Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

Mbeya kuna nini leo? JWTZ watanda mji mzima

jamani khaya mabom ni shida wakuu wamepiga mida ya saa tatu huku ilemi.Mke wangu nimjamzito amepata mshtuko ad amejifungua kabla ya cku zake .jaman watatuuwa kwa staili hii
 
Unajua unaosema ni Breaking news;maana yake ni kubwa ulipaswa utuletea habari inayoeleweka na iliyothibitika,Vita unayosema haujaifafanua km inahusu nini na ni kwanini imetokea.Siku nyingine jitahidi kutulia basi usije kuwatia watu presha bure!!!.
 
Kipindi hiki cha uchaguzi ndio sahihi kufanya kaguzi. Nyie wahamiaji ndio MNA wasiwasi.

hii ni kutia hofu raia tu hakuna lolote.. kama ni kutafuta silaha sehemu sahihi ingekuwa kigoma kwa mbeya hiyo kaxi ingewezafanywa na polis kwa kushirikiana na uhamiaji kwani haijafikia kiwango cha bali ya hatari (state of emergency)
 
ni usumbufu kwa raia huo,, haiwezekani mfanye mazoezi kwa kuwashusha watu kwenye vyombo vya usafiri halafu mikono juu no no no no hayo ni mateso kwa raia
 
Mkuu tatizo kubwa linatokana na Watanzania walio wengi kutopitia JKT, mtu aliye wahi kupitia Jeshini hawezi kubeza beza majukumu ya JESHI.

Siyo kwa stahili ya sasa.Jeshi linatumika sana kunyanyasa raia,na hasa wakiwa upinzani.SIjawahi kusikia Jeshi linafanya upekuzi kwanye mabasi,hii nadhani CCM wanawoga wa kuachia madaraka.Kwani awsifanyie zoezi Bagamoyo au Chalinze?
 
Walionyoosha mikono juu ni raia na wako tayari kusachiwa na wanajeshi hao.
hao walionyoosha mikono juu kama ishara ya kujisalimisha ni wanajeshi pia au ni raia wa kawaida wanashiriki mazoezi yasiyowahusu?
 
Back
Top Bottom