Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,928
Mdogo mdogo tutafika liccm lenu litaondolewa na wanawake.
Wavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili
Wavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili
Hawana jambo dogoNiwajuavyo watu wa Mbeya hakika hakuna wa kuwarudisha nyuma
Haa has huyu bi kiriboto kazi anayoSalaam Wakuu
Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.
Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.
Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.
Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.
Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.
Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888
Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Thread 'Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya' Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya
Thread 'Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!' Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!
Aisee umemkosea sana Sifa, kumfananisha na kichaa ZumaridiMudaaa utaongeaa ,zumaradi alikamatwa akaachiwa now yupo mtaan anaendeleze alipoishia ...huyu naye atatoka na ataendeleza alipoishia
Ukisimama nchalee na ukikaa nchalee hadi akili iwakae sawaAlipofika Karibu aliuona Mji akaulilia akisema laiti ungelijua yapasayo laiti ungelijua Amani!
Trust me.
Ukombozi wa Taifa hili utaanzia mbeya
Si huwa wanasema ni mlokole? Walokole nao huwa wanaiba kura?Nakumbukaga pale *njelii" kikwenga walimzinguaga sana wakati anapita
Huko chunya wakamjazia mawe njiani.
Asubuhi wavaa khakhi wakawa wanawasomba watu kuwaweka ndani.
Mbeya ni wabishi.
Mwakyembe na uwaziri alitaka kuleta dharau zake za usome mbele ya watu wakamzodoa na kumzomea.
MSITULIE najua fika mbeya Hana chake ila akisaidia na wizi wa KULA anaweza pita.
Tuna walimu wapumbavu wengi sana siku hiziWavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili
Bangi inaamsha akili, uzalendo wa ukweli na utu!Wavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili
Hahaha.Bangi inaamsha akili, uzalendo wa ukweli na utu!
Sijawahi kukutana na mvuta bangi mzulumati... Wengi wamenyooka kama wajeda. Kosa ukiingia kingiHahaha.
Hahaha, Duh.Sijawahi kukutana na mvuta bangi mzulumati... Wengi wamenyooka kama wajeda. Kosa ukiingia kingi
Subiri watakapoanza kunena kwa lugha!!!!!Alipofika Karibu aliuona Mji akaulilia akisema laiti ungelijua yapasayo laiti ungelijua Amani!
Mungu anatutaka tuwe na heshima kwa wengine.....MUNGU azidi kuwasimamia
Wafuasi wa kibwetereVijana wa Mbarikiwa hao wanataka ushauri wa akili kabla hali haijawa hatari
Mke wa Mbarikiwa huyo
Wavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili
Unanikanyaga halafu unataka nikuheshimu, we wawapi?Mungu anatutaka tuwe na heshima kwa wengine.....
Uwe na adabu. Hili jukwaa usiligeze la Wahuni wenzio.Wavuta bangi wamehamia kwenye nyimbo za injili