Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Wanajitayarisha kwa uchaguzi mkuu..ama ni vitisho vya serikali kwa wananchi dhidi ya kufanya maandamano kama ilivyokuwa burundi
 
Hii inaonyesha Jinsi gani watu hawafuatilii vyombo vya habari.Lakini wakisikia la kuzuka na wao wamo.

Hii iliishaelezwa Zamani tangu zoezi la mwanzo kwamba hili zoezi ni endelevu la Kijeshi.
 
Operation ya kawaida cha msingi ni kutii bila shuruti when solders @work.
 
Kutisha tu wananchi, kwa nini wasifanye 2012 huko wanakuja kufanya leo karibu na uchaguzi

sasa we kwa akili yako wananchi wanatishwaje sasa.Unajua kuwa akili fupi ni mwanzo wa umasikini.Na hii ndio inatufnya tusipige hatua kwa sababu ni unafki we askari wa kulinda mipaka ya nchi wasifnye kazi zao? Halafu mambo yakiharibika unakuja kusema hawafnya kazi.
 
Inapendeza kufaham kuwa nchi bado nguzo ni imara na hakuna wa kuiyumbisha kiurahis
 
You better fool yourself, everything done through drills are well undertaken.

-properly planned

-All precautions in place

-All threats to humans life and properties well contained

-completely no chanse for primary nor secondary value for risk to life on people and properties.

My question remain busting bombs had the consideration to pause death threat? Was there a necessity to bombs blusting along the streets?

Do we understand in houses people of different nature, health and strength in during the cause of action?

kuna ulazima wa kuchangia kwa lugha ya kiingereza kweli?
 
Kwani hao JWTZ kazi yao ni kulinda mipaka, kwa hiyo hapo wapo mpakani? Mi nadhani usalama wa ndani ya nchi ni polisi ndo kazi yao.
 
Back
Top Bottom