Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
Una muda gani kuanzia umejiunga humu Jf?
Una muda gani kuanzia umejiunga humu JF?
Una muda gani kuanzia umejiunga humu Jf?
JWTZ kama kweli wanataka mazoezi wangeenda Syria, Somalia wajipime na ISIS na all shabab sasa haya mazoezi na raia ambao hata mgambo hawajawahi kwenda sijui kama yana tija.
Pole. Mwambie awe na amani. Sasa wale ambao huzoea kusema tupigane, tuingie mstuni kama wanogopa mazoezi je vita wataistahimili?mzazi wangu yuko huko. ni hofu tupu nimeongea nae kwa simu
Pole. Mwambie awe na amani. Sasa wale ambao huzoea kusema tupigane, tuingie mstuni kama wanogopa mazoezi je vita wataistahimili?
HahahahaHebu acha upuzi wwe,
Hii nayo ni breaking News???
Nina shaka na hiyo content kama kweli imetolewa na JW.
Mbona military forces zilizoenda kufanya survey ya mipaka Malawi hamkulalamika, kwamba zinapita mjini na wananchi mlijazana Songwe kushangaa.
Ila hizi shake-off ndogo tu watu wanalalamika eti mabomu, yangepigwa mabomu yenyewe wana nchi wangepata ata nafasi yakulogin JF.
Mkuu hai sio makamanda bali ni mgambo watarajiwa waoga kama kunguru wa zenjMakamanda wa Bavicha walio huko wote wamejificha kwa uoga!
Hebu acha upuzi wwe,
Hii nayo ni breaking News???
Nina shaka na hiyo content kama kweli imetolewa na JW.
Vita ya kitu gani.., mbona hueleweki..Ndugu zangu wananchi wetu wa Mbeya, msiogope tupo kwa mafunzo ya vita katikati ya mijini ili tuweze kuwafumbua macho nanyi wananchi mpate kujua kuwa vita ni nini na wale wakorofi wajue kuwa kuna vijana tupo tayari usiku na mchana kuwalinda nyie wananchi wetu, ila wale ambao Wameshtuka kwa jambo hili tunaomba msiogope.
Mkuu pia waweza kujiuliza Kwanini isiwe mwaka huu? Nachokiona kwao ni kawaida tu muda na wakati wowote wakipenda wanaweza kufanya yao!kama wanasiasa wanafanya yao tena wanajiachia mpaka wanavimbiwa na kuanza akutukana ovyo wao wakifanya hakuna tatiZo wako nchini kwao!
yaan post yako ya kwanza Jf ni pumba,,,hizo zijazo cjui itakuaje,.!!!??Ndugu zangu wananchi wetu wa Mbeya, msiogope tupo kwa mafunzo ya vita katikati ya mijini ili tuweze kuwafumbua macho nanyi wananchi mpate kujua kuwa vita ni nini na wale wakorofi wajue kuwa kuna vijana tupo tayari usiku na mchana kuwalinda nyie wananchi wetu, ila wale ambao Wameshtuka kwa jambo hili tunaomba msiogope.
Safi sana wanajifanya wamevaa magwanda teh teh teh wamekutana na baba lao wengine wamevua teh teh teh wameona wakisachiwa watakutwa na mirungi kwenye mifuko ya magwanda!
Naona leo humu JF watu mumeamuka na viroba kichwani au umevurugwa huko mulikoamkia. Pole sana, hujui utendalo. Mimi nimekusamehe endelea kuenjoy jumapili njema.
Teh Teh Bavicha wote chaliii wanasubiri Slaa atoe tamko!