Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

mkuu acha kuweweseka ulitegemea shughuli za kijeshi zifanyike porini tu? Kwani majanga yanatokea porini tu? Lazima mijini wapite na tujue wapo!

Je ufanisi wa bomu utajulikana kwa kubomoa nyumba ya mtu? Au kuharibu ardhi/mazingira wanamoishi watu? Wakati wenzetu wanafanya maoezi ya kijeshi jangwani, Bongo mazoezi yanafanyika uraiani sijui ni kuwatisha raia, kuwaua wenye magonjwa ya moyo, kufanya maonyesho, .....? Si lazima baba kuwapigia kelele watoto usiku ili wajue kama yupo.
 
Kiukweli mitandao yote saiz jambohili limetawala, jaribuni kuweka masihala kando kidogo tujue nin tatizo
 
Minaona mmeanza kuleta mambo ya vyama wakati mtu anahoji kujua lipi tatizo! jamani turudi ktk mada
 
Je ufanisi wa bomu utajulikana kwa kubomoa nyumba ya mtu? Au kuharibu ardhi/mazingira wanamoishi watu? Wakati wenzetu wanafanya maoezi ya kijeshi jangwani, Bongo mazoezi yanafanyika uraiani sijui ni kuwatisha raia, kuwaua wenye magonjwa ya moyo, kufanya maonyesho, .....? Si lazima baba kuwapigia kelele watoto usiku ili wajue kama yupo.

Hilo unalijua wewe!hii niardhi yao wana haki ya kuitumia kwa shughuli zao mbona wewekwenye maandamano yako ya Bavicha na mikutano yenu mnafanya yenu?na wao wanafanya yao tulia usipagawe!
 
Mkuu naona umeshiba sembe huyo ndo nani. Au unaota?

Usi panic mkuu.nimekuuliza tuu.kulikua na Id inafanya mashambulizi full time kipindi kile watu wakiongelea sana rasimu ya katiba yenu.nikicheki na wewe unavyoshambulia jukwaa napata mashaka, ndio maana nimekuuliza.
 
Kwani Songea mliambiwa sababu hasa ni nini ?

Toka mchana msako ulianza, watu wamesechiwa wenye nyembe, visu n.k ni chini
uliza kama unae rafiki aliyepita nane nane leo.
Askari wa Jeshi la Wananchi kusachi nyembe na visu ni kudhalilisha jeshi. Kama hawana kazi waje kujenga barabara hapa kilima cha kwenda kituo cha chama njia ya Kimanga barabara imemegwa na mafuriko ya mvua za masika iliyopita.
 
Usi panic mkuu.nimekuuliza tuu.kulikua na Id inafanya mashambulizi full time kipindi kile watu wakiongelea sana rasimu ya katiba yenu.nikicheki na wewe unavyoshambulia jukwaa napata mashaka, ndio maana nimekuuliza.

Mkuu ilikua inafanya mashambulizi ya aina gani hebu fafanua kidogo huenda ukaeleweka aisee!
 
Askari wa Jeshi la Wananchi kusachi nyembe na visu ni kudhalilisha jeshi. Kama hawana kazi waje kujenga barabara hapa kilima cha kwenda kituo cha chama njia ya Kimanga barabara imemegwa na mafuriko ya mvua za masika iliyopita.

Kwani ulitaka wafanye nini?wakikutana na hao wananchi? Wakae chini na kuanza kupiga story?
 
Back
Top Bottom