Mbeya: Baada ya Polisi kumshikilia Msanii wa Nyimbo, Sifa Bujune Wenzake watoa wimbo wa Kulaani kitendo hicho

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,492
54,895
Salaam Wakuu

Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.

Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.

Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.

Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.

Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.

Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.



Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi

Thread 'Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya' Kisa cha Kikwete kupigwa mawe huko Jijini Mbeya

Thread 'Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!' Vurugu kubwa zazuka Chunya-Mbeya wananchi wadai madini yao!
 
Bandika bandua...
BumPer to Bumper
Screenshot_20230919-172221_Google.jpg
Screenshot_20230919-172203_Google.jpg
 
Salaam Wakuu

Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.

Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.

Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.

Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.

Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.

Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888

Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Mama Samia kayakanyaga
Alidhani kutenda ukatili kwa wanyonge kunawanyamazisha wengine.

Chuki inazidi kukua na matendo yake na serikali yake kunawaibua mashujaa wasiotarajiwa
 
Salaam Wakuu

Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.

Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.

Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.

Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.

Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.

Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888

Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Haipendezi kuwaonea wanawake wenzake. Watu wa Mbeya wapewe maua yao.

Tuwape nchi Urais kuwajaribu wanaonekana wana uzalendo, ujasiri na uthubutu wa dhati. Mwakubusi ni mfano dhahiri.

Agenda yake ni moja kuitetea Tanzania na Tanganyika, Dr Slaa ni mtu pia makini sana anayejali maslahi ya Taifa, Sio Tulia.
 
Salaam Wakuu

Ninacho jua, Watawala hawawezi kuwanyamazisha Watu wa Mbeya.

Watu wa Mbeya ni wapole ila ni watu wenye Ushirikiano na kupendana pia. Hawaogopi wala kutishwa.

Tangu enzi la Nyerere Mbeya imejijengea sifa hiyo.

Waliomkamata Sifa walijua wamemaliza. Bado sana na ndo kwanza kumekucha.

Siasa ya Nchi hii ni ngumu sana na hii Nchi ni Ngumu. Mbeya Mara na Arusha Baba yao mmoja.

Tulia Ackson kaanza kwa Mguu wa kushoto kwenye hili.
View attachment 2754888

Pia soma;
Mbeya: Msanii wa Nyimbo za Injili, Sifa Bujune ashikiliwa kwa tuhuma za kuimba wimbo wenye maudhui ya uchochezi
Vamos Sifa
 
Back
Top Bottom