa alipotaka aambiwe ops plan, sasa sjui na vita ikitokea ataomba mission plan??
 
Do you feel and think you're better educated?

Watch out in every sense and respect the Wright to life for everyone.

Have you ever questioned yourself to why TPDF kept distant from citizens? Do we understand the effect of bursting/blusting bombs on areas occupied by civilians?

Suppose one dies are you going tell us was an accident or a killing offense committed purposely? W'll you be responsible or not?

Do you know anything like....Airport or Harbour Fire/Accident Drill?
Do you know how is it conducted?
You better shut up because the more you comment,the more you expose your childish son!
 
How old r u??? thought u r a teenager, but then,,,,, u must be below five, i can bet on that

Failure to discuss the matter in its cotext meaning you bear an ampty head that cannot analyse no distinguish the fact and lie.

Just a simple question on safety and life matters

Do we have a shop where life can be bought? If not why Blusting among citizens? Are you serious?
 
Do you know anything like....Airport or Harbour Fire/Accident Drill?
Do you know how is it conducted?
You better shut up because the more you comment,the more you expose your childish son!

Comrade, bora na ww umeona, dnt waste your energy kubishana na mtu unaona kabisa hajui fani
 
Comrade, bora na ww umeona, dnt waste your energy kubishana na mtu unaona kabisa hajui fani

Mkuu Moshe Dayan Toka mwanzo nilimuona ni mweupe,ila shida yake hataki kuelekezwa. Nikaona nisimfafanulie zaidi bali nimfundishe kwa njia ya homework!
 
Last edited by a moderator:
Hili ndilo neno maana kidogo tununue kesi

Unajua watu wamekaa kimya hako kajamaa kanaona kameshinda kisa kanatukana kwa kiingereza cha kujibia maswali ya usaili wa kidato cha kwanza...Ukirudi nyuma kutazama kisa cha kumporomoshea 'hekima hii ya kitoto' hakuna la msingi, mitoto kama hii ni ya kucharaza tu viboko! Moshe Dayan achana na huyo mwanasesere tujadili mustakabali wa taifa letu mkuu!
 
Last edited by a moderator:
Do you know anything like....Airport or Harbour Fire/Accident Drill?
Do you know how is it conducted?
You better shut up because the more you comment,the more you expose your childish son!

You better fool yourself, everything done through drills are well undertaken.

-properly planned

-All precautions in place

-All threats to humans life and properties well contained

-completely no chanse for primary nor secondary value for risk to life on people and properties.

My question remain busting bombs had the consideration to pause death threat? Was there a necessity to bombs blusting along the streets?

Do we understand in houses people of different nature, health and strength in during the cause of action?
 
Back
Top Bottom