Raisi yuko wapi?
Mkuu na hayo macho yako utakuwa unaona vyema usiku weka picha basi afu uje useme vizuri chanzo cha hayo mabomu usiwe kama mtu anayetafuta hewa ya Oksjeni!
Watafanyaje vitu kama hivi bila kutoa taarifa kwa umma?
Wametoka kupiga mabomu hata hapa uyole serikali ya ccm itatuua kwa presha mwaka huu
hayo ni maandalizi ya kudhibiti wapinzani kwenye uchaguzi mkuu...
Mkuu kama umeweza hapo kwenye red wakati yanarindima basi utalala tumi nimeona nikae kwanza ninywe chai
Watafanyaje vitu kama hivi bila kutoa taarifa kwa umma?
Wametoka kupiga mabomu hata hapa uyole serikali ya ccm itatuua kwa presha mwaka huu
Nchi iko salama,acheni kuweweseka!
Duuuuu,mbona hatobakia mwananchi hapa tanzania/
Kwani mi naweweseka hapa, au nampa taharifa ?
Maybe am the one amongst those who maintain peace of the country !
who knows what a toad does underwater ?
mkuu acha kuweweseka ulitegemea shughuli za kijeshi zifanyike porini tu? Kwani majanga yanatokea porini tu? Lazima mijini wapite na tujue wapo!
Ndio hapo msomee barua kwenye bahasha ni akili ku mukichwa